
Mbunge wa Jimbo la Bunda Chadema, Esther.
OFISA Habari wa Chadema, Tumaini Makene leo amesema mbunge wa Jimbo la Bunda Chadema, Mhe. Esther Bulaya, amekamatwa na polisi saa saba usiku na kumpeleka kituo cha kati cha jijini Mwanza akiwa ameambatana na Mhe. Halima Mdee (Mb) , Joyce Sokombe (Mb) pamoja na Wakili John Malya sababu za kukamatwa hazijulikani.
Hadi sasa anashikiliwa na polisi. Viongozi wa Chadema wanaelekea kituo cha polisi muda huu kujua hatma yake.