×

Habari

Benki ya Exim Yaboresha Uchukuaji Mikopo kwa Watumishi wa Umma Kupitia ‘Utumishi Portal’

Katika hatua ya kimkakati kusaidia wafanyakazi wa serikali kufikia malengo yao ya kifedha, benki ya Exim Tanzania inajivunia kutangaza maboresho...

READ MORE

Benki ya Stanbic Yajitolea Kusaidia Kukuza Biashara na Ushirikiano wa Kikanda Kwenye Mkutano wa EACCS

Kadiri Afrika Mashariki inavyozidi kukua kibiashara, Tanzania inaendelea kujizatiti kama kitovu cha uchukuzi wa shehena na biashara, ikichangia kwa kiasi...

READ MORE

Dereva Wa Lori La Mafuta Amuibia Bosi Wake Akidanganya Amepata Ajali -Video

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia dereva aliyefahamika kwa jina la Ernest Okulo (40), mkazi wa Chanika, Dar es Salaam...

READ MORE

TRA Kutangaza matokeo ya Usaili wa Maandishi Aprili 25 Kupitia Tovuti yao

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya Usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa...

READ MORE

Yanga Yaifunga Kibabe Tabora United Nyumbani Kwao

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamevuna pointi tatu ugenini kwenye mchezo...

READ MORE

TAMISEMI Yatoa mwezi mmoja kwa Wahitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi

SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI inatoa fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi...

READ MORE

Yanga Yailowesha Tabora United Mabao 3 – 0

Dakika 90 zimemalizika katika Dimba la Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora ambapo Yanga wameilowesha Tabora United kwa jumla ya mabao...

READ MORE

Makamu wa Rais Azindua Mbio za Mwenge wa Uhuru Kibaha mkoani Pwani – Picha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Wizara ya Afya Yatoa ufafanuzi Madai ya Neema Kilugala Kubadilishiwa Mtoto – Video

Wizara ya Afya imetoa ufafanuzi kuhusu madai ya Neema Kilugala ambaye anadai kubadilishiwa mtoto na kupewa aliyefariki dunia baada ya...

READ MORE

Askofu Bagonza: Haki Ni Msingi Wa Amani, Kinachokoseka Ni Mshikamano Wa Kitaifa

Ask. Bagonza: Haki ni msingi wa amani Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dkt....

READ MORE

Ryabkov Akerwa Matamshi Ya Trump Kuhusu Iran, Asema Ni Njia Isiyofaa Ya Kidiplomasia

  Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Ryabkov, amekosoa vikali matamshi ya Donald Trump kuhusu Iran, akiyaita...

READ MORE

Video: Familia ya Mzee Flavian Yaomba Rais Samia Kuwasaidia kurejeshewa ardhi yao Mbezi Beach, Dar

Familia ya Mzee Flavian Nyendikuu imemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuingilia kati na...

READ MORE

Wanakwaya 6 waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same Kuzikwa leo

Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki...

READ MORE

Bei Ya Mafuta Yazidi Kupaa, Kuanza Kutumika Leo Jumatano Aprili 2, 2025

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika kuanzia leo Jumatano,...

READ MORE

Kisa ‘Miss Calls 10’ Ampa Talaka Mkewe Na Kumdai Pesa Zote Alizompa – Video

Mwanamama Shakira Arsenal, mkazi wa Upanga, Dar es Salaam, anaomba msaada wa hali na mali ili kuikomboa nyumba aliyonunua kwa...

READ MORE

Kafulila: Deni la Taifa ni Himilivu kwa uchumi wa Tanzania

  Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema serikali inavuta...

READ MORE

Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Wadhaminiwa na Benk ya NMB

Benki ya NMB imedhamini na kushiriki uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 kitaifa uliofanyika katika viwanja vya Shirika...

READ MORE

EFTA, GSM Kuwakomboa Wanyabiashara Wadogo na Kati

Taasisi ya kifedha ya EFTA na GSM  zimesaini mkataba wa makubaliano ya kusaidia wafanyabiashara wadogo na kati kukuza biashara zao...

READ MORE

MO Dewji; Kichwa Kimoja, Dira Ya Mwendo Wa Maisha Ya Vijana Wa KiTanzania

KIJANA yupi tena wa Kitanzania anaweza asiamini kwamba anaweza kuwa sehemu ya Waafrika waliofanikiwa kimaisha kama atakuwa ni mchapakazi? Kama...

READ MORE

Polisi Washikilia Askari Magereza Wawili kwa Tuhuma za Kusababisha Kifo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linawashikilia askari wawili wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha kijana...

