×

Habari

Aliukataa Ujauzito Alionipa na Kunituhumu Kwamba Mimi ni Msaliti

Naitwa Pili kutokea Zanzibar, miaka kama sita iliyopita nilikutana na kijana mmoja anayetokea familia ya kitajiri, tulipendana sana na tulifanya...

READ MORE

CPA Makalla Aongoza Ujumbe wa NEC Katika Ziara Nchini China

Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM CPA Amos Makalla ameongoza ujumbe wa NEC ya CCM katika ziara nchini...

READ MORE

Rais Samia Afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo ni kama ifuatavyo: Dkt. Ismael...

READ MORE

Waziri Mkuu Aweka Jiwe La Msingi Mradi Wa Maji Makoremo-Mgongoro

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 12, 2025 ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Upanuzi wa Mtandao wa Majisafi...

READ MORE

Meridianbet Kasino Ushindi Mkubwa na Lucky Dolphin

Unambiwa bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na...

READ MORE

Mganga Aliyekutwa Akifuga fisi Jela Miaka 20 Wilayani Bariadi

Mahakama ya Wilaya Bariadi mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela pamoja na kuchapwa viboko 12 Emmanuel John (31),...

READ MORE

DRC Kuzungumza Na M23 Nchini Angola

Ofisi ya Rais wa Angola imetangaza kuwa itawasiliana na vuguvugu la M23 ili kundi hilo na serikali ya DRC wafanye...

READ MORE

Trump: Atakayeshambulia Magari ya Tesla Atakiona – Video

Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba vitendo vya fujo au uvamizi wowote kwenye ofisi za kampuni ya kuuza magari...

READ MORE

RC Chalamila Atolea Ufafanuzi Changamoto Ya Bi. Martha Na Amana Hospitali – Video

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amekutana na kufanya mahojiano na Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Amana,...

READ MORE

Shigongo Amshukuru Rais Samia Kwa Mradi Mkubwa wa Maji Maisome

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo ametiza ahadi ya ujenzi wa mradi mkubwa maji ya bomba utakao huduma wakazi 16983 wa...

READ MORE

Mke Wangu Amenisingizia Jambo la Uongo Lililonitia Aibu Kupita Kiasi sana

Jina langu ni Jamal kutokea Pwani, katika maisha yangu, kamwe siwezi kusahau miaka kama saba iliyopita ambapo shemeji yangu alinifungulia...

READ MORE

DC Mwangwala: Elimu ya Kodi Itaisaidia Taifa

Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala akizungumza na maafisa Forodha kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania, hivi karibuni wakati maafisa...

READ MORE

CCM Yaweka Ukomo Nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani wa Viti Maalum

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeweka ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano kwa nafasi za ubunge/uwakilishi na udiwani wa viti...

READ MORE

Rais Samia Awachana Ma-RC Na Ma-DC Wanaotaka Ubunge – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Machi 11, 2025 amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu...

READ MORE

Benki ya Exim Yazindua Huduma ya Lipa ChapChap Kuongeza Malipo ya Kidijitali

Benki ya Exim Tanzania imezindua rasmi huduma yake mpya inayojulikana kama Lipa Chapchap, suluhisho bunifu la malipo ya kidijitali ambalo...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Ikulu Chamwino Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika...

READ MORE

Ubunifu wa FinTech na Biashara Changa Kupitia “Wazo Challenge” Wahamasishwa

Dar es Salaam 23 Machi 2025: Benki ya Absa Tanzania, kwa kushirikiana na Hindsight Ventures, imezindua Wazo Challenge Tanzania, mpango...

READ MORE

Johan Borgstam, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Ulaya Afanya Ziara Nchini

Johan Borgstam, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Ulaya (EUSR) kwa Mkoa wa Maziwa Makuu, ametembelea Tanzania kuanzia tarehe 10 hadi...

READ MORE

Rais wa Zamani Wa Ufilipino Akamatwa

Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amekamatwa kwa hati maalum kutoka Mahakama ya Uhalifu wa Kivita (ICC) kufuatia tuhuma...

READ MORE

Wakuu Wa Usalama Barabarani Watakiwa Kusimamia Sheria Na Kanuni Za Usalama Barabarani Kikamilifu

Wakuu wa Usalama Barabarani wa Mikoa na Wilaya wametakiwa kuongeza kasi katika usimamizi wa Sheria, kanuni na taratibu za Usalama…

READ MORE

Zelensky Atua Saudia Kukutana Na Mwakilishi Wa Trump

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amewasili jijini Jeddah, Saudi Arabia na kupokelewa kwa heshima zote na Mrithi wa Kiti cha...

READ MORE

Ni biashara ndogo tu ila imeyabadili Kabisa maisha yangu!

