×

Habari

Nyumba zilizopo kwenye Bonde la Mkwajuni, Dar zabomolewa

Bomoabomoa katika Bonde la Mkwajuni, Dar leo. Wakazi waishio katika Bonde la Mkwajuni leo wamebomolewa nyumba zao ikiwa ni mwendelezo wa...

READ MORE

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Dk. Hosea

Dk. Edward Hosea. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia...

READ MORE

Wasanii wakongwe wa filamu wamtaka Mwakifwamba  aendelee  kuwa rais wao

Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho ‘Mashaka’, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ na Salome Sokoni ‘Mama Abdul’. Msanii...

READ MORE

Meli ya MV Royal yawaka moto Bahari ya Hindi

Vikosi vya uokoaji vikizima mato uliozuka katika Meli ya MV Royal leo. Abiria wakitolewa katika Meli ya MV Royal na kuwekwa...

READ MORE

Mwanafunzi UDSM auawa kwa risasi

Mwanafunzi wa UDSM, Mutaengerwa Mafwiri enzi za uhai wake. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mutaengerwa Mafwiri...

READ MORE

RED Selfie

Kila wiki washindi wawili wanajishindia #SamsungJ2 kupitia @Opera na @VodacomTanzania  #REDSelfie  

READ MORE

Majambazi wajeruhi, waiba pesa na kutimua

Damu zikiwa zimetapaa eneo la tukio. Na Nyemo Chilongani / GPL WATU wanaokisiwa kuwa ni majambazi wamewavamia watu wanne waliokuwa...

READ MORE

Waziri Mwigulu atua Mvomero kutatua mgogoro wa ardhi

Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiongea na wananchi wa Mvomero.   Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji,...

READ MORE

Omary Kigoda ndiye Mbunge Mteule wa Handeni Mjini

Omary Abdallah Kigoda. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Handeni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omary Abdallah Kigoda ameibuka mshindi kwa...

READ MORE

Wapiga kura wasuasua Handeni na Arusha Mjini leo

Mkazi wa Arusha Mjini akipiga kura kumchagua mbunge wake leo. UCHAGUZI wa Ubunge kwa majimbo ya Handeni na Arusha Mjini uliopangwa...

READ MORE

Kiboko Plastics yazindua Promosheni kubwa kwa wateja wake

Kiboko Plastics wakizindua promosheni yao leo jijini Dar es Salaam. Wakazi wa Jiji la Dar wakifuatilia promosheni hiyo. Promosheni ikiendelea...

READ MORE

Mwanamke wa kwanza achaguliwa Saudi Arabia

Mmoja wa wanawake Saudi Arabia akipiga kura. Wananchi wa Saudi Arabia wameweka historia kwa kumchagua mwanamke wa kwanza kuwa mwakilishi...

READ MORE

Home Shopping Centre yakanusha kukwepa kodi, upotevu wa makontena

Baada ya kusambaa kwa taarifa kwenye mitandao zikieleza kuwa kampuni ya Home Shopping Centre imefunga maduka yake kutokana na kukwepa...

READ MORE

Paul Makonda azindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers...

READ MORE

Rais Magufuli atangaza baraza lake la mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar...

READ MORE

Mwandishi Mwandamizi wa Global Publishers Haruni Sanchawa afariki dunia

Haruni Sanchawa enzi za uhai wake. Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Global Publishers LTD, wachapishaji wa magazeti ya Ijumaa, Uwazi,...

READ MORE

Jussa akanusha taarifa za uvumi wa kifo cha Maalim Seif

Ismail Jussa akikanusha taarifa za uvumi kuhusu Maalim Seif. Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chama Cha Wananchi (CUF),...

READ MORE

Makamu wa Rais aongoza usafi Kinondoni

Makamu wa Rais, Samia Suluhu (kulia) akifafanuliwa jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Akiweka takataka kwenye toroli....

READ MORE

Majambazi yaiba na kuua Chanika

Watu wanaodaiwa kuwa majambazi jana wamevamia na kupora fedha katika benki za CRDB na DCB zilizopo eneo la Chanika jijini...

READ MORE

Chagonja ateuliwa kuwa Kamishna Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Kamishna mpya wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Paul Chagonja. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe...

READ MORE

Efm, DTB kutekeleza agizo la Rais Magufuli Desemba 9

Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa Efm Radio, Denis Ssebo akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Efm radio kwa kushirikiana na Benki...

READ MORE

Tanesco yawafukuza kazi wafanyakazi 7 kwa ubadhilifu

Uongozi wa shirika la umeme nchini Tanesco umewafukuza kazi wafanyakazi saba waandamizi wa shirika hilo wakiwemo mameneja kutokana na makosa...

READ MORE

Ajali ya treni na basi yaua 18 Indonesia

Takribani watu 18 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya treni ya abiria kugongana na basi huko Jakarta nchini...

READ MORE

Akutwa amefariki Daraja la Selander

Kikosi cha uokoaji kikielekea eneo ulipokuwa mwili. Wananchi wakishuhudia tukio hilo. Mwili wa mwanaume huyo baada ya kutolewa kwenye maji....

READ MORE

Gari la Mwananchi lapata ajali mbaya Kitonga

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Gari iliyokuwa imebeba Magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti kwenda mkoani Mbeya imepata...

READ MORE

Walioua watu 14 Marekani nao wauawa

Mmoja wa ndugu wa marehemu akifarijiwa. Polisi katika Jimbo la California nchini Marekani wametaja majina ya washukiwa wawili ambao wameuawa...

READ MORE

Kasongo Mpinda ‘Clayton’ afariki dunia

King Kiki (kulia) akiimba sambamba na Aboubakar Kasongo Mpinda ‘Clayton’ enzi za uhai wake. Aboubakar Kasongo Mpinda ‘Clayton’ akiwa na...

READ MORE

Kasi ya Magufuli ya kupunguza matumizi yawakuna wengi Afrika

Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Kutokana na kasi ya Rais...

READ MORE

Afrika Kusini yaongoza kwa ufisadi Afrika

Waafrika wengi wanasema kuwa ufisadi umeongezeka katika kipindi cha miezi 12 na serikali nyingi za bara hilo zikionekana kushindwa kukomesha...

READ MORE

Unending Love -58

Mapenzi ya dhati aliyonayo Jafet kwa Anna, yanamfanya awe tayari kutoa figo yake moja na kumpa Anna ambaye alikuwa na...

READ MORE

Basi lagongana na lori na kuua watu Singida

WATU 12 wamekufa papo hapo na wengine 18 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Taqbir kugongana na lori la...

READ MORE

Mgomo wa mabasi Mwanza abiria wateseka saa 10 stendi

Baadhi ya abiria wakisubiri usafiri bila mafanikio. Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela, Mwanza, Juma Kasendako akiongea na madereva wa...

READ MORE

Hatimaye mwili wa Mawazo wazikwa Geita

Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwa majonzi makubwa akiweka udongo kwanye kaburi la kamanda wake Alphonce Mawazo. Katikati ni waziri mkuu...

READ MORE

Sheikh Ponda aachiwa huru

Sheikh Issa Ponda. Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya jinai...

READ MORE

True Memories Of My life-144

wiki iliyopita niliishia kwamba kauli za Edward Lowassa kwenye runinga zilinifanya nianze kuwa na wasiwasi kwamba vurugu zingeweza kuibuka nchini,...

READ MORE

Maelfu wauaga mwili wa Mawazo Mwanza

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Mhe. Freeman Mbowe akiaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa...

READ MORE