×

Celebrities

HARMONIZE AMSHANGAA SARA AMPELEKA GETO LA UDONGO WATU WAPIGWA BUTWAA

STAA wa Bongo Fleva anayetumikia Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ (25), amefanya jambo ambalo vijana...

READ MORE

KAPO YA MOBETO, TANASHA MJADALA KAMA WOTE!

LICHA ya kudaiwa kuwa ni bwana wa mtu lakini kapo ya Mwanamitindo Hamisa Mobeto na huyo mtu wa mtu wameibua...

READ MORE

ODAMA: MUDA WA KUOLEWA BADO

LICHA ya umri kuonekana kuanza kumtupa mkono, muigizaji mkongwe Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa, hababaishwi na ndoa ambazo...

READ MORE

STEVE NYERERE ATOA MPYA KWA ODEMBA

UKISIKIA watu wanasema ametoa kali, basi lazima tukio liwe la kushangaza. Hebu sikia, msanii wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve...

READ MORE

WOLPER AMFUNGUKIA JACQUELINE MENGI

KWA mara ya kwanza staa wa filamu kutoka Bongo Movie, Jacqueline Wolper, amemfungukia mjasiriamali ambaye pia ni Miss Tanzania mwaka...

READ MORE

NICKI MINAJ ASEMA ‘BADO SIJAOLEWA’

MWANAMUZIKI machachari Mmarekani, Nicki Minaj, amesema bado hajapata mume wa kumuoa.  Msanii huyo ameyasema hayo majuzi kuhusiana na mpenzi wake, ...

READ MORE

ZARI AMNYIMA USINGIZI ESTER KIAMA

MSANII mrembo kwenye tasnia ya filamu Bongo, Ester Kiama, amefunguka kuwa kila akimuangalia Mwanamama Zarina Hassan ‘Zari the Bosslady’ akiwa...

READ MORE

LYNN, GIGY MONEY HAPATOSHI TENA!

   HAPATOSHI! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia hivi karibuni kuibuka kwa vita ya maneno kati ya wasanii wawili wa kike Bongo,...

READ MORE

Koffi Olomide ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 2

  Koffi Olomidé, mmojawapo kati ya nyota wa muziki Afrika , amepatikana na hatia ya kumbaka mmoja ya wanengeuaji wake...

READ MORE

GIGY KATOKA KIGUMU, ANAWAINGIZA CHAKA WENGINE !

KIPINDI kile mwanadada Gift Stanford ‘Gigy Money’ anaanza kujulikana, hakuna aliyejua kwamba alikuwa na lengo la kuja kuwa mwanamuziki. Wengi...

READ MORE

JIDE, MAI MARTHA WACHONGANISHWA

MWANA­MUZIKI Judith Wambu­ra ‘Jide’ na mtangazaji Maimartha Jesse ‘Mai’ juzikati walichongan­ishwa baada ya mashabiki kudai kuwa, eti Mai ni mnafiki...

READ MORE

TUNDA ATOBOA KUHUSU KUOLEWA ‘SOON’

VIDEO Queen asiyeishiwa na matukio, Anna Kimario ‘Tunda’ ameibuka na kudai kuwa anaolewa hivi karibuni na mwanaume ambaye sio staa...

READ MORE

MAYA: WANICHEKE TU, MI SIKURUPUKII MTOTO

MSANII wa kitambo kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amesema kuwa hata kama wenzake watamcheka kwa sababu mpaka...

READ MORE

MR. BLUE: KUNA WAKATI SIAMINI KAMA WATOTO NI WANGU

MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu, kila siku iitwayo leo lengo langu kubwa ni kukupatia kitu ambacho kitau-konga moyo wako.  Safu hii...

READ MORE

ATAKAYEMUOA SANCHI AJIPANGE

KAZI ipo! Mwanamitindo ambaye jina lake limezidi kupaa kutokana na umbo lake tata, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amesema kuwa mwanaume ambaye...

READ MORE

RAY C ATOA SABABU KUTOMZIKA RUGE

VUNJA ukimya! Sexy lady wa Bongo Fleva, Rehema Yusuf Chalamila ‘Ray C’ ametaja sababu ya kutomzika Mkurugenzi wa Vipindi na...

READ MORE

WOLPER KWENYE MAOMBI MAZITO TAMASHA LA DAUGHTERS OF ZION – PICHAZ

MSANII maarufu wa filamu nchini, Jacquiline Wolper ameungana na mastaa wenzake, waumini na wananchi wengine kuhudhuria katika Tamasha la Daughters of...

READ MORE

EXCLUSIVE: MUNA LOVE Kwenye Daughter of Zion – Video

ALIYEKUWA muigizaji wa filamu nchini kabla ya kugeukia mambo ya Injili, Muna Love, amekuwa miongoni mwa mastaa waliohudhuria katika Tamasha...

READ MORE

MOBETO ACHARUKA, KISA DIAMOND

MWANAMITINDO Hamisa Mobeto juzikati alicharuka kinoma baada ya kuulizwa kuhusiana na madai ya mzazi mwenzake Nasibu Abdul ‘Diamond’ kusitisha huduma...

