×

Amani

ESMA, JAMAA MPYA MAMBO NI MOTO!

 DADA’KE Diamond, Esma Platnumz na jamaa anayedaiwa kuwa ndiye mtu wake kwa sasa mambo ni moto ambapo wawili hao picha...

READ MORE

FAHAMU KINACHOSABABISHA MIGUU KUFA GANZI

 KATIKA mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na...

READ MORE

UNAIKUMBUKA AHADI YAKO WAKATI UNAANZISHA UHUSIANO?

NI Alhamisi nyingine tunakutana tena kwenye ukurasa huu wa kupeana elimu juu ya uhusiano na mapenzi. Leo nazungumzia juu ya...

READ MORE

MUNA AIPANGA NDOA YAKE KICHWANI!

MuigizaJi wa kitambo kwenye tasnia ya filamu Bongo, Rose alphonce ‘Muna’ amefunguka kuwa, anaiona ndoa yake siku za hivi karibuni...

READ MORE

FREEMASON, UCHAWI VYATEKA MAKANISA BONGO

DAR ES SALAAM: SIKU za mwisho watatokea manabii wengi wa uongo! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na maandiko yaliyopo kwenye Biblia...

READ MORE

MSANII APIGWA MIMBA YATOKA

DAR ES SALAAM: MAMBO mengine yanatafakarisha! Hivi inawezekanaje umkataze mtu atukane halafu ageuke mbogo na baadaye kukushushia kipigo hadi ujauzito...

READ MORE

MKIACHANA MNAPASWA KUISHI HIVI!

HAKUNA kitu kinauma kama kuachwa. Anayeachwa huwa anakuwa hayupo tayari kukubali matokeo. Aliyemuacha mwenzake anakuwa amejiandaa wakati mwenzake hajajiandaa. Ni...

READ MORE

MARRY MAWIGI SIDANGI, TAMTHILIYA ZINALIPA

Mwigizaji wa filamu Bongo, Mary Mawigi amefunguka kuwa, kwa sasa maisha yake anayaendesha kwa kucheza tamthiliya ikiwa ni baada ya...

READ MORE

IYOBO, AUNT ‘FULL’ KURUSHANA ROHO

DANSA wa Kundi la Wasafi Classic Baby ‘WCB’, Moses Iyobo ‘Moze’ na mzazi mwenziye Aunt Ezekiel ambao sasa wamemwagana, hivi...

READ MORE

JUMA NATURE KUIBUKA NA NANDY, HARMONIZE

MSANII mkongwe katika tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Juma Kassim ‘Nature’ amefunguka kuwa, ana nyimbo nyingi alizofanya yeye mwenyewe...

READ MORE

 PENZI LA KIBA LAMTESA MREMBO!

TOA la moyoni! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mrembo mmoja anayetumia jina la Nancy_The_Beuty kueleza hisia zake za mapenzi kwa staa...

READ MORE

TAPELI MREMBO WA NITUMIE KWA NAMBA HII ANASWA

MOROGORO: Mrembo mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, amenaswa katika tukio la utapeli wa fedha za mtandao.   ...

READ MORE

ASKARI AJIUA KISA MKWEWE

MOROGORO: Inasikitisha! Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Setembo, Rajabu Athumani (60), anadaiwa kujiua kwa kujinyonga, kisa kikidaiwa ni mauaji...

READ MORE

LULU DIVA AANIKA SIRI YA KUUCHA MUZIKI

B AADA ya tetesi kusambaa kuwa ameachana na muziki na kujikita kwenye tamthiliya, msanii wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu...

READ MORE

KOLETHA, BEN BRANKO NUSURA WAZICHAPE

NI shida! Mkongwe wa filamu za Kibongo, Koletha Raymond na msanii mwenzake, Ben Branko hivi karibuni waliponea chupuchupu kuzichapa baada...

READ MORE

PETE YA UCHUMBA YA GIGY GUMZO

MREMBO anayefanya poa kunako anga la Bongo Fleva, Gigy Money amedaiwa kuvishwa pete na mwanaume mwingine tofauti na Mojay ambaye...

READ MORE

 50 CENT AMKATAA MWANAYE

RAPA kutoka Marekani, 50 Cent ameingia kwenye headline kwa mara nyingine baada ya kumkana hadharani kijana aitwaye Marquise Jackson (21)...

READ MORE

KIDOA AELEZA SABABU UCHUMBA KUVUNJIKA

MSANII wa filamu na video queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’ ameibuka na kueleza sababu za uchumba wake kuvunjika. Kidoa...

READ MORE

MONDI AMPA MSALA KIBA!

DAR ES SALAAM: Weka pembeni nyimbo zake za mwaka huu za Tetema, The One na Inama, sasa ni zamu ya...

READ MORE

T.I AKABIDHI TUZO YA NIPSEY KWA FAMILIA

RAPA Clifford Joseph Harris usiku wa kuamkia Jumanne, alikabidhi tuzo ya BET ya rapa mwenzake, marehemu Nipsey Hussle.  Katika tuzo...

READ MORE

TATIZO LA KUKOSA HEDHI WAKATI SI MJAMZITO (AMENORRHEA)

KWA kawaida, mtoto wa kike akishafikia umri wa kuvunja ungo, anaanza kuona siku zake za hedhi. Huendelea kuona siku zake...

