The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Sirro

Polisi Wapya 3,000 Kuajiriwa

JESHI la Polisi nchini Tanzania, limeajiri askari polisi wapya zaidi ya 3,000. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar. Taarifa hiyo imetolewa jana Alhamisi tarehe 12, Agosti 2021 na Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro akifunga…

IGP Sirro Afanya Mabadiliko kwa Ma-RPC

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro, amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi, ambapo aliyekuwa RPC wa Tabora, Barnabas Mwakalukwa, amehamishiwa Makao Makuu ya Polisi Dodoma na aliyekuwa RPC Morogoro, Wilbroad…

Lissu Agomea Wito wa IGP Sirro

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amekataa kuitikia wito uliotolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, uliotolewa jana ukimtaka aripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro.…

IGP Sirro Aongezewa Mwaka Mmoja

Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki Mwa Afrika (EAPCCO) wamemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Shirikisho hilo kwa kipindi kingine cha mwaka mmoja. Uamuzi huo umetolewa…