×

Habari

Dereva wa Bajaji Iliyoteketea Kwa Moto Ubungo Mawasiliano Akamatwa

Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam wamemkamata dereva wa bajaji aitwaye John Bariki Mosha (30), mkazi wa Kimara...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Itaendelea Kuboresha Mazingira Ya Uwekezaji

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kufanya maboresho...

READ MORE

JWTZ Lajivunia Ushirikiano na Jeshi la Ujerumani

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  Nchini Jenerali Jacob John Mkunda amekabidhiwa rasmi hospitali ya Daraja la Nne ya viwango vya...

READ MORE

Rais Wa Korea Kusini Ang’olewa Rasmi

Mahakama ya kikatiba ya Korea Kusini imeidhinisha uamuzi wa kumuondosha rasmi madaraka Rais Yoon Suk Yeol ambaye alisimamishwa kazi na...

READ MORE

Rais Mwinyi: Uchaguzi Mkuu Utafanyika Kwa Amani Na Utulivu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia Wananchi kuwa Uchaguzi Mkuu Ujao Utafanyika...

READ MORE

Video: Vilio Vyaibuka Baada Ya Majibu Ya DNA Ya Mama Aliyedai Kubadilishiwa Mtoto

Sakata la mwanamke Neema Kilugala, kudai kubadilishiwa mtoto na kupewa aliyefariki dunia baada ya kujifungua, limechukua sura mpya baada ya...

READ MORE

Shuhuda: Dereva Alikuwa Akwepa Gari ya Msiba, Ajali ya Basi Kilimanjaro – Video

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limetoa taarifa ya chanzo cha ajali ya Basi la kampuni ya Mvungi lililokuwa likitokea Ugweno...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Bibi Moza Himid na Mume wake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amezungumza na Bibi Moza Himid na Mume wake Professa...

READ MORE

Museveni Awasili Sudan Kusini kufanya mazungumzo na Rais Salva Kiir

Kuna hofu huenda Sudan Kusini ikatumbukia tena katika vita vya wenyewe kwa wenyewe. Uganda imetuma majeshi nchini humo kuunga mkono...

READ MORE

Maonesho ya Wadau wa Afya ya Kinywa na Meno Kufanyika Nchini

Dar es Salaam, Aprili 2025: Maonesho ya kwanza ya wadau wa huduma za afya ya kinywa na meno Tanzania (Tanzania...

READ MORE

Suluhisho Bunifu za Tabianchi Zatangazwa StartUp Nne Zashinda

Dar es Salaam, Tanzania – 3 Aprili 2025 – Climate-KIC, kwa kushirikiana na SmartLab, inayo furaha kutangaza washindi wa Programu...

READ MORE

Video: Vipimo Vya Dna Vyatoka Aliyelia Kubadilishiwa Mtoto Arusha -Mtoto Anayemkataa Ni Wake 99%

Sakata la mwanamke Neema Kilugala, kudai kubadilishiwa mtoto na kupewa aliyefariki dunia baada ya kujifungua, limechukua sura mpya baada ya...

READ MORE

Bahati Nasibu ya Taifa Yashirikiana na Selcom Kurahisisha Upatikanaji wa Michezo ya Kubahatisha

Dar es Salaam, 3 Aprili 2025. Bahati Nasibu ya Taifa ya Tanzania, leo imetangaza rasmi ushirikiano na mtoa huduma kinara...

READ MORE

Watu Saba Wafariki, 32 Wajeruhiwa Baada ya Basi Kupinduka Mwanga – Video

Watu Saba wamefariki dunia papo hapo huku wengine 32 wakijeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Mvungi, walilokuwa wakisafiria kupinduka...

READ MORE

Chadema Yamtengua Katibu Wa Sekretariet Kisa No Reform, No Election

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) John Mnyika jana Aprili 2, 2025 ametangaza kutengua uteuzi wa Julius...

READ MORE

Trump Atangaza vita vipya Mpya dhidi ya bidhaa zinazoingia Marekani

Baada ya miezi miwili ya maandalizi, Rais wa Marekani Donald Trump ameanzisha vita vipya vya kibiashara, akitangaza hatua kali za...

READ MORE

Makubaliano ya TUCASA na PUM Kusaidia Ufanisi wa Miradi ya Ujenzi

Mwenyekiti wa Chama cha Umoja wa Makandarasi na watoa Huduma shirikishi (TUCASA), Qs Samuel Marwa kushoto akizungumza na waandishi wa...

READ MORE

Benki ya Exim Yaboresha Uchukuaji Mikopo kwa Watumishi wa Umma Kupitia ‘Utumishi Portal’

Katika hatua ya kimkakati kusaidia wafanyakazi wa serikali kufikia malengo yao ya kifedha, benki ya Exim Tanzania inajivunia kutangaza maboresho...