READ MORE

ISHU YA FREEMASON… YATIKISA UPYA WASAFI!

KUMEPITA ukimya wa muda mrefu hazijasikika zile habari za msisimko zinazoihusu jamii ya siri duniani inayodaiwa kumuabudu shetani na kuhusishwa...

READ MORE

MAMA WA KANUMBA KUBURUZWA KORTINI

DAR ES SALAAM: BALAA jipya! Mama wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa anatarajiwa kupandishwa...

READ MORE

AUNT SINA PAPARA NA NDOA, NAKULA UJANA !

AUNT Ezekiel amesema kwa sasa hana mpango wa kufunga ndoa na mpenzi wake mpya kwani anakula ujana kwanza.  Aunt ambaye...

READ MORE

SHILOLE: SIJAINGIA KWENYE NDOA KUCHEZA MDUARA!

MWANAMUZIKI wa mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, watu wasimfikirie ameamua kuingia kwenye ndoa kama maonesho, bali amedhamiria kwenda...

READ MORE

POSH QUEEN, PROF JAY GUMZO!

PICHA waliyopiga mwanamitindo Jacqueline Obed ‘Posh Queen’ na Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule ‘Prof Jay’ imezua gumzo ile mbaya huko...

READ MORE

UNAUHAKIKA ANAKUPENDA KWA DHATI

ALHAMISI nyingine imewadia ambapo tumekutana katika uwanja huu, ambao tunajifunza mambo mbalimbali kuhusu uhusiano. Naamini ukurasa huu unakusaidia kukuza ufahamu...

READ MORE

FAHAMU MADHARA YA PUMU KWA WAJAWAZITO

TAFITI kadhaa zimeonesha kuwa takribani theluthi moja ya wajawazito wenye pumu hupata nafuu kipindi cha ujauzito, theluthi nyingine hupata matatizo...

READ MORE

Baada ya Kushindwa Kufanya Shoo Kenya, Afya ya Diamond, Hofu Yantanda

HOFU imetanda juu ya afya ya staa wa Afro-Pop barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Amani limedokezwa.   TUJIUNGE NAIROBI,...

READ MORE

DAVINA AFUATA NYAYO ZA MOND

HALIMA Yahya ‘Davina’ ameonesha kufuata nyayo za staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Mondi’ kwa kuanzisha ‘brandi’ yake ya pafyumu....

READ MORE

AMBER LULU KUMZALIA PREZZO!

VIDEO queen ambaye pia anafanya poa kunako Bongo Flevani, Lulu euggen ‘Amber Lulu’ amesema kwa sasa anaona kuwa hakuna cha...

READ MORE

UTAWEZAJE KUKAMATA MWANAUME ULIYEMPENDA-3

UKWELI ni kwamba wanawake wakiwapenda wanaume hubaki na mateso mioyoni mwao. Hii ni kwa sababu ni vigumu kumtokea mwanaume moja...

READ MORE

FAHAMU MAKUNDI YA UGONJWA WA PUMU (BRONCHIAL ASTHMA)-2

Wiki hii tunaendelea mfululizo wa makala ya Fahamu makundi ya ugonjwa wa pumu, endelea kufuatilia… LAKINI pia upasuaji wakati wa...

READ MORE

ALIYEMUUA MKE, MKWE, JIRANI… UNDANI WAANIKWA

MOROGORO: Tukio la Michael John Mwandu, mkazi wa Dumila, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro la kumuua mkewe, jirani na mkwewe...

READ MORE

MCHUNGAJI AZUA TAFRANI KARIAKOO

DAR ES SALAAM: Ukisikia neno mchungaji amezua tafrani na kufunga mtaa mchana kweupe lazima utabaki na maswali mengi, imekuwaje kwani...

READ MORE

CHUCHU: GABO NI ZAIDI YA FURAHA KWANGU !

CHUCHU Hansi amefunguka kuwa, kila anapopata nafasi ya kukutana na muigizaji mwenzake Salim Ahmed ‘Gabo’ anapata amani ya moyo kwani...

READ MORE

SAJENTI: NGUO FUPI HAZIMHARIBU MTOTO

MUIGIZAJI Husna Idd ‘Sajenti’ amesema kitendo cha yeye kumvalisha mwanaye nguo fupi hakimaanishi kwamba mwanaye ataharibikiwa kitabia.    Sajenti amesema,...

READ MORE

NDOA YA LULU SINTOFAHAMU

DAR ES SALAAM: Moja ya ndoa za mastaa Bongo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa ni ya msanii wa filamu, Elizabeth...

READ MORE

UMAFIA! WATEKA MTOTO WAPATELI FEDHA WAOANE

DAR ES SALAAM: Watu wawili waliotajwa kuwa ni wachumba waliofahamika kwa majina ya James na Happy wakazi wa Kivule jijini...

READ MORE

JEURI KAMA YOTE, DIMPOZ AWAVIMBIA KIBA, MONDI

DAR ES SALAAM: Dunia inakwenda kasi sana na ni vigumu mno kuisimamisha! Miezi kadhaa baada ya afya yake kuyumba kisha...

READ MORE