READ MORE

CALISAH ATOA SIRI ATAKAVYOMLEA MWANAYE

MWANAMITINDO Calisah Abdulhamiid ametoa siri jinsi atakavyomlea mwanaye, Calic kwamba atakuwa tofauti kabisa na watoto wa mastaa wengine Bongo ambao...

READ MORE

ZARI NOMA ANUNUA GARI LA KIFAHARI DUNIANI

DAR ES SALAAM: SHIKAMOO Zari! Ndivyo walivyoanza ‘kukomenti’ watu mitandaoni baada ya mwanamama mjasiriamali wa Kiganda, Zarinah Hassan ‘Zari The...

READ MORE

DIAMOND, HARMONIZE YAWAKUTA KENYA!

DAR ES SALAAM: Kimenuka! Wanamuziki wawili wakubwa wa Afro-Pop kutoka Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond...

READ MORE

Siri nne za Simba Zahera alizotoa kwa Wakongo

UONGOZI wa AS Vita umeshtuka mapema na kutuma timu ya watu sita kuweka mambo sawa baada ya kumaliza mechi yao...

READ MORE

AMBER LULU AJUTA KUPOTEZA MUDA KWA PREZZO

 MAJUTO! Msanii wa Bongo Fleva, Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ amefunguka kuwa anajuta kupoteza muda wake kwa aliyekuwa mpenzi wake, Jackson...

READ MORE

NANDY ASHTUA, AHAMA MJENGO WA KIFAHARI

DAR ES SALAAM: Sexy lady wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’ (26), ameshtua wengi, Ijumaa limedokezwa.     Mshtuko huo...

READ MORE

TUZIELEWEJE NDOA ZA LULU, TANASHA?

NDOA ni mpango wa Mungu. Ndoa inaleta heshima fulani katika jamii. Unaposikia fulani ni mume au mke wa mtu huwa...

READ MORE

ZARI NA MADONGO YA GIZANI

Mzazi mwenziye staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ amedaiwa kutupa madongo ya gizani...

READ MORE

RONALDO NI HABARI NYINGINE, AISAMBARATISHA ATLETICO KWA HAT-TRICK

DUNIA nzima inatambua ubora wa mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo na hakuna ambaye alishangaa kwa kile alichofanya usiku wa kuamkia...

READ MORE

NAI AFUNGUKIA ISHU YA KUJICHUBUA

BAADA ya kuandamwa mitandaoni juu ya ngozi yake kwamba anajichubua, muuza nyago maarufu Bongo, Nai Kisa ‘Nai’ amefungukia ishu hiyo...

READ MORE

WEMA  ATOBOA SIRI YA KUBADILIKA

STAA ‘grade one’ kunako filamu za Kibongo ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ametoboa siri ya kubadilika...

READ MORE

UWOYA, J-LO NGOMA DROO KUDATE NA ‘WADOGO ZAO

MSANII wa filamu za Kibongo, Irene Uwoya anakuwa ngoma droo na mwanamuziki Jennifer Lopez ‘J-Lo’ kwenye suala zima la malavidavi...

READ MORE

SAKATA LA DINI YA WANAYE… ZARI KAYAIBUA YALIYOLALA

DAR ES SALAAM: Ukifanya jambo na kulisahau usifikiri watu wote wasahaulifu kama wewe; kuna wakati watakukumbusha!     Zarinah Hassan ‘Zari’...

READ MORE

KWA MATESO HAYA NINAYOPATA, BABA DIAMOND: BORA NIFE TU!

NI bora nife tu kwa mateso haya! Baba mzazi wa mwanamuziki kiwango wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul...

READ MORE

MUNA: MANENO YANGENIWEKA MBALI NA WOKOVU

MSANII wa filamu Bongo, Rose Alphonce ‘Muna’ amesema kuwa kama angesikiliza kejeli za watu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii hakika...

READ MORE

UTATA WAIBUKA MJENGO WA LYNN

UTATA! Ndiyo maneno unayoweza kusema baada ya muuza nyago maarufu Bongo ambaye pia ni mwanamuziki wa Bongo Fleva, Irene Godfrey...

READ MORE

Vanessa Mdee: Kuhudhuria Misiba Siyo Matangazo

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Vanessa Mdee, amejibu tuhuma za kutoonekana misibani hivi karibuni, baada ya kudai kuwa amechoshwa...

READ MORE

MUTRAH ‘AWALILIA’ WANAOTOA MIMBA

MUIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Mutrah Tamim ‘amewalilia’ wasichana wanaotoa mimba kila kukicha na kuwataka waache kwani watoto hao watakuja...

READ MORE

SIRI YAFICHUKA KILIO CHA DIMPOZI

SIRI imefichuka juu ya kilio kizito cha staa wa Bongo Fleva, Faraja Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ alipojikuta akilia kwa kunung’unika wakati...

READ MORE

ESMA HATAKI KUSIKIA KUHUSU NDOA TENA

DADA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Khan amefunguka hataki kusikia tena kitu kinachoitwa ndoa kwa...

READ MORE