×

Habari

Songwe, Njombe, Mbeya na Ruvuma Kukosa Umeme Kesho

Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) linawajulisha wateja wake wa mkoa wa Songwe, Njombe, Mbeya, Ruvuma na Wilaya ya Masasi kutakuwa na...

READ MORE

Msajili wa Vyama: Kauli ya “No Reform, No Election” Haijavunja Sheria, Uchaguzi 2025 Uko Pale Pale

Msajili wa vyama vya Siasa Tanzania, Jaji Francis Mutungi amesema kauli ya ‘No reform, no Election’ bado haijavunja sheria ya...

READ MORE

CCM yatangaza mchakato wa uteuzi wagombea wa Ubunge, Ujumbe Baraza la Wawakilishi udiwani

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi kuanza kwa mchakato wa ndani wa kupokea na kuchambua wagombea wa nafasi mbalimbali za...

READ MORE

Ufanisi wa TCAA Wapongezwa na Msajili wa Hazina

Dodoma. Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amelipongeza Baraza la Wafanyakazi la Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa kuwa...

READ MORE

CRDB, TARURA Wazindua Mikopo ya Makandarasi Fedha za Samia Infrastructure Bond

Dodoma. Tarehe 10 Aprili 2025: Baada ya ufanisi mkubwa kwenye mauzo ya Samia Infrastructure Bond yaliyohitimishwa mapema Januari, Serikali imewataka...

READ MORE

Makalla Aanza Ziara Mkoa wa Lindi, Zaidi Bilioni 100 Kujenga Madaraja

•Akagua barabara na madaraja  SOMANGA •Atoa pole na kumshukuru Rais Samia kutoa fedha zaidi Bilioni 100 kujenga madaraja •Ampongeza Waziri...

READ MORE

Tundu Lissu Asomewa Shitaka la Uhaini Mahakama ya Kisutu

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepokea kesi ya jinai dhidi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu...

READ MORE

Polisi Wafunguka Sababu za Kumkamata Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya, amethibitisha kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...

READ MORE

Pacome Zouzoua Ang’ara Ligi Kuu Bara, Aweka Rekodi ya Tuzo

STAA wa Yanga raia wa Ivory Coast, Pacome Zouzoua ameweka rekodi yake ya kwanza ya kutwaa Tuzo sita za Mchezaji...

READ MORE

Mbunge Madaba Aongoza Msafara Wa Tanzania Katika Mkutano Wa 150 Wa Mabunge Duniani Uzbekistan

Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Kizito Mhagama, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wabunge Wawakilishi wa umoja wa Mabunge Duniani...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Kikao cha Tatu cha Mkutano wa kumi na Tisa wa Bunge Leo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameshiriki Kikao cha Tatu cha Mkutano wa kumi na Tisa wa Bunge Leo Alhamisi Aprili 10,...

READ MORE

Oparesheni ya TAWA Yaua Fisi 43 Itilima, Bariadi na Maswa

Katika kupambana na wanyama waharibifu hasa fisi ndani ya Mkoa wa Simiyu Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori Tanzania (TAWA), katika...

READ MORE

Ushindi 100% Ukicheza Kasino ya 777 Super Strike

777 Super Strike ni mchezo wa kasino mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma wa Red Tiger. Katika mchezo huu, unatarajia kufurahia...

READ MORE

Shaka Ssali Kufanyiwa Heshima za Mwisho Leo Marekani

Shughuli ya kumuaga nguli wa tasnia ya habari Afrika na duniani, Shaka Ssali inatarajiwa kufanyika leo, April 10, 2025. Shaka,...

READ MORE

LHRC Yaitaka Polisi Kumwachia Tundu Lissu na Kuheshimu Haki za Kikatiba

Kituo cha sheria na Haki za binadamu nchini Tanzania LHRC, wamelitaka Jeshi la Polisi Nchini Tanzania kumuachia mara moja Mwenyekiti...

READ MORE

Maskini Carina! Aongea Kwa Uchungu ”Nina Kidonda Kibichi Tumboni Kinauma” – Video

Mwanadada Caroline Hawa almaarufu carina kutoka tasnia ya filamu nchini, yupo India alikoenda kwa ajili ya matibabu ya tumbo lililomtesa...

READ MORE

Puma Energy Yazindua Awamu ya Pili ya Kampeni ya Usalama Barabarani kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi

Kwa kushirikiana na shirika la Amend Tanzania, Puma Energy Tanzania imezindua awamu ya pili ya kampeni yake ya Usalama Barabarani...

READ MORE

RC Chalamila Atembelea na Kukagua Miradi Mbalimbali Jimbo la Kibamba Ubungo

-Amshukuru Rais Dkt Samia  kwa kutoa pesa nyingi zinazowezesha utekelezaji wa miradi hiyo -Ataka usimamizi mzuri wa miradi kwa kuzingatia...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi Jenerali Mkunda, Awapongeza Wanamichezo wa JWTZ

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  Nchini Jenerali Jacob John Mkunda amewapongeza wanamichezo wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania...