Katika familia yetu tumezaliwa watoto 12, wakiume tukiwa saba, huku wa kike wakiwa ni watano. Tuliishi upendo kama ndugu maana...

READ MORE

Kamati Kuu ya CCM Yapitsha Majina ya Wagombea Nafasi Mbalimbali

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Watu Wawili Wathibitika kuwa na Maambukizi ya Mpox, Waziri Mhagama Afunguka

Watu wawili (2) wamethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox nchini Tanzania. Hayo yamebainishwa na Waziri wa...

READ MORE

Nicole Apandishwa Kizimbani, Akosa Dhamana, Apelekwa Segerea

Joyce Mbaga (32) maarufu kwa jina la (Nicole Berry) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Amekutana na Kufanya Mazungumzo na Balozi wa India

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India hapa nchini...

READ MORE

Safari 1,054 Za Futwa Kisa Mgomo Ujerumani

Mgomo mkubwa wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini Ujerumani umeendelea, ukisababisha kufutwa kwa maelfu ya safari za ndege za...

READ MORE

Israel Yasitisha Usambazaji Wa Umeme Ukanda Wa Gaza

Israel imesitisha usambazaji wa umeme katika Ukanda wa Gaza katika juhudi za kushinikiza Hamas kukubali kuongezwa muda wa awamu ya...

READ MORE

Imagine Mnyama Paka Anakupa Ushindi Mkubwa Kasino, Je Anatoaje Ushindi?

Huenda umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet kasino yamtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa wachezaji...

READ MORE

Polisi Waimarisha Ulinzi Hukumu Ya Yoon Ikitarajiwa Kusomwa

Polisi wamemwagwa kwa wingi mitaani ambapo vituo vya treni za chini ya ardhi pamoja na angalau shule moja vitafungwa kutokana...

READ MORE

TFF Yavifungia Viwanja Vitatu Vya Ligi Kuu Kwa Kutokidhi Vigezo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vya Jamhuri (Dodoma), CCM Kirumba (Mwanza), na Liti (Singida) kutumika kwa...

READ MORE

NMB Yabuni mfumo wa Kidijitali wa Kusimamia Matumizi ya Fedha za Umma

Picha: Mpigapicha Wetu Mfumo wa kidijitali wa kusimamia matumizi ya fedha za umma waja. Benki ya NMB, kwa kushirikiana na...

READ MORE

Yanga Na TANESCO Waligharamia Mazishi Ya Shabiki Aliyefariki Kwa Shoti Ya Umeme Uwanjani Mkapa

Shabiki wa Yanga kutoka jijini Mbeya, Herman Sungura, aliyefariki dunia Machi 8, 2025, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar...

READ MORE

Kwaya ya Gethsemane Ilivyoomboleza Kwenye Kumuaga Hayati Prof. Philemon Sarungi

Waimbaji wa Kwaya ya Gethsemane Group Kinondoni GGK – SDA ya Jijini Dar es Salaam wakiimba nyimbo za faraja wakati...

READ MORE

Aliyetaka Kujitoa Mhanga Ikulu Apigwa Risasi

Mtu mwenye silaha amejeruhiwa kwa kupigwa risasi na maafisa wa Secret Service nje ya Ikulu ya White House, Marekani, tukio...

READ MORE

Kiongozi Mpya Wa Canada, Amkosoa Trump Kuhusu Ushuru

Mark Carney amechaguliwa kuwa kiongozi mpya wa chama tawala nchini Canada, Liberal Party, baada ya kuwashinda wapinzani wake watatu. Ushindi...

READ MORE

Benki ya Stanbic Yatoa Elimu ya Fedha Kwa Watoto wa Wateja

Benki Binafsi ya Stanbic imefanikiwa kuendesha kwa mafanikio Akademi yake maarufu ya Ustawi wa Fedha, mpango unaolenga kukuza uelewa wa...

READ MORE

Majaliwa Amwakilisha Rais Dkt. Samia Ibada Ya Kumweka Wakfu Rev. Canon Mlula

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Machi 09, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye ibada ya kumweka wakfu na kumweka...

READ MORE

Je, Hujui Fedha Zako Zinakwenda Wapi? Mbinu Hii Nyepesi Itakusaidia

Jina langu Paulo kutoka Mbeya, katika maisha yangu hadi sasa nimefikisha umri wa miaka 41, nimefanya kazi sana katika kampuni...

READ MORE

Serikali Ya DRC Yatangaza Zawadi Ya Shilingi Bilioni 13 Kwa Kukamatwa Kwa Viongozi Wa M23

Hali ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) inaendelea kuwa mbaya, huku serikali ikitangaza zawadi ya dola milioni...

READ MORE