×

Dar Live

JAHAZI, TMK KUTOANA JASHO PASAKA DAR LIVE

KUNDI la Muziki wa Taarab, Yah TMK Modern, Aprili Mosi (Sikukuu ya Pasaka) linatarajiwa kutoana jasho na kundi kongwe la...

READ MORE

Sholo Aingia ‘Chimbo’ Kisa Shoo Pasaka Dar Live

PRESHA inazidi kupanda na kushuka kuelekea Aprili Mosi (Sikukuu ya Pasaka) ambapo mkali wa Singeli, Sholo Mwamba yupo ‘chimbo’ akijifua...

READ MORE

MAN FONGO, SHOLO WATAMBIANA

SIKU zikiwa zinah-esa-bika kufikia Aprili Mosi (Sikukuu ya Pasaka), wakali wawili wanaotikisa katika Muziki wa Singeli Bongo, Sholo Mwamba na...

READ MORE

Sholo Aomba Radhi, Aahidi Makubwa Pasaka

  KUFUATIA kuingia mitini katika tamasha la Mwaka Mpya, Mkali wa Singeli, Sholo Mwamba ameweka wazi kuwa kilichotokea ni kwamba...

READ MORE

Yah TMK Waipiga Mkwara Jahazi

Kundi la Muziki wa Taarab Yah TMK KUNDI la Muziki wa Taarab linakuja kasi katika anga la burudani, Yah TMK wamechimba...

READ MORE

DULLA MAKABILA KUMTAMBULISHA MREMBO WAKE DAR LIVE

MKALI wa Muziki wa singeli, Dulla Maka­bila amefunguka kuwa atamtambulisha mwa­namke wake wa sasa katika shoo ya Usiku wa Mwisho...

READ MORE

Sholo, Man Fongo Kumaliza Ubishi Dar Live

WAKATI siku zikielekea kukatika kufikia Aprili Mosi (Sikukuu ya Pasaka), Staa wa Singeli, Sholo Mwamba kwa mara ya kwanza anatarajia...

READ MORE

Sholo Mwamba uso kwa uso na Man Fongo, Dulla Makabila

  WAKATI siku zikielekea kukatika kufikia Aprili Mosi (Sikukuu ya Pasaka), Staa wa Singeli, Sholo Mwamba kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Usiku wa Valentine… Jahazi Wakinukisha Dar Live

IKIWA ni moja ya matukio ya kusherehekea Siku ya Wapendanao, mashabiki wa burudani usiku wa kuamkia leo walikongwa nyoyo zao...

READ MORE

Usiku wa Valentine’s Special…. Dar Live ‘Pamechafuka’!

ILE shoo ya kukata na shoka ya usiku wa wapendanao, Valentine’s Special imetikisa katika wa Taifa wa Burudani, Dar Live...

READ MORE

Valentine’s Day… Aslay Kupiga zote za Mapenzi Dar Live

UKIWA ni mwezi wa malavidavi kwa mara ya kwanza kabisa hitmaker wa Ngoma ya Natamba, Aslay Isihaka anatarajiwa kutoa zawadi...

READ MORE

Valentine’s Day… Aslay Kupiga ‘Live Band’ Dar Live

  UKIWA ni mwezi wa malavidavi kwa mara ya kwanza kabisa hitmaker wa Ngoma ya Natamba, Aslay Isihaka anatarajiwa kupiga...

READ MORE

Kopa, Msagasumu Kupamba Shindano la Nyonga

WAMAMA wa uswazi na ushuwani leo Alhamisi wanata-rajiwa kuon-eshana matu-mizi ya nyonga kwenye shindano litakalo-fanyika Uwanja wa Taifa wa Burudani...

READ MORE

Aslay, Msagasumu Kuifunika Mbagala Valentine’s Day

  UKIWA ni mwezi wa malavidavi, wakali wawili, Mfalme wa Singeli, Seleman Jabir ‘Msagasumu’ pamoja na hitmaker wa Ngoma ya...

READ MORE

Aslay, Msagasumu Kuondoka na Tuzo Valentine’s Day

  HIT MAKER wa Ngoma ya Natamba, Aslay Isihaka pamoja na mkali wa Singeli, Seleman Jabir ‘Msagasumu wanatarajiwa kupewa tuzo...

READ MORE

Usiku wa Uswazi: Hii Shughuli si ya Kitoto

UWANJA wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar kwa kushirikiana na Manywele Entertainment, unatarajiwa kuja na Usiku...

READ MORE

Shangwe za Watoto Kuusherehekea Mwaka Mpya 2018 – Dar Live

Watoto mbalimbali kutoka viunga vya Jiji la Dar es Salaam leo wanasherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya kwa Shangwe ndani ya...

READ MORE

Stamina, Jay Moe, Young Killer, Wafunika Mkesha wa Mwaka Mpya Dar Live

WAKALI wa HipHop Bongo, Stamina, Jay Moe na Young Killer jana walifunika katika Show ya Kibabe iliyofanyika kwenye Mkesha wa...

READ MORE

Shoo ya Kibabe Yatikisa Dar Live Mkesha wa Mwaka Mpya 2018

WAKALI wa Bongo Fleva, Coyo, Q-Boy na wengine jana walifunika katika Show ya Kibabe iliyofanyika kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya...

READ MORE

Stamina, Young Killer Kukinukisha Mkesha Mwaka Mpya

MARAPA wakali Bongo, Stamina na Young Killer wanatarajia kuangusha shoo ya nguvu katika mkesha wa Mwaka Mpya kwenye Ukumbi wa...

