×

Habari

Papa Francis Apelekwa Hospitali, Chanzo Chatajwa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, mwenye umri wa miaka 88, alikimbizwa hospitali ya Policlinico Agostino Gemelli mjini Roma...

READ MORE

Adakwa Na Gwanda Za JWTZ Akijifanya Mjeda

Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linamshikilia Emmanuel Mapana (24) maarufu kwa jina la Mchambi mkazi wa mtaa wa Sima,...

READ MORE

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson Alivyofunga Mkutano Jijini New York

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson,...

READ MORE

Makamu wa Rais Afanya Mazungumzo na Balozi wa Uganda nchini Kanali Mstaafu Fred Mwesigye

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri...

READ MORE

Mpango Mkali Wa Kutatua Vita Ya Ukraine Wafichuka

Rais wa Marekani Donald Trump aliyeahidi kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine sasa ameanza kufanyia kazi ahadi hiyo. Jana...

READ MORE

Yanga yaichapa KMC 6-1, Aziz Ki ang’ara kwa hat-trick

Young Africans SC wameweka hai matumaini yao ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania baada ya kuibuka na ushindi...

READ MORE

DC Magoti Azindua Taasisi ya Planet Servers Iliyojipanga Kulinda Mazingira

Pwani, 14 Februari 2025: Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti amezindua taasisi isiyo ya kiserikali ya Planet Servers Foundation...

READ MORE

DC Magoti Alivyowapa Onyo Kali Watakaosababisha Uzembe Kwenye Elimu ya Watoto Wao

Kisarawe, Pwani. 12 Februari 2025: Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, Petro Magoti amewaonya wazazi watakaofanyia mzaha elimu za...

READ MORE

Rais Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano Wa 38 Wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili leo, tarehe 14 Februari 2025, katika Uwanja wa...

READ MORE

Serikali Yatoa Tamko Kuhusu Mpango Wa Uendelezaji Wa Eneo Maalum La Kiuchumi La Bagamoyo

Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa zinazozagaa mtandaoni zikidai kwamba kampuni moja kutoka Saudi Arabia imepatiwa mkataba wa ujenzi na uendeshaji...

READ MORE

Mtoto Wa Elon Musk Azua Gumzo Mitandaoni

Msanii wa muziki wa Kanada anayefanya shughuli zake Marekani, Grimes, amemkosoa vikali aliyekuwa mpenzi wake na baba wa watoto wake...

READ MORE

Trump Kupitisha Fagio Balozi Zote Za Marekani

Rais Donald Trump wa Marekani amezitaka balozi za nchi hiyo duniani kote kujiandaa kwa upunguzwaji mkubwa wa wafanyakazi ikiwa ni...

READ MORE

Watu Watatu Wafariki baada ya Lori kuacha Njia Kimara Stop Over Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema watu watatu wamethibitika kufariki dunia baada ya lori lililokuwa linatokea...

READ MORE

Tamisemi Yaweka Wazi Viwango Vipya Ujenzi Wa Madarasa Na Zahanati

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imefanya mapitio ya bajeti kwa kuzingatia muundo wa kanda...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Wa Viongozi

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi leo, tarehe 13 Februari 2025, katika nafasi za kiutendaji serikalini.

READ MORE

DK. Mwinyi Kutambulishwa Kwa Kishindo Pemba

Chama Cha Mapinduzi kimesema kitamtambulisha mgombea urais wa Zanzibar wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) visiwani Pemba. Katibu wa Kamati Maalum...

READ MORE

DR Congo Yapiga Marufuku Ndege Za Rwanda

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imepiga marufuku ndege zote zilizosajiliwa nchini Rwanda kutumia anga yake kutokana na vita vya...

READ MORE

Itakua Aibu Kufungwa Na Yanga Kwenye Uwanja Wetu

Kikosi cha KMC FC kinajiandaa kwa mtanange mkali dhidi ya Young Africans SC (Yanga) kwenye dimba la KMC Complex, huku...

READ MORE

Urusi Yajibu Vitisho Vya Trump Dhidi Ya BRICS

Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imetoa taarifa kuhusiana na tishio la Rais Donald Trump wa Marekani la kutoza...

READ MORE

Waziri Anusurika Kuuawa Baada Ya Kushambuliwa Kwa Risasi

Waziri wa Nchi anayeshughulikia bunge nchini Libya, Adel Juma amenusurika kuuawa baada ya watu wenye silaha kumshambulia akiwa ndani ya...

