Nyanya chungu au ngogwe ni tunda ambalo wengi tumekuwa tukilitumia kama mboga au kiungo kimoja wapo katika kunogesha mboga lakini...
READ MOREMwandishi: Dk. A. Mandai WIKI iliyopita nilieleza tatizo la mimba kutoka mara kwa mara na nikaahidi leo kuelezea mimba zenye...
READ MORETatizo hili huwatokea wanawake wengi na huwasumbua sana ambapo katika maisha yao hutokewa na tatizo hili. Ni wachache ambao wanaweza...
READ MORETatizo hili linaweza kuwa la kuzaliwa nalo, likasababishwa na matumizi ya baadhi ya madawa kwa mama mjamzito ukajikuta unazaa mtoto...
READ MOREAsalam Alaikum mpenzi msomaji, bila shaka unaendelea vema na ujenzi wa taifa, kwangu mimi nina majonzi ya kuondokewa na mfanyakazi...
READ MORETATIZO la kutokushika mimba ni kubwa katika jamii kuliko vile ambavyo mtu anaweza kufikiria. Na wanawake wengi wana tatizo hili,...
READ MORELeo kwenye safu hii nitaongelea tiba ya chunusi, kwa wenye chunusi sugu mnaweza kusoma dondoo hizi ili kuondoa tatizo. Barafu...
READ MOREMwanamke anachangia asilimia 40 katika tatizo la ugumba kwenywe ndoa. Sababu za ugumba kwa mwanamke zinaweza kuwa ni historia kama...
READ MORELeo tutajadili ugonjwa wa kansa ya matiti unaowashambulia zaidi wanawake. Kuna mambo kadhaa ambayo yameonekana kuwa na uhusiano, ama wa...
READ MOREWENGI tunatumia nazi kama kiungo cha mboga kutokana na tui lake au wengine kutumia mafuta yake bila kujua faida yake...
READ MOREMpendwa msomaji wetu, wiki iliyopita nilianza kuzungumzia mada hii ambayo ni tatizo linalowapata baadhi ya wanawake bila kujijua. Leo tunamalizia...
READ MORELeo tutaongelea kiungo cha mdalasini kinavyosaidia kutibu ugonjwa wa kukohoa na homa ambapo ni rahisi kutengeneza nyumbani kwako na kukutibu...
READ MOREKuna njia nyingi ya kujikinga na magonjwa mbalimbali hasa yale ya kuambukiza au kuambukizwa. Moja ya ugonjwa hatari duniani na...
READ MOREHakikisha unaimarisha mfumo wako wa kinga ya mwili kwa kula vizuri, kupumzika vya kutosha na kufanya mazoezi. Jitahidi kupumzika vya...
READ MOREChimbuko la bamia ni Ethiopia kisha ikaenea duniani kote. Unafahamu kwa kula bamia unaweza ukawa umejiondoa katika hatari ya kupata...
READ MOREUgonjwa wa kisukari kitaalam unaoitwa Diabetes Mellitus hutokea pale tezi kongosho au Pancrease inaposhindwa kutengeneza homoni au kichocheo aina ya...
READ MORENSU ni herufi zinazotumiwa kuelezea magonjwa ya bakteria yanayoathiri mfereji wa kupitisha mkojo yaani Urethra kirefu chake ni Non Specific...
READ MORESHINIKIZO la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira...
READ MOREWiki hii kwenye ukurasa wetu huu wa urembo nitakupa njia ya kuondoa mafuta tumboni pamoja na kukata tumbo kwa kutumia...
READ MOREHali hii wakati mwingine huitwa ‘Vaginism’, ni tatizo linaloathiri uwezo wa mwanamke kuingiliwa ukeni wakati wa kujamiiana, kujisafisha na hata...
READ MORE1.Lina uwezo mkubwa wa kuzuia ugonjwa wa kansa 2. Linasaidia kukinga magonjwa ya moyo Lina uwezo wa kuondoa Cholesterol mbaya...
READ MORELeo tutazungumzia ulaji hasa wa vitu vya mafuta. Mafuta ni suala muhimu sana mwilini ila ulaji wake sharti uwe wa...
READ MORETayarisha sufuria safi, weka nyama ya kusaga peke yake bila ya kuweka maji. Changanya chumvi kiasi, tangawizi na kitunguu saumu....
READ MOREUjauzito ni safari ndefu inayomchukua mwanamke miezi tisa au majuma arobaini hadi kujifungua. Ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi...
READ MOREMACHUNGWA, PILIPILI KALI Utafiti unaonesha kwamba, ulaji wa vyakula vyenye Vitamin C kwa wingi kila siku husaidia kuondoa au kuzuia...
READ MOREWIKI iliyopita tulichambua kwa kirefu makundi ya vidonda vya tumbo. Leo tutaangazia vyakula tiba kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo....
READ MORENi Jumamosi nyingine tena mpenzi msomaji tunakutana kwenye safu hii ya Mapishi ya Leo ambapo tunaangalia jinsi ya kupika makaroni...
READ MORELeo naendelea kuelezea njia rahisi ya kupunguza unene, fuatana nami katika elimu hiyo. PENDEKEZO LA 3 Kula mbegumbegu za korosho,...
READ MORELeo kwenye urembo nitaongelea suala zima la kuwa na ngozi nzuri yenye mvuto ambayo utaipata kwa kunywa maji ya matunda....
READ MOREUkuzaji wa misuli ndiyo kitu pekee kinachotarajiwa kwa mtu anayejenga mwili. Zipo njia kuu tatu za kujenga misuli yenye nguvu,...
READ MOREMafua ni ugonjwa unaosumbua watu kila mwaka, hasa yanapoanza kutokea mabadiliko ya hali ya hewa kutoka msimu huu tulionao sasa....
READ MOREMbogamboga (vegetables) sehemu yake kubwa ni maji (asilimia 84-96). Kwa upande wa virutubisho vingine, mbogamboga ni chanzo kizuri cha madini...
READ MORELeo na wiki ijayo nitakuwa najibu maswali ya wasomaji mbalimbali. Nitaanza na hili la msomaji wa kanda ya ziwa nikiamini...
READ MORELeo naendelea kuelezea njia rahisi ya kupunguza unene, fuatana nami katika elimu hiyo. PENDEKEZO LA 2 Ugali kwa samaki; mboga...
READ MOREMambo vipi mpenzi msomaji wa safu hii ya Mapishi ya Leo? Naamini uko vizuri na unaendelea na majukumu yako kama...
READ MOREJinsi ya kutumia juisi hiyo Chukua nanasi kipande, kikamue maji yake kidogo kisha paka chini ya macho. Baada ya hapo...
READ MOREDhana ya kujenga mwili imezoeleka miongoni mwa vijana na wanamichezo hasa wanaume, lakini ukiingia kwa undani suala la kujenga mwili...
READ MORETunaendelea kuchambua matatizo ya macho.Tatizo la macho liitwalo kitaalam Presbyopia humuathiri karibu kila mtu anayevuka miaka 45. Watu wengi hutumia...
READ MOREMoyo wa Nguruwe. Maryland, Marekani WANASAYANSI kutoka Taasisi ya Kitaifa ya Moyo, Mapafu na Damu huko Maryland nchini Marekani wanasema...
READ MOREMagaga ni ugonjwa unaosababisha miguu kupasuka na wakati mwingine kufikia hatua ya kutoa damu. Leo ninawaletea tiba inayoweza kutibu tatizo...
READ MORE