×

Celebrities

AMBER RUTTY AIBUKA KIVINGINE

MSANII chipukizi wa Bongo Fleva, Rutyfiya Abubakary ‘Amber Rutty’ amevunja ukimya wa muonekano wake baada ya kuibuka kivingine. Kwa mujibu...

READ MORE

DRAKE KUACHIA NYIMBO KAMA ZAWADI KWA TORONTO RAPTORS NBA

RAPA Drake ameonesha furaha yake kwa kuachia nyimbo omerta na Money in the grave akimshirikisha Rick Ross kama zawadi ya...

READ MORE

MREMBO ALIYETWAA TAJI CHINA AFUNGUKA

MREMBO Anitha Mlay aliyeshika nafasi ya pili katika Shindano la Kimataifa la Mazingira la Miss Landscape nchini China, amefungukia safari...

READ MORE

WOLPER DHARAU ZIMENICHELEWESHA U-BOSS LADY!

STAA wa filamu ambaye hivi sasa amegeukia ufundi cherehani, Jacqueline Wolper, amefunguka kuwa dharau zake zilimfanya asiwe tajiri wa kike...

READ MORE

DULLY SYKES AFICHUA SIRI YA KUFANYA KAZI NYINGI NA HARMONIZE

NGULI wa Muziki wa Bongo Fleva, Dully Sykes ‘Mr Misifa’, jana Alhamisi alitembelea Ofisi za Global Group na kushangazwa na...

READ MORE

Baada ya Kushindwa Kufanya Shoo Kenya, Afya ya Diamond, Hofu Yantanda

HOFU imetanda juu ya afya ya staa wa Afro-Pop barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Amani limedokezwa.   TUJIUNGE NAIROBI,...

READ MORE

WAIGIZAJI 10 WALIOFARIKI KABLA YA KUMALIZA MUVI! – VIDEO

Siku za hivi karibuni, tuliwaletea orodha ya wasanii wa filamu walionusurika kifo wakati walipokuwa wakicheza muvi.Hii leo sasa nakuletea orodha...

READ MORE

Hii ndiyo sababu ya Kala kuimba Amerika

KAMA wewe ni kijana mwenye ndoto ya kuzamia Afrika basi habari ikufikie kuwa staa wa Hip Hop Bongo, Kala Jeremiah,...

READ MORE

CHRIS BROWN AMTEMA NICKI MINAJ

MWANAMUZIKI kutoka pande za Marekani Chris Brown amemtoa Nicki Minaj kwenye orodha ya wasanii ambao aliwataja kuongozana nao kwenye ziara...

READ MORE

ETO’O AMPIGIA SALUTI DIAMOND

DAR ES SALAAM: KISMATI! Ukiona hadi staa mwenzako anakupa heshima, jua unachofanya ni kikubwa! Nahodha wa zamani wa Timu ya...

READ MORE

UZURI UNAMFANYA MOBETO ASITAKE WANAUME

Kwel i? Mwanamitindo, mwigizaji na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto  amesema anajijua ni mzuri hivyo hana shida ya kuhangaika...

READ MORE

Dully afichua Harmonize alichofanya wimbo wa ‘Nikomeshe’ – Video

MUDA mchache baada ya kutinga katika viunga vya Global Group, Sinza-Mori jijini Dar,  maalum kwa kutambulisha ujio wake mpya wa...

READ MORE

DAVINA AFUATA NYAYO ZA MOND

HALIMA Yahya ‘Davina’ ameonesha kufuata nyayo za staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Mondi’ kwa kuanzisha ‘brandi’ yake ya pafyumu....

READ MORE

MIMBA YA TANASHA GUMZO

ANAFICHA mimba! Ndivyo walivyosikika mashabiki waliomuona mchumba wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch kutokana...

READ MORE

AMBER LULU KUMZALIA PREZZO!

VIDEO queen ambaye pia anafanya poa kunako Bongo Flevani, Lulu euggen ‘Amber Lulu’ amesema kwa sasa anaona kuwa hakuna cha...

READ MORE

MAREHEMU B.I.G APEWA MTAA NEW YORK

MAMA mzazi wa marehemu Notorious B.I.G ameweka wazi kuwa mji wa New York umeamua kumpa heshima mwanae kutokana na mchango...

READ MORE

KIM KARDASHIAN AANIKA KICHANGA CHAKE KWA MARA YA KWANZA

MWANAMITINDO maarufu duniani Kim Kardashian ameamua kumuonyesha mtoto wake wa kiume kwa kuweka picha kwenye mtandao wake wa instagram kwa...

READ MORE

BEN POL ATAMBULISHA WIMBO MPYA WA ‘WAPO’ (PICHA +VIDEO)

STAA wa Bongo Fleva, Bernard Paul ‘Ben Pol’ leo alifika ndani ya ofisi za Global Group maalum kwa kutambulisha ujio...

