×

Habari

Rais Dkt. Samia Ahutubia Bunge la Jamhuri ya Angola Jijini Luanda -Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Aprili, 2025 amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Angola Jijini...

READ MORE

Tanzania Yaandaa Mkutano wa Kanda Kuimarisha Umoja na Mafanikio ya Huduma za Magonjwa ya Damu

Dar es Salaam, Tanzania – 9 Aprili 2024: Mkutano wa afya wa kikanda uliofanyika wiki hii jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Makumbusho Ya Hayati Neto Nchini Angola

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan atembelea Makumbusho ya Rais wa kwanza na Muasisi wa...

READ MORE

Waziri Mkuu na Naibu Wake Washiriki Kikao cha Kwanza Bunge la Bajeti leo – Picha

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo, Aprili 8, 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge,...

READ MORE

TECNO Yaja Kivingine na CAMON 40 Yenye Uwezo Mkubwa wa AI Jijini Dar

TECNO, kampuni inayoongoza kwa teknolojia ya simu za kiganjani na kisasa, imeendelea na ubora wa utoaji huduma zake kwa kuzindua...

READ MORE

Iran na Marekani Kukutana Oman kwa Mazungumzo ya Kihistoria ya Nyuklia

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Marekani na Iran zitafanya mazungumzo ya moja kwa moja ya ngazi ya juu...

READ MORE

Benki ya Stanbic Tanzania Yashinda Tuzo ya Benki Bora Ya Kimataifa Ya Wateja Maalum Katika Tuzo Za EuroMoney 2025

Ushindi huu umetokana na ubora, ukubwa, na uongozi wa huduma ya Stanbic Private Banking kwa wateja maalum wa hadhi ya...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Angola kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan aliwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4...

READ MORE

Majaliwa: Michuano Ya AFCON Na CHAN Itaendeleza Michezo Na Utalii Nchini

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais...

READ MORE

Jeshi la Somalia laua magaidi 80 wa Al Shabab

Vikosi vya usalama vya Somalia vimewaua zaidi ya magaidi 80 wa Al-Shabaab, wakiwemo vinara waandamizi wa kundi hilo, katika operesheni...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Maadhimisho Ya Kumbukumbu Ya Miaka 53 Ya Kifo Cha Karume

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Aprili 7, 2025 ameshiriki Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Miaka 53 ya kifo cha Rais wa...

READ MORE

Bunge la Bajeti Kuanza Kuunguruma kesho Jumanne, April 8, 2025

Mkutano wa kumi na tisa wa bunge la Kumi na Mbili unatarajiwa kuanza kesho Jumanne, April 8, 2025, ukiwa ni...

READ MORE

Jubilee Health Insurance Yatangaza Mafanikio Makubwa Tuzo za Tanzania Service Excellence Awards (TSEA) 2025

  Jubilee Health Insurance imetoa taarifa kuhusu mafanikio iliyoyapata katika Tanzania Service Excellence Awards (TSEA) 2025. Taarifa hiyo inasoma kama...

READ MORE

Waziri Mkuu Awataka Mabalozi Kuishi Falsafa Za Rais Dkt. Samia

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuza...

READ MORE

Dawa ya Mume Mwenye Gubu Ndani ya Nyumba Ni Hii

Ndoa ama mahusiano bila ya mapenzi huwa si hayaendi mbali kwani mapenzi huwa kiini cha umoja na mshikamano. Wapenzi kwenye...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Kufanya Ziara Ya Kiserikali Nchini Angola Kuanzia Aprili 7, 2025

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuanza ziara ya kiserikali ya siku 3 katika Jamhuri ya Angola kesho...

READ MORE

Dua Maalum ya Alhaj Omary Rashid Mchengerwa Yafanyika Rufiji, Pwani

Dua maalum ya kumbukumbu ya siku 40 tangu kufariki dunia kwa Alhaj Omary Rashid Mchengerwa imefanyika leo katika kijiji cha...

READ MORE

NMB Yabeba Huduma za Benki Hadi kwa Mteja Popote Alipo

Benki ya NMB imesema itaendelea kuwekeza kwenye mifumo ya kidijitali ili kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa Watanzania, ikiwa...

READ MORE

Chadema Kuzuia Uchaguzi ni Kufanya Jinai, G-55 Wanazungumza – Video

Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA John Mrema amesema iwapo chama hicho kitatekeleza mpango...

READ MORE

Uhifadhi Ni Uti Wa Mgongo Wa Sekta Ya Utalii Nchini

Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi imepongezwa kwa kazi kubwa inayoifanya ya kuandaa na kutoa askari wengi wanaofanya kazi kubwa...

