KWENYE HARD TALK ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu nchini Lilian Mwasha amezungumza na Mchungaji Richard Hananja ambaye ameeleza mengi juu ya maisha ya ndoa na mahusiano huku akiyajibu maswali mazito kama vile, umri wa mwanamke/ mwanaume kuoa ama kuolewa pia amejibu juu ya kupishana umri kwa wanandoa ni sahihi au sio sahihi?
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx