
Rais mpya wa FIFA, Gianni Infantino ametoa ahadi ya kufanya kazi na wote na kurudisha heshima ya FIFA.

Matokeo ya raundi ya kwanza.

Sheikh Salman al-Khalifa (kulia) akiwa na Gianni Infantino (wa katikati) walioingia round ya pili.
Infantino ameibuka na ushindi wa kura 115 dhidi ya Sheikh Salman aliyepata 88.