Breaking News: Ngoma Arejea Dar Usiku Huu Akitokea Zimbabwe
Mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe anayeichezea klabu ya Yanga, Donald Ngoma usiku huu ametua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius na kupokelewa na makomandoo wa timu ya Yanga.
Pamoja kuwa Klabu ya Simba ilishakiri kwa imefanya mazungumzo na mchezaji huyo kwa ajili ya kumsajili na taarifa za ndani ya klabu hiyzo zinaeleza kuwa wameshakubaliana kila kitu, licha ya kuwa Yanga nao walikuwa wakimshawishi ili asaini mkataba mwingine wa kuendelea kuichezea timu hiyo.
(PICHA: OMARY MDOSE NA SWEETBERT LUKONGE , CHAMPIONI – GPL)
[…] wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia timu hiyo katika Ligi Kuu Bara msimu […]