READ MORE

Richard Manyota: Kuna Watu Wanataka Kuivuruga Chadema – Video

Mchambuzi wa masuala ya siasa kutoka Global TV Online, Richard Manyota, amesema hali ya sintofahamu inayoendelea ndani ya Chama cha...

READ MORE

Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Kiziwi Wilaya ya Kwimba, Mwanza

Mahakama ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza, imemhukumu Malimo Mathias Nguno maarufu kama Gohe (41), kifungo cha miaka 30 jela...

READ MORE

Hakuna Kitu Kinachohitaji Ulinzi wa Kila Aina Kama Biashara Yako Unayoitegemea

Kwa miaka mingi nimekuwa nikifanya biashara maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam, nashukuru kipato ambacho nimekuwa nikipata kinaniwezesha kumudu...

READ MORE

Bolt Yazindua Rasmi Huduma Zake Katika Mji wa Kahama

Kampuni ya usafiri wa mtandaoni Bolt, inayoongoza nchini Tanzania, imezindua rasmi huduma zake katika mji wa Kahama, hatua inayochukuliwa kuwa...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Ahutubia Bunge la Jamhuri ya Angola Jijini Luanda -Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Aprili, 2025 amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Angola Jijini...

READ MORE

Tanzania Yaandaa Mkutano wa Kanda Kuimarisha Umoja na Mafanikio ya Huduma za Magonjwa ya Damu

Dar es Salaam, Tanzania – 9 Aprili 2024: Mkutano wa afya wa kikanda uliofanyika wiki hii jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Makumbusho Ya Hayati Neto Nchini Angola

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan atembelea Makumbusho ya Rais wa kwanza na Muasisi wa...

READ MORE

Waziri Mkuu na Naibu Wake Washiriki Kikao cha Kwanza Bunge la Bajeti leo – Picha

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo, Aprili 8, 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge,...

READ MORE

TECNO Yaja Kivingine na CAMON 40 Yenye Uwezo Mkubwa wa AI Jijini Dar

TECNO, kampuni inayoongoza kwa teknolojia ya simu za kiganjani na kisasa, imeendelea na ubora wa utoaji huduma zake kwa kuzindua...

READ MORE

Iran na Marekani Kukutana Oman kwa Mazungumzo ya Kihistoria ya Nyuklia

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Marekani na Iran zitafanya mazungumzo ya moja kwa moja ya ngazi ya juu...

READ MORE

Benki ya Stanbic Tanzania Yashinda Tuzo ya Benki Bora Ya Kimataifa Ya Wateja Maalum Katika Tuzo Za EuroMoney 2025

Ushindi huu umetokana na ubora, ukubwa, na uongozi wa huduma ya Stanbic Private Banking kwa wateja maalum wa hadhi ya...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Angola kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan aliwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4...

READ MORE

Majaliwa: Michuano Ya AFCON Na CHAN Itaendeleza Michezo Na Utalii Nchini

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais...

READ MORE

Jeshi la Somalia laua magaidi 80 wa Al Shabab

Vikosi vya usalama vya Somalia vimewaua zaidi ya magaidi 80 wa Al-Shabaab, wakiwemo vinara waandamizi wa kundi hilo, katika operesheni...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Maadhimisho Ya Kumbukumbu Ya Miaka 53 Ya Kifo Cha Karume

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Aprili 7, 2025 ameshiriki Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Miaka 53 ya kifo cha Rais wa...

READ MORE

Bunge la Bajeti Kuanza Kuunguruma kesho Jumanne, April 8, 2025

Mkutano wa kumi na tisa wa bunge la Kumi na Mbili unatarajiwa kuanza kesho Jumanne, April 8, 2025, ukiwa ni...

READ MORE

Jubilee Health Insurance Yatangaza Mafanikio Makubwa Tuzo za Tanzania Service Excellence Awards (TSEA) 2025

  Jubilee Health Insurance imetoa taarifa kuhusu mafanikio iliyoyapata katika Tanzania Service Excellence Awards (TSEA) 2025. Taarifa hiyo inasoma kama...

READ MORE

Waziri Mkuu Awataka Mabalozi Kuishi Falsafa Za Rais Dkt. Samia

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuza...

READ MORE

Dawa ya Mume Mwenye Gubu Ndani ya Nyumba Ni Hii

Ndoa ama mahusiano bila ya mapenzi huwa si hayaendi mbali kwani mapenzi huwa kiini cha umoja na mshikamano. Wapenzi kwenye...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Kufanya Ziara Ya Kiserikali Nchini Angola Kuanzia Aprili 7, 2025

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuanza ziara ya kiserikali ya siku 3 katika Jamhuri ya Angola kesho...

READ MORE

Dua Maalum ya Alhaj Omary Rashid Mchengerwa Yafanyika Rufiji, Pwani

Dua maalum ya kumbukumbu ya siku 40 tangu kufariki dunia kwa Alhaj Omary Rashid Mchengerwa imefanyika leo katika kijiji cha...

READ MORE