×

Habari

Mkuu wa Wilaya ya Masasi Atenguliwa, Kasanda Achukua nafasi Yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Rachel Stephen Kasanda kuwa Mkuu wa Wilaya...

READ MORE

Waandishi Wa Habari Wauwawa Kwa Shambulio La Israel

Shirika la utangazaji la Al Jazeera limeripoti leo kuwa mwandishi wake wa habari anayefanya kazi na moja ya chaneli zake...

READ MORE

Mbowe Aonekana hadharani Msibani Kwa baba mkwe wa Waziri Mwigulu

  MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ameonekana hadharani leo Machi 25, 2025 baada ya...

READ MORE

TRC Yaanza Mchakato Ujenzi Wa Reli Ya Kisasa Ya SGR Mkoani Arusha

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, leo Jumanne, Machi 25, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu...

READ MORE

Machaguo Zaidi ya 1000 Yapo Hapa

Jumanne ya kutimiza ndoto zako na Meridianbet imefika. Ingia kwenye akaunti yako na uweze kusuka jamvi lako la ushindi hapa...

READ MORE

VETA Yafadhili Mafunzo kwa Wanawake 3000 Jijini Dodoma

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetoa ufadhili wa mafunzo ya muda mfupi kwa wanawake 3000 jijiji...

READ MORE

Wasomi UDSM Wafanya Kongamano la Kuboresha Ubunifu wa Kibiashara

Dar es Salaam, 25 Machi 2025: Wasomi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na wadau wake leo wameanza kongamano...

READ MORE

Waalimu Wa Sayansi & Hisabati Watakiwa Kutumia Mbinu Za Kisasa Katika Ufundishaji

WALIMU wa Shule za Sekondari wanaofundisha masomo ya Sayansi na Hisabati,wametakiwa kutumia mbinu za kisasa zinazozingatia mabadiliko ya sayansi na...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Lango La Utalii Hifadhi Ya Mkomazi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Machi 25, 2025 amezindua lango la kuingia na kutoka watalii la Ndea kwenye Hifadhi ya...

READ MORE

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Apotea, Polisi Wamsaka

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa Daniel Chonchorio, Mkazi wa Nyakato jijini Mwanza anadaiwa kupotea katika...

READ MORE

Wananchi wa Nkasi Wampa Tundua Lissu zawadi ya Samaki

Wananchi wa Nkasi Kaskazini wamemkabidhi Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Tundua Lissu zawadi ya samaki tarehe 24...

READ MORE

Rais mstaafu Dkt. Kikwete Awasilisha Ujumbe Maalum nchini Senegal

  Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete Machi 24, 2025, amewasilisha Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

NBC Yashiriki Uzinduzi Uwanja Mpya Wa Singida Blakc Stars, Yasisitiza nia Kuboresha Viwanja

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) , mdhamini mkuu wa Ligi Kuu ya NBC imeshiriki kikamilifu kwenye uzinduzi wa uwanja...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi EAC na SADC uliofanyika kwa njia ya mtandao – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na...

READ MORE

Rais Samia Ajumuika na makundi maalum kwenye Iftar Chake chake, Zanzibar

Rais Samia Suluhu Hassan Machi 25, 2025 amejumuika na viongozi wa siasa, serikali, dini na makundi maalum kwenye Iftar aliyowaandalia...

READ MORE

Al-Shabaab Waua Polisi Sita Wa Kenya

Askari sita wa jeshi la Polisi la Kenya wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa katika shambulio linaloaminika kufanywa na kundi la...

READ MORE

Nafasi ya Kushinda Ipo Meridianbet

Mechi za kufuzu kombe la Dunia zipo leo na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua...

READ MORE

Waislamu, Wakristo Burkina Faso Wala Futari Pamoja

Mamia ya Waislamu na Wakristo huko Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, wameshiriki pamoja dhifa ya futari katika medani ya...

READ MORE

Namibia; Rais, Makamu Wa Rais Wanawake

Rais mpya wa Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah ametangaza baraza lake la mawaziri la kwanza na kumteua Lucia Witbooi kuwa Makamu wa...

READ MORE

EWURA, ERB Kushirikiana Kuboresha Huduma za Nishati

ZAMBIA. Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na Bodi ya Udhibiti wa Nishati Zambia...

READ MORE

Kumbe Nilikuwa Nimeandaliwa Kutolewa Kafara Bila Mimi Mwenyewe Kujua Chochote

Jina langu ni Jamal kutoka Moshi, ni kijana wa miaka 28 kwa sasa, mwaka 2018 nilitengwa na familia yangu kisa...

READ MORE

Video: Shigongo Awataka vijana Kufanya Kazi, Acheni Kunywa Pombe Hovyo

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amewataka vijana wa Buchosa kufanya kazi kwa bidii ili kujipatia maendeleo, huku akiwaasa kuachana na...