READ MORE

TRA Yawashukuru Wahariri kwa Kuhamasisha Ulipaji Kodi

Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo, amewashukuru viongozi na wanachama wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Kuongoza Harambee Ya Mei Mosi Kitaifa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa usiku wa Aprili 5, 2025 anaongoza harambee ya kuwezesha maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa kwenye ukumbi...

READ MORE

Puma Yachangia Mitungi ya Gesi Katika Shughuli za Mbio za Mwenge Chalinze

Puma Energy Tanzania inaendelea kushirikiana na serikali katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo imeshiriki katika hafla ya...

READ MORE

Stanbic Yaja na ‘Lipa na Stanbic’ – Suluhisho Jipya la Kidijitali

Benki ya Stanbic Tanzania yazindua “Lipa na Stanbic,” suluhisho la malipo ya kidijitali linalowezesha wafanyabiashara kupokea malipo kutoka kwa mitandao...

READ MORE

Doto Biteko: Mradi Wa Kufua Umeme Wa Julius Nyerere Wakamilika Rasmi -Video

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kutegemea kupata umeme wa uhakika baada ya Mradi...

READ MORE

Msimu Wa Pasaka Ni Msimu Wa Tabasamu La Zawadi Na Mchezo Supa

Kuelekea msimu wa sikukuu za Pasaka ambazo zinatarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki ijayo, Mchezo Supa imetangaza Kampeni mpya ya kutoa...

READ MORE

Shigongo: Serikali ya Rais Samia imeleta mabadiliko makubwa Buchosa – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeleta mabadiliko...

READ MORE

TRA Yakusanya Shilingi Trilioni 7.53 kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2025

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya Shilingi Trilioni 7.53 kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2025, ikizidi lengo la...

READ MORE

Dkt. Biteko: Tuzo Za Malkia Wa Nguvu Ni Chachu Ya Maendeleo Kwa Wanawake Na Jamii

Jukwaa la Malkia wa Nguvu la Clouds Media lilioanzishwa mwaka 2016 limeendelea kutimiza lengo lake la kuhamasisha na kuunga mkono...

READ MORE

Rais Samia Afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali kushika nyadhifa muhimu katika...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Awataka Wakazi wa Arusha Kuchangamkia Fursa za Huduma Jumuishi za Kifedha

Arusha, Tanzania 17 Aprili 2025: Mkuuwa Wilaya ya Arusha, Mhe. Joseph Mkude, amezindua rasmi chapa mpya za Yas na Mixx...

READ MORE

Taswira ya Jengo la Makao Makuu ya Mahakama Tanzania, na Makazi ya Majaji

  Taswira ya Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na Makazi ya...

READ MORE

Siku Ya Kushinda Mamilioni Ndio Leo

Leo SERIE A kule Italia itaendelea Como 1907 atasafiri kucheza dhidi ya AC Monza ambapo tofauti yao ni 15 pekee....

READ MORE

Tundu Lissu Atengua Uteuzi wa Mjumbe wa Sekretarieti ya Chadema Catherine Ruge

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Tundu Lissu, leo Jumamosi Aprili 05, 2025 ametangaza kutengua uteuzi wa Mjumbe...

READ MORE

Rais Samia Alivyozindua majengo ya Mahakama ya Tanzania Dodoma (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 5, 2025 amezindua rasmi majengo ya Mahakama ya...

READ MORE

China Yaikomoa Marekani Yapandishaushuru

China imeikomoa Marekani kwani imetangaza kuwa itaanza kutoza ushuru wa asilimia 34 kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka Marekani kuanzia Aprili 10,...

READ MORE

Sloti Ya Sticky 777 Maajabu Ya Ushindi Huanzia Kasino.

Sloti ya Sticky 777 Moja kati ya biashara nzuri na yenye mtaji mdogo ni uuzaji wa matunda, huhitaji kuwa na...

READ MORE

Jeshi La Polisi: Kupekua Simu Ya Mwenza Bila Ridhaa Ni Kosa La Jinai

Jeshi la Polisi nchini limeitaka Jamii kuishi kwa Upendo na Amani ili kuondokana na Migogoro mbalimbali ya Mara kwa mara...

READ MORE

Eric Shigongo Alivyoongoza Maandamano Ya Amani

wa Buchosa, Eric Shigongo, ameongoza maandamano ya amani kumuunga mkono Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa jinsi anavyotekeleza Ilani ya...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Apongeza TEF kwa Uchaguzi Huru, NMB Yadhamini Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Wahariri

  Benki ya NMB imeshiriki kikamilifu kama mdhamini wa Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), unaofanyika mjini...

READ MORE