×

Afya

Vyakula tiba kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo

WIKI iliyopita tulichambua kwa kirefu makundi ya vidonda vya tumbo. Leo tutaangazia vyakula tiba kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo....

READ MORE

Jinsi ya kupika makaroni ya nyama ya kusaga

Ni Jumamosi nyingine tena mpenzi msomaji tunakutana kwenye safu hii ya Mapishi ya Leo ambapo tunaangalia jinsi ya kupika makaroni...

READ MORE

Njia rahisi ya kupunguza unene zingatia haya-3

Leo naendelea kuelezea njia rahisi ya kupunguza unene, fuatana nami katika elimu hiyo. PENDEKEZO LA 3 Kula mbegumbegu za korosho,...

READ MORE

Maji ya matunda kwa ngozi nyororo!

Leo kwenye urembo nitaongelea suala zima la kuwa na ngozi nzuri yenye mvuto ambayo utaipata kwa kunywa maji ya matunda....

READ MORE

Jinsi ya kukuza misuli na kuwa na mwili wenye nguvu

Ukuzaji wa misuli ndiyo kitu pekee kinachotarajiwa kwa mtu anayejenga mwili. Zipo njia kuu tatu za kujenga misuli yenye nguvu,...

READ MORE

Vyakula vinavyosaidia kukukinga na mafua

Mafua ni ugonjwa unaosumbua watu kila mwaka, hasa yanapoanza kutokea mabadiliko ya hali ya hewa  kutoka msimu huu tulionao sasa....

READ MORE

Umuhimu wa mbogamboga mwilini

Mbogamboga (vegetables) sehemu yake kubwa ni maji (asilimia 84-96). Kwa upande wa virutubisho vingine, mbogamboga ni chanzo kizuri cha madini...

READ MORE

Makundi ya vidonda vya tumbo

Leo na wiki ijayo nitakuwa najibu maswali ya wasomaji mbalimbali. Nitaanza na hili la msomaji wa kanda ya ziwa nikiamini...

READ MORE

Njia rahisi ya kupunguza unene zingatia haya-2

Leo naendelea kuelezea njia rahisi ya kupunguza unene, fuatana nami katika elimu hiyo. PENDEKEZO LA 2 Ugali kwa samaki; mboga...

READ MORE

Jinsi ya kupika mlenda wa majani ya maboga

Mambo vipi mpenzi msomaji wa safu hii ya Mapishi ya Leo? Naamini uko vizuri na unaendelea na majukumu yako kama...

READ MORE

Macho ng’aring’ari kwa kutumia juisi ya nanasi!

Jinsi ya kutumia juisi hiyo Chukua nanasi kipande, kikamue maji yake kidogo kisha paka chini ya macho. Baada ya hapo...

READ MORE

Jinsi ya kuujenga mwili ‘Body building’

Dhana ya kujenga mwili imezoeleka miongoni mwa vijana na wanamichezo hasa wanaume, lakini ukiingia kwa undani suala la kujenga mwili...

READ MORE

Matatizo ya kutoona vizuri-3

Tunaendelea kuchambua matatizo ya macho.Tatizo la macho liitwalo kitaalam Presbyopia humuathiri karibu kila mtu anayevuka miaka 45. Watu wengi hutumia...

READ MORE

Nyani Apandikizwa Moyo wa Nguruwe

Moyo wa Nguruwe. Maryland, Marekani WANASAYANSI kutoka Taasisi ya Kitaifa ya Moyo, Mapafu na Damu huko Maryland nchini Marekani wanasema...

READ MORE

Unga wa mchele na asali unaondoa magaga

Magaga ni ugonjwa unaosababisha miguu kupasuka na wakati mwingine kufikia hatua ya kutoa damu. Leo ninawaletea tiba inayoweza kutibu tatizo...

READ MORE

Tiba ya uvimbe kwenye mayai ya mwanamke -2

WIKI iliyopita tulieleza aina saba ya uvimbe kwenye mayai ya mwanamke na tukaahidi leo kueleza dalili na tiba yake. Vihatarishi...

READ MORE

Njia rahisi ya kupunguza unene zingatia haya

Ni makala muhimu sana. Wastani wa maisha ya Mtanzania (na Waafrika wengi) hata wale waliosoma au wanaojiweza kiuchumi ni miaka...

READ MORE

Ugonjwa wa ngiri ya kitovu (Umbilical Hernia)

Hili ni tatizo la kiafya ambalo huathiri ukuta wa tumbo na kitovu. Tatizo hili husababishwa na mambo makubwa matatu; kwanza...

READ MORE

Unavyoweza kutunza kucha zako zisipate fangasi

Wiki hii kwenye urembo tutaongelea utunzaji wa kucha ili zisishambuliwe na fangasi ambao mara nyingi huwapata sana akinadada hasa wanaobandika...

READ MORE

Matatizo ya kutoona vizuri-2

Wiki iliyopita nilianza kuelezea tatizo la uoni hafifu linalowakabili watu wengi, leo nitaelezea sababu na matibabu ya uoni hafifu wa...

