×

Tag: Rose Ndauka

Rose Ndauka: Mume Wangu Anapenda Sana, Mambo Mengine ni Ziada

ROSE Ndauka; ni malkia wa Bongo Movies ambaye anasema kuwa, mume wake, Hafidh anapenda sana kula chakula chake (Rose).  ...

READ MORE

Rose Ndauka: Kiki Zinazoendelea Zinatushushia Heshima -Video

Staa wa Bongo Movies, Rose Ndauka ambaye kwa sasa pia anafanya muziki wa Bongo Fleva, leo Aprili 15, 2021 ametinga...

READ MORE

Rose Ndauka Hataki Kabisa Kuigiza Maisha

ROSE Ndauka, staa wa sinema za Kibongo, amesema katika vitu ambavyo vimepitwa na wakati kwa mastaa, ni kuigiza maisha kwa...

READ MORE

Rose Ndauka Afungua Ndoa na Mpenzi Wake Haffiyy Mkongwa

Muigizaji wa filamu za Bongo Movie, Rose Ndauka ameingia rasmi kwenye maisha ya ndoa na aliyekuwa mchumba wake wa muda...

READ MORE

Rose Ndauka: Siendekezi starehe

MWANAMAMA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Rose Ndauka amesema yeye siyo mtu wa kuendekeza starehe kwenye maisha yake, hivyo kitu...

READ MORE

Rose Ndauka: Niliumizwa sana na mapezi, inatosha!

  MWIGIZAJI mahiri wa filamu Bongo Muvi, Rose Ndauka ameweka wazi kuwa mapenzi yalimuumiza sana lakini hakuyapa nafasi yaharibu maisha...

READ MORE

ROSE NDAUKA, CASSO WAMWAGANA

MSANII wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka na mwanamuziki wa Kizazi Kipya aliyekuwa akimsimamia kazi zake Said Kassim a.k.a Casso...

READ MORE

ROSE NDAUKA AFUATA NYAYO ZA WEMA, UWOYA!

MWANAMAMA kutoka Bongo Movies, Rose Ndauka amefuata nyayo za warembo wenzake, Wema Sepetu na Irene Uwoya kwa kujikita kwenye ujasiriamali....

READ MORE

ROSE NDAUKA: KUIGIZA MAISHA ‘KUMEEKSIPAYA’

MSANII wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka amesema kuwa kitu kikubwa kilichopitwa na wakati ‘kueksipaya’ kwa mastaa ni kuigiza maisha...

READ MORE

ROSE NDAUKA “WASANII Wanaopotosha Jamii Wajifunze” – Video

 MSANII na Mfanyabiashara, Rose Ndauka amezindua saloon ambayo itakua inashughulika na kila kitu ikiwemo makae up, kunyoa, kusuka kwa...

READ MORE

ROSE NDAUKA AFUNGUKA UKIMYA WAKE

MUIGIZAJI mwenye mvuto Bongo Movies, Rose Ndauka amefungukia ukimya wake wa muda mrefu na kusema kuwa majukumu yameongezeka na ndiyo...

READ MORE

ROSE NDAUKA ACHOMOA KUBANJUKA NA DJ OMMY

MSANII wa filamu Bongo ambaye amepotea kwenye ‘media’ kwa kipindi kirefu, Rose Ndauka amefunguka juu ya tetesi zinazoenea mitandaoni kuhusu...

READ MORE

Rose Ndauka Atoa Ajira ya Kuendeleza Urembo

STAA wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila kusikika sasa ameibuka na project...

READ MORE

Rose Ndauka Atupia Picha Za Mitego Instagram

Staa wa Bongo Movie, Rose Ndauka, anaendelea na utaratibu wake aliouanzisha hivi karibuni kwenye akaunti yake ya Instagram wa kutupia...

READ MORE

Rose Ndauka: Awarushia Dongo Watoa Mimba

MSANII wa Filamu Bongo, Rose Ndauka amewarushia dongo wasichana wa kizazi kipya ambao wengi wao wakipata mimba wanakimbilia kutoa badala...

READ MORE

Ndoa ya Masele Yampa Wakati Mgumu MC Pilipili

Mc Pilipili. Mchekeshaji na mshereheshaji  (MC) bora wa mwaka 2017 aliyeshinda tuzo ya Instagram Party, Emmanuel Mathias ‘MC Pilipili’, ameshindwa...

READ MORE

Rose Ndauka Aswekwa Lupango

Sexy lady wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka (pichani) anadaiwa kuswekwa lupango kwa takriban saa nne kabla ya kuchomolewa...

READ MORE

Rose Ndauka Atoa Siri ya Mambo Yake Kumnyookea

Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka MKALI wa filamu Bongo, Rose Ndauka ametoa siri ya mambo yake kumnyookea kuwa imetokana...

READ MORE

Rose Ndauka: Naapa sitazaa tena nje ya ndoa!

Mwanadada anayeuza nyago kwenye filamu Bongo, Rose Ndauka. MAYASA MARIWATA MWANADADA anayeuza nyago kwenye filamu Bongo, Rose Ndauka ameapa kuwa...

READ MORE