Iran Yakiri Kudungua Ndege Ya Ukraine
JSHI la Iran hatimaye limekiri kudungua kimakosa ndege ya abiria ya Ukraine siku ya Jumatano ya Januari 8, mwaka huu, televisheni ya taifa ya Iran imeripoti.
Taarifa ya jeshi la Iran imeeleza kuwa mkasa huo umetokana na "makosa…
