Jeshi La Polisi Zanzibar: Hatutambui Uwepo wa Mazombi
Mkurugenzi wa Upelelezi Zanzibar, Salum Msangi.
Jeshi la Polisi Zanzibar limewataka madaktari kuacha kuwahudumia watu wanaokwenda hospitali baada ya kupigwa na kikundi cha watu wasiojulikana cha mazombi bila ya kuwa na fomu ya matibabu…
