×

Celebrities

MADAHA ADAIWA KUSHINDWA KULIPA KODI

SKENDO iliyomganda msanii wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ni ya kushindwa kulipa kodi kwenye nyumba aliyokuwa akiishi...

READ MORE

Kisa ‘KIBAMIA’….. Stamina Amshangaa Naibu Waziri

RAPA Stamina ambaye anaunda Kundi la ROSTAM na rapa mwenzake Roma Mkatoliki, ameonyesha kushangazwa na maamuzi ya Naibu Waziri wa Habari,...

READ MORE

MENEJA WA UWOYA ATIWA MBARONI!

  MSANII wa fi lamu Bongo, Irene Uwoya ameingia matatizoni baada ya meneja wake wa bar iliyopo Sinza, Mariam Ismail...

READ MORE

Hawa wa Nitarajea Hali Tete Tena!

MWANAMUZIKI ambaye alishirikishwa kwenye Wimbo wa Nitarejea ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Hawa Said hali yake...

READ MORE

Serikali Yamfungia Roma Kisa ‘KIBAMIA’

Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza amemfungia Rapa Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ kwa muda wa miezi sita kutojihusisha...

READ MORE

WOLPER: SIJAWAHI KUUMIA KUACHANA NA MPENZI

STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa licha ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanaume tofauti na...

READ MORE

Ray, JB Waapa Kutoana Meno Pasaka!

WAKALI wa filamu za kibongo nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’ na Jacob Stephen ‘JB’ wameapa kupasuana vilivilivyo katika pambano la raundi...

READ MORE

Baba: Nikifa Dimpoz Asinizike!

Ni kama wanaigiliziana kwani baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kumtelekeza baba yake, Mzee Abdul Jumaa...

READ MORE

TCRA Yawapiga Pini Diamond, Nay, Roma na Gigy

Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA) imepokea orodha ya nyimbo 15 zisizokuwa na maadili kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kupiga marufuku...

READ MORE

Linah Aanika Idadi ya Wanaume Aliyotembea Nao

  MWANADADA anayekimbiza kwenye muziki wa Bongo Fleva, Linah Sanga amefunguka na kutaja idadi ya wanaume ambao ametembea nao na...

READ MORE

Wastara sasa Yupo Fiti, Kurejea Nchini Kesho Alhamisi

HAKIKA Mungu ni muweza! Wastara Juma ambaye yupo kwenye matibabu ya mguu katika Hospitali ya Saifee nchini India imeimarika na...

READ MORE

JIKE SHUPA ADAIWA KUFUGA MATEJA WA UNGA

BAADA ya hivi karibuni kufunguka kuwa, anamsaidia mdogo wa Mbunge wa Bunda Mjini (Chadema), Ester Amos Bulaya, Deus Bulaya aliyeathirika...

READ MORE

INSPEKTA HAROUN: WAKONGWE HATUJASHINDWA

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya, Inspekta Haroun ameeleza kwamba wanaosema wanamuziki wakongwe wameshindwa kimuziki na wasanii wanaochipukia ni uongo...

READ MORE

SHILOLE ASAKA MTOTO

STAA wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameeleza kuwa baada ya kuingia kwenye ndoa miezi kadhaa iliyopita kwa sasa yeye...

READ MORE

DARASSA KAZIMA, KAPOTEA AU KAPUMZIKA?

Maisha na muziki, acha maneno weka muziki, Ukiwa sad ukiwa happy, Ukiwa juu ukiwa chini piga muziki, (Yeeeeah) Safari na...

READ MORE

SKENDO ZA MAPENZI ZAMHARIBIA BILLNASS

STAA ambaye kwa sasa anatamba na Wimbo wa Tag Ubavu, anayefahamika zaidi kwa jina la Billnass, amefunguka kuwa hakuna jambo...

READ MORE

DAYNA KUMTAMBULISHA BABA KIJACHO WAKE

KUTOKANA na gumzo ambalo linaendelea kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii, juu ya mtu aliyemtundika ujauzito mwanadada Dayna Nyange, kuzidi...

READ MORE

Mastaa Walivyoguswa na Kifungo cha Sugu

KUFUATIA Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga kuhukumiwa jela...

READ MORE

Diamond Aanika Album Yake Mpya ‘A Boy From Tandale’

MKALI wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz ameweka hadharani kuwa mnamo Machi 16 mwaka huu ataachia albamu yake mpya ya ‘A...

READ MORE

Alikiba, Abdul Kiba Kufunga Ndoa Siku Moja

ULISHAWAHI kutembea barabarani ukiwa umeshika pakti ya ubuyu mtamu? Hakika huwezi kupiga hatua mbili bila kuombwa, iwe na mtoto, kijana...

READ MORE

Wolper Anajuta Kupoteza Muda Wake

STAA mwenye kuijulia mitindo ya nguo Bongo, Jacqueline Wolper anajutia kupoteza muda wake mwingi kukomaa na filamu, badala yake anaona...

