×

Habari

Aliyemuua Mkewe Na Kuuchoma Mwili Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa

KIJANA Khamis Luwoga (45) aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kumuua mke wake, Naomi Marijani na kisha kuuchoma mwili wake kwa...

READ MORE

Rais Samia Azindua ugawaji wa Boti kubwa za kisasa 120 pamoja na boti saidizi 118

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amegawa boti (Awamu ya pili) kubwa 35 za kisasa na vifaa vyake...

READ MORE

Barabara Ndefu Duniani Chini ya Bahari yaja

Amiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, aliyekuwa ziarani mjini Tehran, Iran wiki iliyopita, alisisitiza mpango wa pamoja...

READ MORE

Watu 18 Wafariki Dunia, 32 Wajeruhiwa Katika Ajali Ya Basi Thailand

Watu 18 wamefariki dunia na wengine 32 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupinduka kwenye mteremko wa barabara katika mkoa...

READ MORE

Hukumu Kesi ya Anayedaiwa Kumuua Mkewe Kisha kuuchoma moto Mwili Na Magunia ya Mkaa leo – Video

Kesi ya mauaji dhidi ya mfanyabiashara Hamisi Luwongo, anayedaiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kisha kuuchoma moto mwili wake kwa...

READ MORE

Bila Kufuata Mbinu Hizi Mpaka Leo Ningekuwa Bado Sijaoa

Jina langu ni Ally, kwa hakika mimi ni miongoni mwa vijana waliochelewa sana kuoa, ilifikia hatua hadi kwenye familia waliniambia...

READ MORE

Rais Kiirr Amfuta Kazi Mkuu Wa Usalama

Rais Kiirr amfuta kazi mkuu wa usalama Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemfuta kazi mkuu wake mpya wa usalama...

READ MORE

Matumizi ya Teknolojia Yaongeza Ushiriki Masoko ya Mitaji

MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema katika mwaka 2024 kumekuwa na mafanikio makubwa ambayo yamewezesha pia thamani...

READ MORE

Viongozi wa Chadema Wakiongozwa na Lissu Watinga Polisi

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-Bara, Amani Golugwa leo amefika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa...

READ MORE

Gambo Amfyatukia Makonda Kisa Ubunge wa Arusha Mjini- Video

Kikao maalumu cha Baraza la Madiwani cha Jiji la Arusha kilichofanyika Februari 24, 2025, kimeacha gumzo baada ya baadhi ya...

READ MORE

Kipa Wa Yanga Abdutwalib Mshery, Afunga Ndoa – Picha

Kipa wa klabu ya Yanga, Abdutwalib Mshery, amefunga ndoa leo Dar es Salaam, Februari 25, 2025  sherehe iliyohudhuriwa na familia,...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Afungua Jengo La Halmashauri Ya Mji Wa Handeni (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Jengo la Halmashauri ya Mji wa Handeni na...

READ MORE

4R Za Rais Samia Zatikisa Geneva

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro (Mb), amesema kuwa Tanzania imeendelea kuweka kipaumbele katika uendelezaji na ulinzi wa...

READ MORE

Kiongozi Wa Upinzani Israel Amshutumu Netanyahu

Kiongozi wa upinzani katika utawala wa Israel amemshutumu waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha...

READ MORE

Wakuu wa Viwanda na Mashirika ya Kijeshi Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Daniel Sillo, leo Februari 25 amefungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Watendaji...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Afungua Shule Ya Sekondari Ya Wasichana Tanga – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 25 Februari, 2025 amefungua Shule ya...

READ MORE

Waasi Wa DRC: Tuko Tayari Usitishaji Mapigano

Muungano wa waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Alliance Fleuve Congo (AFC), unaojumuisha waasi wa M23, umetangaza kuwa tayari...

READ MORE

Sakina Lyoka Kuhakikisha Aziz Ki Na Hamisa Mobetto Wanasafiri Dubai Kwa Fungate

Kampuni ya Bicco Express imemtangaza rasmi mtangazaji maarufu nchini, Sakina Lyoka, kuwa Balozi wao kuelekea Msimu wa Mwezi wa Ramadhani....

READ MORE

Rais Samia Amsaida Carina Kwenda India Kutibiwa, Atokwa Machozi – Video

Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Hawa Hussein Ibrahim, maarufu kama Carina, ameondoka leo kuelekea India kwa ajili ya matibabu baada...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Ukarabati Wa Hospitali Ya Wilaya Ya Korogwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Afya, Jenista Mhagama kutoa fedha kwa...

