×

Afya

Aina mbalimbali ya maumivu ya tumbo

Kuna hali nyingi zinazoweza kusababisha maumivu ya tumbo. Chanzo cha maumivu hutegemea na sehemu maumivu yalipo. Maumivu chini ya mbavu...

READ MORE

Umuhimu wa maziwa mwilini

Unywaji wa maziwa unaopendekezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)  ni mtu mmoja kunywa lita 200 kwa mwaka. Tovuti za...

READ MORE

Trich; hushambulia sehemu nyeti za mwanamke

Ugonjwa wa Trich ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya jamii ya Protozoan na huathiri mrija wa kupitisha mkojo unaojulikana kama...

READ MORE

Jinsi ya kukabiliana na tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi

HILI ni tatizo linalosababisha ugumba kwa wanawake kwa kiasi kikubwa. Wanawake wanaoshindwa kupata ujauzito hukabiliwa na matatizo matatu; kwanza kabisa...

READ MORE

Jinsi uzito unavyoathiri uzazi kwa mwanamke

Tunapozungumzia uzito unavyoathiri uzazi kwa mwanamke, hapa tunamaanisha uzito uwe mkubwa au mdogo vyote vina madhara makubwa katika uzazi. Madhara...

READ MORE

Fahamu sababu kuu za kukumbwa na kiharusi

Kuna aina nyingi za ugonjwa wa kiharusi ambazo zinasababisha mtu kukumbwa na maradhi haya. Leo tutaeleza machache kwa mfano mtu...

READ MORE

Mtoto kukojoa kitandani

Wiki hii kwenye safu yetu nitakuandikia tiba ya mtoto kukojoa kitandani, kitu kinachosumbua wazazi wengi. Dawa tunazo majumbani, lakini hatujui...

READ MORE

Fahamu madhara ya asali

Asali  hutengenezwa na nyuki wanaotumia ‘vumbi’ maalum la maua liitwalo nectar.  Kiwango cha sukari katika asali ni asilimia 70 hadi...

READ MORE

Uvimbe wa kizazi (Uterine Fibroid)

FIBROID ni uvimbe unaoota ndani ya kizazi cha mwanamke, uvimbe huu upo kama nyama laini, chanzo halisi cha aina hii...

READ MORE

Kucha za lesi na matunda ndiyo habari ya mjini

Wiki hii nakuletea kucha mpya ambazo ndiyo habari ya mjini. Kucha hizi zinaitwa Lace  Nails, kucha za lesi lakini pia...

READ MORE

Jinsi ya kukabiliana na tatizo la kulegea kwa misuli ya uke-2

Tumekwishaona katika makala iliyopita jinsi tatizo hili la kulegea kwa misuli ya uke linavyotokea. Tatizo husababishwa na kuzaa kwa njia...

READ MORE

Maganda ya chungwa kwa Mba kichwani

Watu wengi wanasumbuliwa na ugonjwa wa mba kichwani, awali nilishawahi kuandika kuhusu tiba nyingine, lakini ninaongeza na hii ili kuwasaidia....

READ MORE

Hushiki mimba? Soma hapa-2

Wiki iliyopita tulizungumzia kuhusu aina za uvimbe kwenye tezi za uzazi za mwanamke. Leo tunazitaja aina saba za uvimbe huo...

READ MORE

Maumivu kabla/baada ya kufanya mapenzi

KUNA wanawake wanapofanya mapenzi husikia maumivu, hakika husumbuliwa sana. Mwanamke anaweza kukosa furaha na matokeo yake kuumia wakati tendo linapoanza...

READ MORE

Kwa nini unatapika wakati wa ujauzito?

Kutapika wakati wa ujauzito ni hali inayowatokea wajawazito wengi. Ni mojawapo ya dalili za mwanzo za ujauzito. Hali hii hutokea...

READ MORE

Faida ya nyanya chungu mwilini ni hizi

Nyanya chungu au ngogwe ni tunda ambalo wengi tumekuwa tukilitumia kama mboga au kiungo kimoja wapo katika kunogesha mboga lakini...

READ MORE

Mimba Yenye Hatari Ya Kuharibika

Mwandishi: Dk. A. Mandai WIKI iliyopita nilieleza tatizo la mimba kutoka mara kwa mara na nikaahidi leo kuelezea mimba zenye...

READ MORE

Tatizo la kulegea kwa misuli ya uke

Tatizo hili huwatokea wanawake wengi na huwasumbua sana ambapo katika maisha yao hutokewa na tatizo hili. Ni wachache ambao wanaweza...

READ MORE

Matatizo Katika Shingo Ya Kizazi

Tatizo hili linaweza kuwa la kuzaliwa nalo, likasababishwa na matumizi ya baadhi ya madawa kwa mama mjamzito ukajikuta unazaa mtoto...

READ MORE

Kwa Nini Umfiche Mkeo ugonjwa ?

Asalam Alaikum mpenzi msomaji, bila shaka unaendelea vema na ujenzi wa taifa, kwangu mimi nina majonzi ya kuondokewa na mfanyakazi...

