×

Uteuzi: Balozi Ali Idi Siwa Mkurugenzi Mpya Wa Idara Ya Usalama Wa Taifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Agosti, 2023.

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Balozi Siwa anachukua nafasi ya Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.

Leave a Comment