READ MORE

Mamlaka Za Serikali Za Mitaa Zatakiwa Kubuni Miradi Ili Kuondokana Na Utegemezi

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Zainab Katimba, amezitaka Mamlaka za Serikali za...

READ MORE

Waziri Kikwete Azindua Miradi ya Bil 1.6 Wilayani Songwe – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi , Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amezindua miradi ya Elimu, Umeme...

READ MORE

Doto Biteko Awapongeza Benki ya Exim Kuzindua Tawi Wilayani Kahama

Benki ya Exim imedhihirisha dhamira yake ya kujenga ujumuishi wa kifedha na kupanua huduma zake kwa kuzindua rasmi tawi jipya...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Afanya Mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri...

READ MORE

Rais Samia: Serikali Inaendelea Kubuni Mbinu Kukabiliana na Wanyama Wakali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kubuni mbinu mbalimbali za kukabiliana...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Afungua Jengo La Halmashauri Ya Bumbuli-Lushoto (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Jengo la Almashauri ya Bumbuli Wilaya ya Lushoto...

READ MORE

Ujerumani Yatoa Onyo Dhidi Ya Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Annalena Baerbock amesema Ulaya haipaswi kusita kuweka shinikizo dhidi ya Marekani, iwapo nchi...

READ MORE

Kabila: Uongozi Mbaya Wa Rais Tshisekedi Umezidisha Mzozo

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Joseph Kabila amesema kuwa, uongozi mbaya wa mrithi wake, Rais...

READ MORE

Papa Francis Hali Tete, Akutwa Na Tatizo La Figo

Shirika la Habari la AP, usiku wa kuamkia leo, Jumatatu, Februari 24, limeripoti kuwa Papa Francis yupo mahututi huku vipimo...

READ MORE

Scholz Hatarini Kuangushwa Ukansela Ujerumani

Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz, amekalia kuti kavu katika uchaguzi unaoendelea ambapo matokeo ya awali yanaonesha kuwa mpinzani wake, Friedrich...

READ MORE

Watanzania Wamheshimisha Dk. Biteko Kili Marathon Leo

Kilimanjaro, 23 Februari 2025: Wanariadha wa Kitanzania wameng’ara katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro mwaka huu, ambapo Hamis Misai alishinda...

READ MORE

Polisi Wadaiwa Kujiunga Na M23 Bukavu

Mamia ya askari wa Jeshi la Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanadaiwa kujiunga na waasi wa M23 katika...

READ MORE

Majaliwa: Endelezeni Mafunzo Ya Dini kutoa fursa kwa watoto na vijana

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea kufundisha na kuimarisha elimu ya dini ili...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Ashiriki Hafla Ya Utoaji Tuzo Za Wasanii Wa Komedi, Washindi Wapo Hapa (Picha +Video)

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Jumamosi Februari 22, 2025 amesema Serikali itaendelea kuwashika mkono wasanii...

READ MORE

Uwindaji wa Kitalii Kuiingizia Tanzania Bil2.5

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kuingiza jumla ya Dola za Kimarekani 968,000 sawa na shilingi za kitanzania...

READ MORE

Serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro Yawapongeza Wadau Kwa Kupanda Miti

SERIKALI mkoani Kilimanjaro imeipongeza kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania kama wadau wa mazingira kwa kazi kubwa ambayo inafanya kwa...

READ MORE

Mtwara Wanufaika na Kampeni ya Mixx by Yas

Hatimaye kampeni ya Magift inayofanywa na kampuni ya Yas Tanzania, kupitia kitengo cha Mixx by Yas imeweza  kuwazawadia, wateja na...

READ MORE

Aweso Afanya Mabadiliko Mamlaka Ya Maji Moro

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, leo Februari 22, 2025, amefanya mabadiliko ya kiutendaji katika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashuhudia Makabidhiano Ya Zana Za Kilimo

▪️Ni mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo kwenye vituo 45 vya zana nchini._ ▪️Trekta tano na majembe yake...

READ MORE

Polisi : Aliyekamatwa Ni Kishandu

Jeshi la Polisi limetoa taarifa kwa umma kuhusu video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoonesha mwanaume mmoja akikamatwa kwa nguvu....

READ MORE