READ MORE

Ben Paul: Sikushangaa Harmonize, Shetta Kumtumia Meseji Mpenzi Wangu – Video

STAA wa Bongo Fleva, Bernard Paul ‘Ben Pol, amefunguka kuhusu mambo kadhaa yaliyoibuka kwenye mitandao  kutokana na baadhi ya watu...

READ MORE

Q CHILLA ‘AOTA’ KURUDIA ENZI

MWANAMUZIKI wa Kizazi Kipya, Abubakary Katwila ‘Q-Chillah’ amejitapa kurudi katika gemu la muziki kama ilivyokuwa mwanzoni mwa miaka ya 2000...

READ MORE

Kala Jeremiah Alivyopata Tabu Kufuga ‘Mwembe’ Huu – Video

RAPA Kala Jeremiah ambaye hivi karibuni ameachia ngoma zake mbili #NISAMEHE na #AMERICA, amefunguka na kusema kuwa alipata wakati mgumu...

READ MORE

DAVINA: SITAKI KUTUMIKA TENA

Muigizaji mkongwe Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa hapendi tena kutumika kwa wanaume ambao hawana msimamo katika maisha yake...

READ MORE

LULU DIVA AMFUNGUKIA RIYAMA

STAA wa Bongo Fleva ambaye, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amemfungukia staa mwenzake kwenye tasnia ya filamu Bongo, Riyama Ally kuwa...

READ MORE

FLAVIANNA MATATA KUJA NA TAULO ZA KIKE

MWANAMITINDO wa Tanzania Flavianna Matata kuja na bidhaa zake mpya Taulo za kike (pads) kutoka kwenye Kampuni yake ya LavyTaulo...

READ MORE

Majibu ya Aunt Kuhusu Iyobo: Nife na Majanga ya Kuvumilia Kisa Instagram?

MSANII wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ameamua kufunguka na kuweka wazi kuhusu wanaomsema kufuatia kuachana na mzazi mwenzake, Mose Iyobo....

READ MORE

Msaidizi Wake Afichua Siri Nzito ya Mariah Carey

MWANAMUZIKI Mariah Carey ana makalio ya bandia, hii imethibitishwa na aliyekuwa msaidizi wake Lianna Shakhnazarryan kwenye mgogoro wao wa kisheria...

READ MORE

KAJALA AFICHUA CHIMBO JIPYA LA MASTAA!

STAA wa filamu Bongo, Kajala Masanja amefichua chimbo jipya la mastaa lililopo katika msitu wa Magoroto uliopo Wilaya ya Muheza,...

READ MORE

NAMUONA LULU NDANI YA JENNIFER KANUMBA

KWA wafuatiliaji wa filamu tangu enzi zile ambazo filamu ilikuwa filamu kwelikweli, watakuwa wanamkumbuka vizuri binti mdogo aliyekuwa akifahamika kwa...

READ MORE

Kajala: Kuteketeza Milioni kwa Mtoko Kawaida Sana!

NI siku nyingine tena tunakutana katika safu hii ya My Style ambayo inazungumzia mastaa mbalimbali na kueleza maisha yao ya...

READ MORE

NANDY APINDUA MEZA MDOGOMDOGO

FEBRUARI 9, 2017 bado itaendelea kubaki kama kumbukumbu katika kichwa cha mwanadada mrembo anayetikisa Bongo Flevani, Faustina Charles Mfinanga anayetumia...

READ MORE

Video Mpya DJ Davizo Ft. Chin Bees, Itazame Hapa

DUDE jipya linalotikisa kwa sasa mtaani, kwenye Stations mbalimbali za Radio na Televisehni Bongo na nje ya nchi ni video...

READ MORE

KUMBE AUNT NA IYOBO MAMBO POA TU!

Mwanamama wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amesema kuwa pamoja na kwamba hayupo tena kimapenzi na mzazi mwenzake, Mose Iyobo ‘Moze’...

READ MORE

ENZI ZA UTOTONI, UNAAMBIWA KAJALA ALIKUWA HAOGI

Ukiona mastaa Bongo sasa hivi wanajipenda na kupendeza ni vigumu kujua huko nyuma walikuwa wengine hata wanarudi nguo siku nzima....

READ MORE

Özil Afunga Ndoa na Amine, Rais wa Uturuki Ndo Best Man Wake

NYOTA ambaye ni kiungo wa Timu ya Arsenal, Mesut Özil jana amefunga ndoa na mpenzi wake Amine Gulse (Miss Uturuki...

READ MORE

BINTI KIBOKO YA ZARI KUTUA BONGO

NYOTA ya binti wa miaka 18, Regina Daniels maarufu kama ‘Kiboko ya Zari’ raia wa Nigeria inazidi kung’aa baada ya...

READ MORE

UCHEBE AFUNGUKA KUMDUNDA SHILOLE

MUME wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ Ashiraf Uchebe, amesema tangu aanze kuwa na uhusiano wa kimapenzi na...

READ MORE