READ MORE

Hushiki Mimba? Soma Hapa

TATIZO la kutokushika mimba ni kubwa katika jamii kuliko vile ambavyo mtu anaweza kufikiria. Na wanawake wengi wana tatizo hili,...

READ MORE

Limao na tango kwa kutibu chunusi

Leo kwenye safu hii nitaongelea tiba ya chunusi, kwa wenye chunusi sugu mnaweza kusoma dondoo hizi ili kuondoa tatizo. Barafu...

READ MORE

Sababu za ugumba kwa Mwanamke

Mwanamke anachangia asilimia 40 katika tatizo la ugumba kwenywe ndoa. Sababu za ugumba kwa mwanamke zinaweza kuwa  ni historia kama...

READ MORE

Satarani ya matiti (Breast Cancer)

Leo tutajadili ugonjwa wa kansa ya matiti unaowashambulia zaidi wanawake. Kuna mambo kadhaa ambayo yameonekana kuwa na uhusiano, ama wa...

READ MORE

Umuhimu wa mafuta ya nazi mwilini

WENGI tunatumia nazi kama kiungo cha mboga kutokana na tui lake au wengine kutumia mafuta yake bila kujua faida yake...

READ MORE

Kubana kwa misuli ya uke (Vaginismus)-2

Mpendwa msomaji wetu, wiki iliyopita nilianza kuzungumzia mada hii ambayo ni tatizo linalowapata baadhi ya wanawake bila kujijua. Leo tunamalizia...

READ MORE

Mdalasini, Asali kwa Kutuliza Kikohozi na Homa

Leo tutaongelea kiungo cha mdalasini kinavyosaidia kutibu ugonjwa wa kukohoa na homa ambapo ni rahisi kutengeneza nyumbani kwako na kukutibu...

READ MORE

Jinsi ya kujikinga na magonjwa

Kuna njia nyingi ya kujikinga na magonjwa mbalimbali hasa yale ya kuambukiza au kuambukizwa. Moja ya ugonjwa hatari duniani na...

READ MORE

Imarisha mfumo wa kinga mwilini

Hakikisha unaimarisha mfumo wako wa kinga ya mwili kwa kula vizuri, kupumzika vya kutosha na kufanya mazoezi. Jitahidi kupumzika vya...

READ MORE

Elewa faida lukuki za kula bamia

Chimbuko la bamia ni Ethiopia kisha ikaenea duniani kote. Unafahamu kwa kula bamia unaweza ukawa umejiondoa katika hatari ya kupata...

READ MORE

Kisukari kwa wajawazito

Ugonjwa wa kisukari kitaalam  unaoitwa Diabetes Mellitus hutokea pale tezi kongosho au Pancrease inaposhindwa kutengeneza homoni au kichocheo aina ya...

READ MORE

Magonjwa Yanayoathiri njia ya Mkojo

NSU ni herufi zinazotumiwa kuelezea magonjwa ya bakteria yanayoathiri mfereji wa kupitisha mkojo yaani Urethra kirefu chake ni Non Specific...

READ MORE

Kuzuia na kudhibiti kupanda kwa shinikizo la damu

SHINIKIZO la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira...

READ MORE

Juisi ya bizari ya manjano kwa kukata tumbo

Wiki hii kwenye ukurasa wetu huu wa urembo nitakupa njia ya kuondoa mafuta tumboni pamoja na kukata tumbo kwa kutumia...

READ MORE

Kubana kwa misuli ya uke (Vaginismus)

Hali hii wakati mwingine huitwa ‘Vaginism’, ni tatizo linaloathiri uwezo wa mwanamke kuingiliwa ukeni wakati wa kujamiiana, kujisafisha na hata...

READ MORE

Faida za komamanga mwilini

1.Lina uwezo mkubwa wa kuzuia ugonjwa wa kansa 2. Linasaidia kukinga magonjwa ya moyo Lina uwezo wa kuondoa Cholesterol mbaya...

READ MORE

Ulaji wa vyakula vya mafuta, chumvi nyingi unahatarisha maisha

Leo tutazungumzia ulaji hasa wa vitu vya mafuta. Mafuta ni suala muhimu sana mwilini ila ulaji wake sharti uwe wa...

READ MORE

Jinsi ya kupika rosti ya nyama ya kusaga

Tayarisha sufuria safi, weka nyama ya kusaga peke yake bila ya kuweka maji. Changanya chumvi kiasi, tangawizi na kitunguu saumu....

READ MORE

Mambo ya kuzingatia kabla ya kuwa mjamzito

Ujauzito ni safari ndefu inayomchukua mwanamke miezi tisa au majuma arobaini hadi kujifungua. Ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi...

READ MORE

Vyakula vinavyosaidia kukukinga na mafua-2

MACHUNGWA, PILIPILI KALI Utafiti unaonesha kwamba, ulaji wa vyakula vyenye Vitamin C kwa wingi kila siku husaidia kuondoa au kuzuia...

READ MORE