×

Habari

Waziri Mkuu Akutana Na Balozi Wa Umoja Wa Ulaya Nchini

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Februari 18, 2025 amefanya mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, Ofisini...

READ MORE

Wamarekani, Wacanada Watwangana Kwenye Mechi

Wamarekani na Wakanada wametwangana ngumi katika mechi ya hoki ya barafu baada ya wimbo wa taiifa wa Marekani kuzomewa. Kwa...

READ MORE

DRC: Jeshi La Rwanda Limeingia Bukavu

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imesema kuwa jeshi la Rwanda na washirika wake wameingia katika mji wa...

READ MORE

NSSF Yatanga Uhakiki Kwa Wastaafu Na Wategemezi Wanaolipwa Pensheni Ya Kila Mwezi

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) unawatangazia wastaafu na wategemezi wote wanaolipwa pensheni ya kila mwezi kuwa kutakuwa...

READ MORE

Mrembo Asimulia Jinsi Alivyoachana na Mpenzi Wake Kisa Hamridhishi Faragha

Kama mtayarishaji maudhui wa YouTube ninayeishi Thika Town nchini Kenya, maisha yangu yamekuwa kitabu cha umma ambacho mamilioni ya watu...

READ MORE

Afungwa Miaka Mitatu Jela Kwa Kung’ata Watu Wawili

Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi wa Kijiji cha Soswa wilayani humo, Amos John...

READ MORE

Mwili Wa Mwanamuziki Tabia Mwanjelwa Kuzikwa Leo Mbeya

Mwili wa mwanamuziki mkongwe, Tabia Shabani Mwanjelwa, aliyefariki Januari 25, 2025, huko Saarbrücken, Ujerumani, umewasili Dar es Salaam jana na...

READ MORE

Mamia ya wafanyakazi wa safari za ndege Marekani wapoteza ajira

Utalawa wa Trump umeanza kufuta kazi mamia ya wafanyakazi wa idara ya safari za anga na kusababisha hali ya sintofahamu...

READ MORE

Rais Mwinyi: Wasanii Wana Mchango Muhimu Katika Jamii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Wasanii wana Mchango muhimu wa Kuhamasisha jamii...

READ MORE

Halmashauri Ya Chamwino Yapongezwe Kwa Usimamizi Wa Miradi

Kamati ya kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeipongeza Halmashauri ya Chamwino Kwa kuonyesha na kusimamia thamani ya fedha katika ujenzi...

READ MORE

Watu 80 Wanusurika kifo Katika Ajali ya Ndege Canada

Takribani watu 18 wamejeruhiwa baada ya Ndege ya Ndege ya Delta namba 4819 iliyokuwa ikitokea Minneapolis Marekani kwenda Toronto, Canada...

READ MORE

Waziri Mkuu Aliyekamatwa Kısa Rushwa Atoka Kwa Dhamana

Mahakama nchini Mauritius imemuachia kwa dhamana Waziri Mkuu wa zamani, Pravind Jugnauth aliyekamatwa jana Jumapili kwa tuhuma za rushwa na...

READ MORE

Maalim Seif  Kuombewa Dua Leo 

“Ndugu wananchi wa Zanzibar na Watanzania kwa ujumla, kwa masikitiko makubwa nakujulisheni leo tarehe 17 Februari, 2021, majira ya saa...

READ MORE

Afrika Kuwa Na Mwakilishi Baraza La Usalama UN

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) amesema sio sawa kwa bara la Afrika kutokuwa na kiti cha mwakilishi wa...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Afanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Innovo ya Uingereza

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu...

READ MORE

Shilingi Trilioni 8.2 Zatumika Kukopesha Wanafunzi Katika Kipindi Cha Miaka 20 – Majaliwa.

▪️Asema Serikali ilifuta tozo za kulinda thamani ya fedha ili kuondoa changamoto katika urejeshaji wa mikopo. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa...

READ MORE

PM Majaliwa Atoa wito Uwekezaji wa NMB Katika Elimu Uigwe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za umma na binafsi kuiga mfano wa Benki ya NMB katika kuwekeza...

READ MORE

Trump Atangaza Kukutana Na Putin

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jumapili jioni kuwa atakutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, katika siku za usoni....

READ MORE

Odinga: Nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC

Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amesema ameridhishwa na mchakato wa uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti mpya wa Kamisheni...

READ MORE

Majaliwa Amwakilisha Rais Dkt. Samia Kwenye Kilele Cha Maadhimisho Ya Miaka Ishirini Ya Heslb

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Februari 17, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka...

READ MORE

Shakira Ashindwa Kufanya Shoo, Akimbizwa Hospitali

Staa wa Pop duniani, Shakira, amelazimika kukatisha shoo yake nchini Peru na kukimbizwa hospitali baada ya kupatwa na maradhi ya...

