The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Waoo..! kama jana vile!

Waoo…! Kama Jana Vile!

ILIPOISHIA RISASI JUMATANO: Nje ya hospitali hiyo kuna kituo cha daladala, sasa zilipita kama tatu bila kusimama, mama Monica akahisi wanamwacha kwa sababu yeye ana virusi. Daladala ya nne aliamua kuipungia mkono ili isimame, konda…

Waoo..! kama jana vile!-26

ILIPOISHIA RISASI JUMAMOSI: “Sasa anti mbona unaficha hicho kipimo? Kusudi unipe majibu ya uongo, si ndiyo ee?” alikuja juu mama Monica. Hata kabla mpimaji hajamjibu, meseji iliingia kwenye simu ya mama Monica, akaifungua haraka sana ili…

Waoo…! Kama Jana Vile!-23

ILIPOISHIA RISASI JUMATANO: “Unajua baba Monica, hawa wanawake bwana wanataka ufuatiliaji kama huu ulioufanya wewe,” baba Salama alisikika akimwambia baba Monica... JIACHIE SASA... “Mungu wangu...Mungu wangu, kumbe baba Monica yupo.…

Waoo..! kama jana vile!-24

ILIPOISHIA RISASI JUMAMOSI: “Sasa sikia, mimi kesho asubuhi nitadamkia nyumbani kwa baba Salama. Nitampa maelezo yote ya vitu na fedha za mke wake kupitia kwa wewe, ili nione kama anajua haya mambo au mke wake ana siri moyoni...” “Mh!…