The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

uwazi

TAJIRI AFILISIKA AKIUGUZA KIDONDA

ALIYEKUWA mfanyabiashara tajiri wa nafaka sehemu mbalimbali za jijini Dar, Eliasi John, mkazi wa Kinondoni- Moscow, yupo katika mateso makubwa baada ya kuuguza kidonda kwa miaka tisa sasa huku shughuli zake zote za kumuingizia kipato…

Kabila la Wala Watu-12

Wanaokula nyama za watu waliona bora miili wale wao kuliko kuoza na kuliwa na funza! ELVAN STAMBULI NA MTANDAO | UWAZI | SIMULIZI Naendelea kusimulia simuli­zi ya kweli kuhusu makabila ya Papua New Guinea ya­nayokula nyama za…

Kitwanga Awavaa Makonda, Gwajima

Stori: Sifael Paul |  UWAZI | DAR ES SALAAM Figisufisu na ugomvi kati ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (GCTC), Josephat Mathias Gwajima, zimepamba moto na joto…

Faida ya Ukwaju Mwilini

UWAZI | AFYA UKWAJU ni tunda lenye faida nyingi mwilini mwa mwanadamu. Tunda hili huweza kutumika kutengeneza juisi ambayo matumizi yake yana faida kubwa kwa mwanadamu Ukwaju unapatikana kwa wingi sana sokoni. Unaweza kutengeneza…