READ MORE

Shangwe Za Krismasi Kutikisa Dar Live

Ukumbi wa burudani wa Dar Live Mbagala-Zakhem, jijini Dar wanakuletea shangwe za Krismasi siku ya Jumatatu siku hiyo si ya...

READ MORE

Joh Makini, Barnaba Kuongoza Wakali 25 Dar Live

MKALI wa Muziki wa Hip Hop, Joh Makini pamoja na mkali wa miondoko ya Zouk Rhumba, Barnaba wanatarajiwa kuongoza wakali...

READ MORE

Hamorapa Ang’arisha Nyota Yake Tamasha la Full Dozi

Msanii chipukizi, Hamorapa, jana alikonga nyoyo za mashabiki wa muziki wa kileo alipoungana na wasanii wengine katika tamasha la Full...

READ MORE

Twanga Watoa Burudani Ya ‘Kukata na Mundu’ Dar Live

USIKU wa kuamkia leo bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ walitoa burdani ya kukata na mundu katika ukumbi maarufu wa...

READ MORE

‘Full Dozi Concert’ Yatoa Burudani Aina Yake Dar Live

TAMASHA  la Full Dozi lililoandaliwa na ITV, Redio One na Capital Redio ambalo  lilifanyika usiku wa kuamkia Jumapili ndani ya...

READ MORE

Q Chillah, Snura ‘Live’ Tamasha la Full Dozi Dar Live

KITANUKA! WAKALI wawili wasioshikika kunako gemu ya Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mamaa Majanga’ na Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’ wanatarajiwa kuungana...

READ MORE

Hadija Yusuf Awa Sapraiz Dar Live

Usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala-Zakhiem, jijini Dar es Salaam, ambako kulikuwa na shoo...

READ MORE

Jahazi, Zanzibar Stars Wafanya Makamuzi ya Aina Yake Dar Live

Mashabiki wa burudani usiku wa kuamkia leo walikonga nyoyo zao kwa burudani  ya muziki iliyoangushwa ndani ya Ukumbi wa Dar...

READ MORE

NGUMI ZA GLOBAL TV: IDD PIALALI Vs REGI CHAMPION (Marudio)

Pambano ya Idd Pialali dhidi ya Regin Champion kutoka DRC lilikuwa gumzo kubwa kutokana na mashabiki kuwashangilia muda wote kufuatia...

READ MORE

Vita ya Ngumi za Kimataifa Mubashara Global TV

Vita ya Ngumi za Kimataifa vitaoneshwa Mubashara na Global TV JULAI 22, mwaka huu katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala...

READ MORE

Mapambano ya Ubingwa wa Global TV Kurushwa Mubashara

  MABONDIA watatu wa Tanzania wanatarajia kupanda ulingoni katika mapambano ya kimataifa ya kuwania Ubingwa wa Global TV, Afrika Mashariki...

READ MORE

Heshima ya Bongo Fleva…Wakongwe 15 Kupigwa Mizinga leo Dar Live

BAADA ya kusubiriwa kwa hamu na mashabiki na wadau wa burudani, hatimaye ile siku imefika ambapo leo (Julai Mosi) ndani...

READ MORE

Roma Aweka Historia Dar Live Kwa Kushushwa Stejini na Crane (Pichaz & Video)

STAA wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Musa ‘R.O.M.A Mkatoliki’ kwa mara ya kwanza ameweka historia katika Uwanja wa...

READ MORE

#NishusheDarLive Pichaz: Kimeshanuka Muda Huu Dar Live

MWISHO wa Ubishi! Unaweza kusema hivyo kwa maana nyingine katika siku huu wa Mosi muda huu watakapovamia jukwaa moja la...

READ MORE

R.O.M.A, Darassa, Stamina Mwisho wa Ubishi Leo Dar Live

MWISHO wa Ubishi! Unaweza kusema hivyo kwa maana nyingine katika siku hii ya Idd Mosi pale watakapovamia jukwaa moja la...

READ MORE

Sikukuu ya Eid Mosi: Watoto Wajiachia Ndani ya Dar Live (Pichaz)

Watoto wakijiachia kwenye bembea la kuseleleka Shoo ya kihistoria itakayofanyika katika siku hii ya Idd Mosi pale watakapovamia jukwaa moja...

READ MORE

#NishusheDarLive: Roma, Darassa, Stamina, Blue na Snura Kuangusha Mistari Idd Mosi Dar Live

MACHO na masikio ya mashabiki wengi wa burudani kwa sasa yameelekezwa Sikukuu ya Idd Mosi katika kiwanja kimoja tu yaani...

READ MORE

Roma, Snura na Stamina ‘Wamwaga’ Mafuta Kwa Bodaboda (Pichaz + Video)

    IBRAHIM Musa ambaye ni maarufu zaidi kama Roma, mkali wa Hip Hop aliyetengeneza vichwa vikubwa vya habari miezi...

READ MORE

Stamina, Darassa Kulipeleka Jiji Dar Live Sikukuu ya Idd Mosi

SIKU zikiwa zinahesabika kufi kia Sikukuu ya Idd Mosi, wakali kibao wa michano wakiongozwa na R.O.M.A Mkatoliki, Stamina, Darassa, Moni...

READ MORE

ROMA: Historia Itaandikwa Dar Live Idd Mosi

NAJUA hukuijua hii! Huku sakata lake la kutekwa likiwa limemalizwa kiaina, staa wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Musa...

READ MORE