
Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na Makamu wa Rais wa Tanzania, Phillip Mpango katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Kamala atafanya ziara ya siku mbili nchini Tanzania.



Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na Makamu wa Rais wa Tanzania, Phillip Mpango katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Kamala atafanya ziara ya siku mbili nchini Tanzania.

