Viongozi Katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa Wanalaani Vita vya Urusi Nchini Ukraine
UVAMIZI wa Russia dhidi ya Ukraine umechukua nafasi kubwa katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, huku Ujerumani na Ufaransa zikilaani ubeberu wa Rais wa Urusi Vladimir Putin. Qatar, Senegal na Uturuki zikitaka mazungumzo ya amani ya…
