
Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 9, 2021 ameongoza viongozi kuaga mwili wa Mwanasiasa mkongwe marehemu Chrisant Majiyatanga Mzindakaya katika Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es Salaam.



Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 9, 2021 ameongoza viongozi kuaga mwili wa Mwanasiasa mkongwe marehemu Chrisant Majiyatanga Mzindakaya katika Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es Salaam.

