UGONJWA WA FIGO HUSABABISHA KISUKARI Leo tunaendelea kuelezea ugonjwa sugu wa figo kwa kuanzia na jinsi unavyosababisha matatizo ya kisukari....
READ MOREWANAWAKE wanaosumbuliwa na maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara kwa mara hupata athari nyingi baadaye endapo kama hawatagundua chanzo...
READ MORELeo naendelea kuelezea matatizo ya uzazi kwa wanaume pamoja na vipimo vya kuyatambua. Endelea… Kuna wakati mwanaume unatoa mbegu nyingi...
READ MOREHoma ya Zika ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi kijulikanacho kama “Zika Virus.” Na Ugonjwa huu unaenezwa na mbu aina ya...
READ MORESukutua na kunywa siki ya tufaha Watu wengi hujisikia kama wanaoumwa, wakiamini ni malaria, hali inayowafanya wakose hamu ya kula...
READ MORELeo tunajadili ugonjwa sugu wa figo au Chronic Kidney Disease kwa kitabibu. Ugonjwa huu hutokea pale figo zinapopoteza uwezo wa...
READ MOREKAMA ilivyo kawaida ya kila wiki huwa tunakutana katika safu hii ya Mahanjumati ambapo leo tunajifunza kupika maini kama wengi...
READ MOREUjauzito ni safari ndefu inayomchukua mwanamke miezi tisa au majuma arobaini hadi kujifungua. Ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi...
READ MORE‘Male Infertility’ kwa Kiswahili ni ugumba kwa mwanaume, ni hali ambayo mwanaume anashindwa kumpa mimba mwanamke, tatizo hili kwa mujibu...
READ MOREWIKI iliyopita tuliishia katika kuzungumzia dalili ya ugonjwa wa kisonono (gono), leo tunaendelea na sehemu yetu ya pili na ya...
READ MOREStori: Daktari wa Uwazi, UWAZI Tunamalizia kuelezea ugonjwa wa homa ya mapafu kwa watoto. Dalili mojawapo ya mtoto kuwa na...
READ MOREWasomaji wengi wa safu hii wamekuwa wakiniuliza nini tofauti kati ya kuwa na virusi vya Ukimwi na mtu kuwa na...
READ MORENatumaini hujambo mpenzi msomaji wa safu hii ya Mahanjumati na unaendelea vizuri na majukumu ya kujenga taifa. Leo kama ilivyo...
READ MORENaendelea na mada hii ambayo nimeianza wiki iliyopita. Mtoto apewe fursa ya kucheza peke yake au na wenzake, apewe uhuru...
READ MOREWasomaji wa safu hii, wiki hii tunawaletea taarifa nzito kuhusu usugu wa dawa kwa wenye ugonjwa wa kisonono. Taarifa ya...
READ MORELeo tutajadili ugonjwa wa homa ya mapafu kwa watoto maarufu kama Pneumonia (Nimonia), ni aina ya maambukizi yanayoathiri mapafu. Inakadiriwa...
READ MOREMimba kutoka mara kwa mara ni tatizo linalotokea kwa wajawazito ambao mimba zao hutoka zikiwa na umri wa chini ya...
READ MOREUkomo wa hedhi ni kipindi ambacho mwanamke anaacha kuziona siku zake kama ilivyokuwa tangu anavunja ungo. Kitaalamu, hiki ni kipindi...
READ MOREMpenzi msomaji, leo naendelea kuelezea tatizo la mimba kuchoropoka ili uzidi kuelimika.Dalili kubwa za Miscarriage ni mama mjamzito kutokwa na...
READ MOREMambo vipi msomaji wangu? Wiki hii nakuletea upishi wa keki ya mayai, vanilla na maziwa. Unaweza kuandaa keki hii kwa...
READ MORETatizo la kutopata ujauzito, ugumba kitaalamu linaitwa ‘Infertility’. Hili lipo kwa mwanaume na mwanamke. Uchunguzi wa ugumba hufanyika katika hospitali...
READ MOREIlipoishia wiki iliyopita. Mfano ulevi kupita kiasi wa pombe, madawa ya kulevya husababisha mwanaume kupoteza nguvu za kiume. Msomaji ningependa...
READ MOREBaada ya kuelezea kwa kirefu tiba ya kisukari, leo tunamalizia hivyo ungana nani ili uelimike zaidi. Kuna faida nyingine kubwa...
READ MOREAsalaam alaykhum shoga yangu! Kwa upande wangu sijambo namshukuru Mwenyezi Mungu kwa hilo na nipo ofisini naandika mada ya wiki...
READ MOREWiki iliyopita katika makala haya tuliishia kipengele cha athari za minyoo jamii ya Ascaris. Leo tunaendelea na sehemu ya mwisho...
READ MOREUgonjwa wa kisukari kitaalam huitwa Diabetes Mellitus unasumbua watu wengi duniani na hutokea pale tezi kongosho au Pancrease inaposhindwa kutengeneza...
READ MORETUNAENDELA kueleza tiba ya ugonjwa wa kisonono au gono tukianzia na ilipoishia wiki iliyopita: Tulisema mgonjwa anaweza kutibiwa baada ya...
READ MORETatizo la mimba kuharibika na kutoka (kuchoropoka) kabla ya umri wake unaotakiwa kukamilika, limekuwa likiwasumbua wanawake wengi. Leo tutalijadili kwa...
READ MOREWiki iliyopita nilianza kuzungumzia mada hii, leo nitaendelea kuanzia pale nilipoishia. Ikumbukwe kwamba, mtoto anaweza kupata Kifua Kikuu au ajali...
READ MOREWiki iliyopita tuliangalia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na tuliangalia utangulizi wa mada hii, leo ningependa kuendelea na...
READ MOREWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya...
READ MOREHERI YA MWAKA MPYA! Ni kawaida mtu kujiwekea malengo yake kila unapoanza mwaka, lakini kupitia kona hii ya masuala ya...
READ MORENI Jumanne tena huku tumbuatumbua majipu ya serikali ikizidi kupamba moto, safu hii inaendelea kuwaletea elimu kubwa ili kuwaweka wasomaji...
READ MORETULIANZA kupeana ufahamu juu ya maambukizi katika njia ya mkojo yaani U.T.I na tuliangalia chanzo na wiki jana tuliangalia dalili...
READ MOREWatoto wanaopatwa na matatizo ya kuugua mara kwa mara ni wale walio katika umri wa chini ya miaka mitano. Watoto...
READ MORETatizo la kupungukiwa nguvu za kiume linaweza kuwa na sababu za kihisia Emotional Causes lakini sababu nyingine hutokana na maradhi...
READ MOREKiharusi kinampata binadamu baada ya eneo la ubongo kukosa damu kwa saa 24 ama zaidi au kunapotokea kizuizi cha damu...
READ MORELeo tuzungumzie madhara sita ya kutoa mimba na madhara yake kama tutakavyoona hapa leo. UNAWEZA KUPOTEZA UHAI Ukitoa mimba unaweza...
READ MORETULIANZA wiki iliyopita kueleza magonjwa hatari ya kujamiiana, leo tunaendelea kueleza tukijikita zaidi kufafanua yanavyoambukiza, tukianza na kisonono, endelea… Mara...
READ MOREWIKI jana tulianza kulielezea tatizo la U.T.I (Urinary Tract Infections) na nieleza kuwa hili ni tatizo la maambukizi katika njia...
READ MORE