READ MORE

Siki ya tufaha kwa fangasi wa kucha

Watu wengi wamekuwa wakishindwa kuvaa viatu kwa sababu ya fangasi wa ngozi na wakati mwingine fangasi wa kucha, sasa basi...

READ MORE

Utumie hivi muda wako baada ya shule

WANAFUNZI wengi wamekuwa wakitumia vibaya muda wao baada ya masomo. Wengine kwa michezo isiyo na maana, kushinda vijiweni, kutazama televisheni...

READ MORE

Fahamu aina saba za uvimbe kwenye mayai ya mwanamke

Kuna aina nyingi za uvimbe kwenye mayai ya mwanamke na kusababisha maumivu kwao lakini aina hizi saba ndiyo huonekana sana...

READ MORE

Magonjwa yasiyoambukiza (Non-Communicable Diseases)-2

Katika makala iliyopita tumeona mengi kuhusu magonjwa haya hasa makundi ya watu walio hatarini kuyapata. Taarifa ya Shirika la Afya...

READ MORE

Matatizo ya kutoona vizuri

Baada ya wiki iliyopita kufikia tamati kwa makala iliyohusiana na mzio (Allegy), leo nawaletea mada inayohusu matatizo ya macho ambayo...

READ MORE

Scrub ya vanilla, mafuta ya mzaituni kwa kutelezesha mwili

Wanawake wanapenda kuwa na muonekano mzuri, ndiyo maana wengi wao wanatumia gharama kubwa ili waonekane warembo. Wiki hii nataka kukupa...

READ MORE

Madhara ya kunywa pombe

Pombe ni kati ya vinywaji watu wengi wamekuwa wakipenda kutumia kama moja ya starehe au katika sherehe. Pombe Alcohol ni...

READ MORE

U.T.I; gonjwa linalosumbua wanawake -4

TIBA YA U.T.I NA USHAURI Baada ya kuuchambua ugonjwa wa U.T. I (Urinary Tract Infection ) leo tunazungumzia tiba yake....

READ MORE

Magonjwa yasiyoambukiza (Non-Communicable Diseases)

Magonjwa haya kwa kifupi huitwa ‘NCD’s’. Haya ni magonjwa sugu ambayo humuathiri mtu kwa kipindi kirefu na kadiri siku zinavyoendelea...

READ MORE

Tumia mayonnaise kuzijaza nywele zako

Wiki hii kwenye safu ya urembo tutaongelea jinsi ya kujaza nywele kwa kutumia mayonnaise hasa kwa wale wenye nywele zinazokatika...

READ MORE

Fahamu tatizo la mzio au allergy-3

Je, mzio au aleji inatibika? Tunamalizia mada ya ugonjwa wa mzio kwa kueleza tiba yake. Njia bora zaidi ya kutibu...

READ MORE

UTI; gonjwa linalosumbua wanawake -3

Tunaendelea kuchambua ugonjwa wa UTI. Matatizo ya maambukizi ya UTI licha ya kuwapata zaidi wanawake, huwakumba pia watoto wadogo wa...

READ MORE

Kuzuia na kudhibiti kupanda kwa shinikizo la damu

SHINIKIZO la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira...

READ MORE

Tumia Limao na Mzaituni kwa Kucha Bomba

Ni kitu kilicho wazi kwamba wanawake wengi hasa wa mjini wanapenda kufuga kucha. Katika hilo, baadhi wanatamani sana kucha zao...

READ MORE

Maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke (PID)

Wiki hii mpenzi msomaji wangu namalizia aina za magonjwa yanayohusiana na mwanamke kupata muwasho na kutokwa na majimaji ukeni, Pelvic...

READ MORE

Fahamu tatizo la mzio au allergy-2 Dalili za mzio (allegy)

Wiki iliyopita tulieleza matatizo ya mzio na watu wanapataje lakini hatukueleza dalili zake. Leo tunaeleza dalili za aleji ambazo ni...

READ MORE

UTI; gonjwa linalosumbua wanawake -2

Wapo wanawake ambao wamekuwa wakidhani kwamba tatizo la kutokwa na uchafu ukeni ni ugonjwa wa UTI (Urinary Tract Infection), wazo...

READ MORE

Fahamu vyakula vya kuondoa gesi tumboni

WATU wengi wamekuwa wakihangaika sana na matumbo yao kujaa gesi na pengine kuvimba. Leo nakuletea baadhi ya vyakula vya kula...

READ MORE

Muwasho na kutokwa na majimaji ukeni (Vaginal Discharge)-3

Bado niko kwenye muendelezo wa aina za magonjwa yanayohusiana na mwanamke kupata muwasho na kutokwa na majimaji ukeni ambapo wiki...

READ MORE

Scrub ya sukari, kahawa na mafuta ya mzaituni kwa ngozi ya mwili

Watu wengi wana uchafu kwenye ngozi hata wakioga bila kujua sababu ni nini, wengine wanakuwa na weusi f,lani hata kama...

READ MORE