READ MORE

TAUSI AFUNGUKA KUACHA ‘NIDO’ NJE

KOMEDIANI mwenye jina kubwa Bongo, Tausi Mdegela amefungukia ishu ya kuacha matiti ‘nido’ zake nje kisha kutupia picha kwenye ukurasa...

READ MORE

MTOTO WA RAY ALAMBA SHAVU NMB

  MTOTO wa Staa wa Filamu Bongo, Vicent Kigosi ‘Ray’, aitwaye Jaden Kigosi, amepata shavu kutoka kwa wazazi wake baada...

READ MORE

SKENDO YA UCHAWI YAMTAFUNA PRETTY KIND

MSANII wa filamu Bongo, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ amejikuta akitafunwa na skendo ya uchawi kutoka kwa watu wake wa karibu...

READ MORE

AUNTI LULU AGEUKIA MUZIKI  WA INJILI

    MARA baada ya kuokoka, mtangazaji Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ ameamua kugeukia Muziki wa Injili ambapo ameanza kufanya mazoezi...

READ MORE

KEISHA ATAJA KILICHOMFANYA AWE KIMYA

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Khadija Shabani ‘Keisha’ ameeleza sababu iliyomfanya akae kimya kwa muda mrefu. Keisha ambaye amewahi kutamba na...

READ MORE

Country Boy Atamani kufanya Kolabo na Khadija Kopa

RAPA kutoka Kundi la Watu Chee, Country Boy ambaye wimbo wake wa Turn Up unafanya vizuri kwenye gemu la Muziki...

READ MORE

FAMILIA YAGOMA DIAMOND, ZARI KUACHANA!

  SIKU chache baada ya mrembo Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kutangaza kummwaga mpenzi wake, staa wa Bongo Fleva,...

READ MORE

MONI: R.O.M.A KITU GANI BANA, NASIMAMA MWENYEWE!

UKIACHANA na ngoma kali iitwayo Mwaaah, aliyoiachia msanii kutoka Dodoma Awadhi Mtezo ‘Moni Central Zone’, aliyoshirikiana na Country Boy, gumzo...

READ MORE

Za Chembe: Man Fongo kwa Staili Hii Utapotea Aisee!

JINA lake halisi anaitwa Amani Fongo lakini wengi wanamjua zaidi kwa jina la Man Fongo, msanii wa Singeli ambaye anabamba...

READ MORE

MO MUSIC ATOSWA NA DEMU KISA…

MSANII anayetamba na Wimbo wa Bajaj, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amejikuta kwenye msongo wa mawazo baada ya mwanamke aliyekuwa mbioni...

READ MORE

KADINDA KIGUGUMIZI PENZI LA WEMA, DIAMOND

MWANAMITINDO maarufu wa mavazi Bongo, Martin Kadinda, ambaye awali alikuwa meneja wa staa mkubwa wa Bongo Muvi, Wema Sepetu, amepata...

READ MORE

ZARI ALIVYOMNYAMAZISHA TUNDA

MUUZA nyago machachari kwenye video za wasanii Bongo, Tunda Sebastian amefunguka kuwa ameufyata mdomo wake kuzungumzia chochote kuhusu aliyekuwa mpenzi...

READ MORE

 Kajala Afunguka Kuitelekeza Kampuni Yake

MREMBO wa Bongo Muvi, Kajala Masanja amefunguka kuwa hakutelekeza kampuni yake ya filamu bali alikuwa bize na shughuli mbalimbali zisizohusu...

READ MORE

DYNA AJAZWA KITUMBO NDII

MREMBO anayekimbiza kwenye Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amejazwa kitumbo ndii kinachodaiwa kumpeleka puta na ndiyo sababu ya kuwa...

READ MORE

BABY SHOWER YA MTOTO WA GIGY YABUMA

MWANADADA machachari kwenye Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ambaye anatarajia kujifungua mwezi ujao, amejikuta akishindwa kufanya shughuli ya maandalizi...

READ MORE

PAM D AGEUKIA SINGELI

MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ ameamua kugeukia muziki wa singeli na kuahidi kuliteka soko hilo, kwa kuwa...

READ MORE

BENPOL AFUNGUKA KUNANGWA NYWELE ZAKE

BAADA ya kunangwa na mashabiki zake mitandaoni kwamba rangi ya kijani aliyoweka kwenye nywele zake haijampendeza, mwanamuziki wa Bongo Fleva,...

READ MORE

KWA NINI ZARI KAUMIZWA NA WEMA NA SI MOBETO?

  SIKU chache baada ya Zarinah Hassan ‘Zari Boss Lady’ kuweka wazi kuwa ameachana na baba watoto wake, Nasibu Abdul...

READ MORE

CHEMICAL: SINGELI IMENIPUNGUZIA HESHIMA

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Claudia Lubao ‘Chemical’, amefunguka kuwa kwa upande fulani Muziki wa Singeli, ulimpunguzia heshima kutoka kwa mashabiki...

READ MORE