×

Habari

Waziri Mkuu afanya ziara ya ghafla bandarini

Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa leo amefanya ziara ya...

READ MORE

Rais Magufuli afuta sherehe za maadhimisho ya Ukimwi

Rais Dk. John Pombe Magufuli. Rais John Magufuli amesitisha maadhimisho ya siku ya Ukimwi kitaifa ambayo yalikuwa yafunguliwe mkoani Singida...

READ MORE

Kifo cha katibu wa chama cha madereva, Makonda atoa neno

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambaye ni mlezi wa Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania (TADU), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji...

READ MORE

Maporomoko ya udongo yaua watu 90 Myanmar

IDADI ya watu waliofariki kutokana na maporomoko ya udongo katika eneo la Jade nchini Myanmar imeongezeka na kufikia watu 90,...

READ MORE

Watu wenye silaha wavamia hoteli na kuteka watu Mali

Wanajeshi wakijaribu kuingia katika Hoteli ya Radisson Blu mjini Bamako. Hoteli ya Radisson Blu iliyovamiwa leo. Wanajeshi wenye silaha nchini Mali...

READ MORE

Bunge latikisika, wapinzani watimuliwa

Na Elvan Stambuli BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo alasiri limetikisika baada ya wabunge wa upinzani kuwazomea viongozi...

READ MORE

Mtangazaji Prince Baina Kamkuru afariki dunia

Prince Baina Kamkuru enzi za uhai wake. Mtangazaji wa zamani wa Radio Free Afria (RFA), Clouds FM na Star TV,...

READ MORE

Dk. Tulia achaguliwa kuwa Naibu Spika kwa 71.2%

Dk. Tulia Ackson Mwansasu akila kiapo mara baada ya kuchaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge. Dk. Tulia Ackson Mwansasu wakati...

READ MORE

Waziri, Mkuu Majaliwa ashinda kwa asilimia 73.5

Waziri Mkuu Mteule Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa. Mpambe wa Rais Kanali Mkeremi akiingia bungeni mjini Dodoma leo asubuhi akiwa na...

READ MORE

Rais Magufuli asaini Kitabu cha Maombolezo Ubalozi wa Ufaransa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa jijini...

READ MORE

Job Ndugai achaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limemchagua, Mbunge wa Kongwa, Mhe. Job Yustino Ndugai kuwa Spika wa Bunge...

READ MORE

Wabunge wapiga kura kumchagua Spika wa Bunge

WABUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo asubuhi wamepiga kura kumchagua spika wa kuliongoza Bunge la 11 mjini Dodoma....

READ MORE

Chenge ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa uchaguzi wa Spika bungeni

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Thomas Kashilila asubuhi hii amemteua Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM),...

READ MORE

Job Ndugai apitishwa na CCM kuwania Uspika

Job Ndugai. MBUNGE wa Kongwa na aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lililoisha,...

READ MORE

Jerome Bwanausi ashinda ubunge Jimbo la Lulindi

Jerome Bwanausi. Aliyekuwa mgombea wa kiti cha ubunge katika Jimbo la Lulindi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jerome Bwanausi ametangazwa...

READ MORE

Kamati Kuu CCM yapitisha majina 3 ya Uspika

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi leo imewapitisha  Ndugu Job Ndugai, Ndugu Abdullah Ali Mwinyi na Dk. Tulia Ackson Mwansasu...

READ MORE

Wanne mbaroni kwa kuhusika na kifo cha Mawazo

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo enzi za uhai wake. Jeshi la Polisi mkoani Geita linawashikilia watu wanne...

READ MORE

Nyangumi akutwa amekufa ufukwe wa Coco Dar

Wakazi wa Dar wakichangamkia kitoweo na mafuta ya nyangumi huyo. Wananchi wakizidi kuchukua mafuta na kitoweo cha nyangumi kwenye ufukwe...

READ MORE

JK atinga ofisini kwake Lumumba aanza kupiga mzigo

Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndugu...

READ MORE

Sitogombea nafasi ya Uspika – Anne Makinda

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi...

READ MORE

Wawania uspika waanza kuchukua fomu

Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuchukua fomu za kuwania uspika wa bunge...

READ MORE

Kaimu Mkurugenzi mpya Muhimbili akutana na kamati tendaji yake

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma (MNH), Aminiel Aligaesha (kulia) na akimtambulisha Kaimu Mkurugenzi mpya wa Hospitali hiyo Profesa...

READ MORE

Rais Obama hatimaye ajiunga Facebook

Rais Barack Obama. RAIS wa Marekani, Barack Obama hatimaye amejiunga na mtandao wa kijamii wa Facebook na kuandika ujumbe wake...

READ MORE

TTCL Yawasaidia Watoto Vifaa vya Masomo Kituo cha Awali Lukema Vingunguti

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la Serikali la...

READ MORE

Tigo yakera wateja wake

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Tigo wikiendi iliyopita iliwakera wateja wake baada ya huduma zao kutoweka...

READ MORE

Rais Magufuli atinga Muhimbili ghafla, aongea na wagonjwa

Rais Dk. Magufuli akitokea katika ofisi ya Mkurugenzi wa MOI. Rais Dk. Magufuli akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa MOI....

READ MORE

I depart the State House a Happy Man – Salvatory Rweyemamu

Out-going Presidential Communications Director at the State House Mr. Salvatory Rweyemamu speaks during one of the past many Press Conferences...

READ MORE

Dk. Hellen Kijobisimba apata ajali

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Hellen Kijobisimba Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki...

READ MORE

Dk. Magufuli amuapisha Mwanasheria Mkuu

Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli leo asubuhi amemuapisha Bwana George Mcheche...

READ MORE

‘Cocktail Party’ ya kusherehekea kuapishwa kwa Rais Dk. Magufuli

 Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi...

READ MORE

Viongozi wawasili Kushuhudia Uapisho wa Rais Mteule Dkt.Magufuli

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe (katikati chini) akimsubiria Rais wa Zimbabwe Mhe. Robert...

READ MORE

Baraza la wazee Dar lampongeza Dk Magufuli kwa ushindi‏

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Hemed Mkali (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari,...

READ MORE

Rais Kikwete amwapisha katibu tawala mpya wa Mkoa wa Lindi

Katibu Tawala Mpya wa Mkoa wa Lindi Bwana Ramadhani Kaswa akila kiapo mbele ya Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu...

READ MORE

Rais JK atangaza kesho kuwa sikukuu na siku ya mapumziko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri...

READ MORE