READ MORE

Puma Yachangia Mitungi ya Gesi Katika Uzinduzi wa Mbio za Mwenge

Puma Energy Tanzania imeshiriki katika shughuli za za Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani,...

READ MORE

John Mrema Alaani Shambulio la Mwenezi Bawacha

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema, ameonesha masikitiko yake kuhusu taarifa iliyotolewa na...

READ MORE

Rais Samia Akishiriki Baraza la Eid El-Fitr Ukumbi wa JNICC Dar (Picha +Video)

Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Baraza la Eid El-Fitr Ukumbi wa JNICC...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Swala Ya Eid, Ruangwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Machi 31, 2025 amejumuika na waumini wa dini ya kiislam katika Swala ya Eid iliyofanyika...

READ MORE

Trump: Sifanyi mzaha nitagombea urais 2029

Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kuwa hafanyi mzaha kuhusu nia yake ya kutaka kugombea tena Urais wa nchi hiyo...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Mwinyi Ajumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam kwenye Sala ya Eid Al Fitr

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislam...

READ MORE

Chadema Yamuonya Sigrada Mligo Kutumika Vibaya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kinafuatilia kwa karibu na kinafanya uchunguzi wa kina juu ya tuhuma zinazosambazwa mitandaoni...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Sala ya Eid Al Fitr Kitaifa Kwenye Msikiti wa Mfalme wa VI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Machi 31, 2025 amejumika na waisalamu wengine kusali...

READ MORE

Majaliwa: Nimeridhishwa Na Maandalizi Kuelekea Kuwashwa Kwa Mwenge Wa Uhuru

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua za maandalizi kuelekea sherehe za kuwashwa kwa Mwenge wa Uhuru ambao utazunguka...

READ MORE

Watu Zaidi 1, 700 Wamefariki katika tetemeko la ardhi Myanmar

Watu zaidi ya 1,700 wamepoteza maisha, kufikia siku ya Jumamosi nchini Myanmar kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lilitokea katika maeneo...

READ MORE

Dereva Aliyesababisha Ajali Iliyomuua OCD Awadh Akamatwa ”Alikimbilia Mbeya Kujificha”- Video

Jeshi la Polisi limemkamata Elia Asule Mbugi almaarufu Dogo Bata, Mnyakyusa, mwenye umri wa miaka 25, mkazi wa Segerea, dereva...

READ MORE

Wikendi ya Ushindi Hii Hapa

Wenzako wakipiga pesa ndani ya Meridianbet wewe huwa umelala, basi mimi leo nakwambia hivi amka na ubashiri hapa kwani timu...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Viwanja Vitakavyotumika Chan Agosti 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Machi 29, 2025 amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumiwa kufanyia mazoezi na timu zitakazo shiriki michuano ya...

READ MORE

Video: Mauaji Ya Kutisha! Kijana Apasuliwa Kichwa Na Mume Wa Mtu Kisa Kumfungulia Geti Mke

Yapo baadhi ya matukio yanayouma mno moyo na kuacha majeraha yasiyopona. Vuta picha kijana wako yupo nje na wenzake, wewe...

READ MORE

NCCR Mageuzi Yamteua Haji Ambar Khamis kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania

  Chama cha NCCR Mageuzi Machi 29, 2025, kimetangaza kumteua Haji Ambar Khamis kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano...

READ MORE

Leyla Akutana Na Baba’ake Baada Ya Miaka 3, Atokwa Machozi – Video

Leyla Shabani Mrosa (23), binti aliyepata ufaulu mkubwa na kufadhiliwa kusoma nchini India lakini baadaye kukatisha masomo kutokana na ugonjwa,...

READ MORE

wizara ya elimu yatenga milion 50 kuchagiza masomo ya sayansi na hisabati

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imetoa motisha ya sh. milioni 50 kwa wahadhiri kutoka Vyuo Vikuu mbalimbali nchini wanafundisha...

READ MORE

Kamati Ya Usalama Barabarani Arusha Yakabidhi Vifaa Vya Tehama Polisi Arusha

Kamati ya Usalama barabarani Mkoa wa Arusha Machi 28, 2025 imekabidhi kompyuta kwa kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha...

READ MORE

Makamu Wa Rais dKT. Mpango Azindua Matawi ya Nmb

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ametoa wito kwa wananchi kuepuka wakopeshaji binafsi...

READ MORE

Wajane wa Magomeni Wafikiwa na Meridianbet

Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania Meridianbet, imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kusaidia kwa vitendo. Kama ilivyo desturi yao kila mwezi,...

READ MORE