READ MORE

Benki ya Stanbic Yajitolea Kusaidia Kukuza Biashara na Ushirikiano wa Kikanda Kwenye Mkutano wa EACCS

Kadiri Afrika Mashariki inavyozidi kukua kibiashara, Tanzania inaendelea kujizatiti kama kitovu cha uchukuzi wa shehena na biashara, ikichangia kwa kiasi...

READ MORE

Dereva Wa Lori La Mafuta Amuibia Bosi Wake Akidanganya Amepata Ajali -Video

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia dereva aliyefahamika kwa jina la Ernest Okulo (40), mkazi wa Chanika, Dar es Salaam...

READ MORE

TRA Kutangaza matokeo ya Usaili wa Maandishi Aprili 25 Kupitia Tovuti yao

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya Usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa...

READ MORE

Yanga Yaifunga Kibabe Tabora United Nyumbani Kwao

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamevuna pointi tatu ugenini kwenye mchezo...

READ MORE

TAMISEMI Yatoa mwezi mmoja kwa Wahitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi

SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI inatoa fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi...

READ MORE

Yanga Yailowesha Tabora United Mabao 3 – 0

Dakika 90 zimemalizika katika Dimba la Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora ambapo Yanga wameilowesha Tabora United kwa jumla ya mabao...

READ MORE

Makamu wa Rais Azindua Mbio za Mwenge wa Uhuru Kibaha mkoani Pwani – Picha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Wizara ya Afya Yatoa ufafanuzi Madai ya Neema Kilugala Kubadilishiwa Mtoto – Video

Wizara ya Afya imetoa ufafanuzi kuhusu madai ya Neema Kilugala ambaye anadai kubadilishiwa mtoto na kupewa aliyefariki dunia baada ya...

READ MORE

Askofu Bagonza: Haki Ni Msingi Wa Amani, Kinachokoseka Ni Mshikamano Wa Kitaifa

Ask. Bagonza: Haki ni msingi wa amani Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dkt....

READ MORE

Ryabkov Akerwa Matamshi Ya Trump Kuhusu Iran, Asema Ni Njia Isiyofaa Ya Kidiplomasia

  Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Ryabkov, amekosoa vikali matamshi ya Donald Trump kuhusu Iran, akiyaita...

READ MORE

Video: Familia ya Mzee Flavian Yaomba Rais Samia Kuwasaidia kurejeshewa ardhi yao Mbezi Beach, Dar

Familia ya Mzee Flavian Nyendikuu imemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuingilia kati na...

READ MORE

Wanakwaya 6 waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same Kuzikwa leo

Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki...

READ MORE

Bei Ya Mafuta Yazidi Kupaa, Kuanza Kutumika Leo Jumatano Aprili 2, 2025

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika kuanzia leo Jumatano,...

READ MORE

Kisa ‘Miss Calls 10’ Ampa Talaka Mkewe Na Kumdai Pesa Zote Alizompa – Video

Mwanamama Shakira Arsenal, mkazi wa Upanga, Dar es Salaam, anaomba msaada wa hali na mali ili kuikomboa nyumba aliyonunua kwa...

READ MORE

Kafulila: Deni la Taifa ni Himilivu kwa uchumi wa Tanzania

  Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema serikali inavuta...

READ MORE

Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Wadhaminiwa na Benk ya NMB

Benki ya NMB imedhamini na kushiriki uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 kitaifa uliofanyika katika viwanja vya Shirika...

READ MORE

EFTA, GSM Kuwakomboa Wanyabiashara Wadogo na Kati

Taasisi ya kifedha ya EFTA na GSM  zimesaini mkataba wa makubaliano ya kusaidia wafanyabiashara wadogo na kati kukuza biashara zao...

READ MORE

MO Dewji; Kichwa Kimoja, Dira Ya Mwendo Wa Maisha Ya Vijana Wa KiTanzania

KIJANA yupi tena wa Kitanzania anaweza asiamini kwamba anaweza kuwa sehemu ya Waafrika waliofanikiwa kimaisha kama atakuwa ni mchapakazi? Kama...

READ MORE

Polisi Washikilia Askari Magereza Wawili kwa Tuhuma za Kusababisha Kifo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linawashikilia askari wawili wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha kijana...

READ MORE

Puma Yachangia Mitungi ya Gesi Katika Uzinduzi wa Mbio za Mwenge

Puma Energy Tanzania imeshiriki katika shughuli za za Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani,...

READ MORE

John Mrema Alaani Shambulio la Mwenezi Bawacha

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema, ameonesha masikitiko yake kuhusu taarifa iliyotolewa na...

READ MORE

Rais Samia Akishiriki Baraza la Eid El-Fitr Ukumbi wa JNICC Dar (Picha +Video)

Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Baraza la Eid El-Fitr Ukumbi wa JNICC...

READ MORE