READ MORE

Mke Aangua Kilio Baada ya Mumewe Kutembea na Mama Yake

Kulikuwa na drama na zogo katika mtaa wa Tom Mboya Estate, Kisumu nchini Kenya baada ya mwanaume mmoja aliyeoa kufanya...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Maendeleo Ya Mradi Wa Ujenzi Uwanja Wa Ndege Shinyanga

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amemtaka mkandarasi wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa Shinyanga afanye kazi usiku na mchana ili...

READ MORE

Leyla Genius Atokwa Machozi, Zari Mapito Amfanyia Surprise Valentine – Video

Habari njema! Binti Leyla (23) aliyepata scholarship ya kusomea udaktari India na kukatisha masomo yake kwa ugonjwa, tayari ameanza mazoezii...

READ MORE

Wizara Yatakiwa Kubuni Mazao Mapya ya Utalii Kwenye Eneo la Amboni

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kubuni mazao mapya ya...

READ MORE

Majaliwa: Rais Dkt. Samia Ni Tiba Ya Maendeleo, Kiongozi Anayeona

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu Ndugu Kassim Majaliwa...

READ MORE

Vijana 132 Wakamatwa Pwani Kwa Kujihusisha Na Biashara Ya Kitapeli, RPC Pwani Afunguka Tukio Zima – Video

Vijana takribani 132 wenye umri wa kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali, hasa ya pembezoni mwa Tanzania,...

READ MORE

Rais Dk. Mwinyi Apokewa Kwa Kishindo Pemba

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Hussein Ali Mwinyi amezisisitiza Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi kuwahamasisha Wanachama na Wananchi kujiandikisha na...

READ MORE

Waarabu Wote UN Wapinga Kutimuliwa Wapalestina Gaza

Kundi la Waarabu katika Umoja wa Mataifa, pamoja na kundi la mabalozi wa Umoja wa Mataifa, wamepinga vikali mipango yoyote...

READ MORE

Mwili Wa Mwanjelwa Kuwasili Nchini Jumatatu

Mwili wa mwanamuziki mkongwe, Bi. Tabia Shabani Mwanjelwa, aliyefariki dunia Januari 25, 2025, huko Saarbrücken, Ujerumani, anakoishi na familia yake,...

READ MORE

Mchengerwa Afanya Mazungumzo Na Kampuni Ya Jospong Udhibiti Taka Mijini

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amefanya mazungumzo na wawakilishi wa JOSPONG group of companies ya nchini Ghana,...

READ MORE

Mazoezi ya Kijeshi Kati ya JWTZ na Jeshi la Marekani Yalivyofungwa Msata

Zoezi la Justified Accord ambalo  lilizinduliwa rasmi Februari 10 mwaka huu, ikiwa ni ushirikiano uliopo Katika ya Jeshi la Wananchi...

READ MORE

Raila Ashindwa Katika Kinyang’anyiro Cha Uenyekiti Wa Tume Ya AU

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga ameshindwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC)....

READ MORE

Uchukuaji wa Namba za Mbio za Kili Marathoni Waanza kwa Kasi Mlimani City

Zoezi la uchukuaji wa namba za Mbio to za Kimataifa za Masafa Marefu za Kilimanjaro Premium Lager, lililokuwa likisubiriwa kwa...

READ MORE

Kaka wa Lissu Ampokea Nyumbani Kwao Ikungi

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Mhe. Tundu Lissu amepokelewa kwa kishindo Nyumbani kwao Ikungi tangu kuchaguliwa...

READ MORE

Arsenal Yaendelea Kung’ara: Ushindi Dhidi Ya Leicester Waimarisha Mbio Za Ubingwa

Katika msimu wa 2024/2025, Arsenal imeendelea kuonesha uwezo mkubwa katika Ligi Kuu ya Uingereza, ikipambana vikali katika mbio za ubingwa....

READ MORE

Mtoto Wa Museveni Atishia Kuishambulia DRC

Mkuu wa majeshi ya ulinzi ya Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema kupitia chapisho lake kwenye mtandao wa X siku ya...

READ MORE

Njiani Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Lissu Akielekea Nyumbani Kwao Ikungi

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Mhe. Tundu Lissu amesalimiana na  wananchi wa Manyoni akielekea katika mapokezi...

READ MORE

Kanisa La Nabii Suguye Latimiza Miaka 18

Kanisa la WRM Ministries lililo chini ya @prophet_nicolaus_suguye leo linatimiza Miaka18 tangu kuanzishwa kwake huku Prophet Nicholas Suguye akijivunia makubwa...

READ MORE

Shigongo Katika Mkutano Wa IPU Aelezea Umuhimu Wa Afrika Kutumia Maliasili – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameshiriki Mkutano wa Mabunge ya Dunia (Interparliamentary Union) unaofanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa...

READ MORE