READ MORE

Video: Imelda Alivyomsapraiz Carina Wodini India, Afunguka Mazito!

Mwandishi mahiri wa habari kutoka Global TV, Imelda Mtema amefunga safari mpaka nchini India kwenda kufuatilia maendeleo ya mwanadada Caroline...

READ MORE

Dkt. Wilbroad Slaa amerejea Chadema, Tundu Lissu Ampokea

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, leo Machi 23, 2025 amemtangaza rasmi aliyekuwa Katibu Mkuu...

READ MORE

Maskini Rama! Ana Miaka 17, Tazama Alivyo Aomba Kusadiwa – Video

Ama kweli kabla haujafa, haujaumbika! huyu ni Ramadhan, kijana mwenye umri wa miaka 17, ambaye kutokana na tatizo lake la...

READ MORE

Kiongozi Wa Hamas Auawa Na Shambulio La Anga La Israel – Video

Shambulizi la anga la Israel katika mji wa kusini wa Khan Younis huko Gaza limeua kiongozi mkuu wa chama cha...

READ MORE

RC Chalamila Atoa Sadaka Maalum Kwa Wanawake Waislam Dar

-Zaidi ya wanawake 600 katika wilaya zote tano za Mkoa wapatiwa sadaka ya IFTAR -Awaomba kuendelea kuomba Dua kwa ajili...

READ MORE

Rubani Afariki Katika Ajali Ya Ndege Kwenye Maonyesho Ya Anga Afrika Kusini – Video

Sherehe za Maonyesho ya Anga ya West Coast zilighubikwa na msiba siku ya Jumamosi baada ya rubani mkongwe, James O’Connell,...

READ MORE

Majaliwa: Tuwapende, Tuwajali Na Tuwatunze Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalum

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wanafunzi wa shule zote nchini kuwatunza, kuwapenda na kuwajali wanafunzi wenzao wenye mahitaji...

READ MORE

BAKWATA Yatangaza Eid El-Fitri 2025 Kuwa Machi 31 au April 1

Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limewatangazia Waislamu na wananchi wote kwa ujumla kuwa Sikukuu ya Eid El-Fitri itakuwa...

READ MORE

Rais Samia Azindua Sera Ya Taifa Ya Maji Toleo La Mwaka 2025 (Picha +Video)

  Rais Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Sera mpya ya Maji ya Mwaka 2002, toleo la 2025, ikiwa ni sehemu...

READ MORE

Lissu, Heche, Lema, wakutana na Raila Kenya

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo; Tundu Lissu , Makamu wake Bara John Heche pamoja na Mjumbe wa Kamati...

READ MORE

Jeshi la Polisi Latoa Tamko Kuhusu Tishio la Kiusalama

Jeshi la Polisi limetoa taarifa kwa umma kuhusu taarifa ya tahadhari ya tishio la kiusalama inayosambaa mitandaoni. POLISI WAFAFANUA TISHIO...

READ MORE

Waziri wa Afya Mhagama: Prof. Janabi Anatosha Ukurugenzi (Who) Afrika

  Waziri wa Afya Jenista Mhagama amesema Prof. Muhamad Janabi ni mtu sahihi ambaye anaweza kuongoza Sekta ya Afya Kanda...

READ MORE

Bodaboda wa Kariakoo Wanufaika na Ujio wa Meridianbet

Meridianbet imeendelea na utaratibu wake kama kawaida wa kurejesha kwenye jamii kile kidogo ambacho wanakipata na safari hii walijikita kwenye...

READ MORE

Papa kufundishwa kuzungumza, kisa oksijeni

Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Francis, baada ya kuwa kitandani kwa zaidiya wiki sita sasa analazimika “kujifunza tena kuzungumza” kutokana...

READ MORE

Baba: Nikitembea Jicho Linataka Kuanguka, Naomba Msaada – Video

Hujafa hujaumbika! Said Ismail (42), mkazi wa Mbagala Kilungule alikuwa mzima kama walivyo watu wengine lakini kwa sasa, hali yake...

READ MORE

Rais Samia Aleta Mageuzi Sekta ya Afya, Vifo vya Wajawazito Vipungua kwa 80%

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ally Hapi amesema Rais Dk,Samia Suluhu Hassan amesimama...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Aifariji Familia ya Aliyekuwa Katibu wa CCM Rombo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na familia ya aliyekuwa Katibu wa CCM...

READ MORE

Kabila akutana na Mbeki waijadili Mgogoro wa DRC

Rais wa zamani Thabo Mbeki na Joseph Kabila walifanya mazungumzo katika Taasisi ya Thabo Mbeki huko Johannesburg juzi Jumatano, wakijadili...

READ MORE