Afghan: Mawasiliano ya Simu Kupatikana Saa 7 kwa Siku
Taliban ambao wanaendelea kuiongoza Afghanistan wameweka sheria kali za matumizi ya simu kwa watu wa Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo ambapo huduma ya simu itapatikana kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa tisa mchana.
Hatua hiyo…
