Mrembo Anaekusanya Ushuzi na Kuuza, Yamkuta!
MREMBO Stephanie Matto (31) aliyejiajiri kwa kujamba, kuufunga ushuzi na kuuza kwenye chupa na majagi aamua kustaafu baada ya kukumbwa na balaa zito akiwa kazini.
Kwa mujibu wa New York Post, mrembo huyo juzi kati alilazwa…