READ MORE

DK. Nchimbi Akutana Nakuzungumza Na Mabalozi

Mabalozi wa Uganda, Algeria, India, na Marekani wamepongeza uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa Urais kupitia Chama...

READ MORE

Dr. Tulia Aongoza Kikao Cha Maandalizi Mkutano Wa Maspika

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson...

READ MORE

India Kuwekeza Katika Sekta Ya Nishati Nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Petroli na Gesi...

READ MORE

Dawa ya Uhakika ya Maumivu ya Mgongo na Homa ya Uti wa Mgongo

Kutana na Hassan Omondi ambaye ni baba mwenye upendo na anayejali wa watoto wake wawili, anafanya kazi kama mwalimu katika...

READ MORE

Waziri Kabudi Awaomba Wabunge Kuhamasisha Matumizi Ya Kamusi Ya Kiswahili Shuleni

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Paramagamba Kabudi, amewaomba wabunge kuhamasisha shule za msingi kujipatia nakala za...

READ MORE

Balozi Nchimbi Afanya Mazungumzo na Mabalozi wa Nchi Nne

              Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza...

READ MORE

Lissu afafanua maana ya No Refom No Election – Video

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu amefafanua kuhusu kauli mbiu ya chama hicho inayosema No Reform...

READ MORE

Trump Aikandia Canada Kwa Kuitegemea Marekani

Rais Donald Trump wa Marekani ameendelea kutoa kauli za dharau kwa mataifa kadhaa mara hii akiishambulia tena Canada akisema haifai...

READ MORE

Makonda: Siku Ya Wanawake Arusha Maajabu Kutokea

Afisa Mnadhimu namba Moja Mkoa wa Arusha ACP Debora Lukololo ambaye pia ni mwenyekiti wa mtandao wa Polisi wanawake Mkoa...

READ MORE

FBI Yadai Kupata Ushahidi Mpya Mauaji Ya Rais John Kennedy

Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) limesema limepata ushahidi mpya kuhusu mauaji ya aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy,...

READ MORE

DRC Yaishtaki Rwanda Mahakama Ya Afrika

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imewasilisha kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ICJ...

READ MORE

Trump, Musk Wajitokeza Kutetea Uamuzi Wao

Rais Donald Trump amefanya tukio adimu la kujitokeza hadharani pamoja na mshauri wake mwenye ushawishi mkubwa, Elon Musk, katika Ofisi...

READ MORE

Marekani Kusitisha Misaada Balaa Jipya DR Congo

Hatua ya Rais Donald Trump ya kusitisha misaada yote iliyokuwa ikitolewa na Marekani imeongeza hali ya wasiwasi nchini Jamhuri ya...

READ MORE

Wasira Asisitiza Uchaguzi Mkuu Utafanyika Kama Ulivyopangwa na NEC (Picha +Video)

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesisitiza kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 utafanyika kama ulivyopangwa...

READ MORE

Nimemfuma Mke Wangu Kitandani Akivunja Amri ya Sita na Baba Yangu

Jina langu ni James, siku moja niliingia kwenye chumba changu cha kulala na nikamkuta mke wangu kitandani na baba yangu,...

READ MORE

Makonda Amvunja Mbavu Makamu wa Rais Mpango Kuhusu Aziz Ki na Hamisa – Video

February 11, 2025 Katika Mkutano wa juhudi za kuimarisha utoaji wa huduma za umma kwa njia za kidijitali, mkutano wa...

READ MORE

Makamu wa Rais Aitaka e-GA kukamilisha mchakato wa Mfumo wa Ubadilishanaji Taarifa Serikalini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA)...

READ MORE

Video: Moto Ulivyoteketeza Bar Buza, Steve Mweusi Akimbia Kushuhudia

Msanii wa Sanaa ya Uchekeshaji nchini, Steven Mweusi ameeleza namna ya hali aliyoikuta katika Bar ya Peda iliyoteketea kwa moto...

READ MORE

Naibu Waziri Mkuu Mgeni rasmi Kilimanjaro International Marathon 2025

NAIBU Waziri Mkuu na ambaye pia ni Waziri wa Nishati, Dr. Doto Biteko anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika mbio za...

READ MORE

Bashungwa Apongeza Polisi Kupatikana Wanafunzi Waliotekwa Mwanza

“Wahalifu msijaribu uwezo wa Polisi, tutawafikia popote” Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amelipongeza Jeshi la Polisi...

READ MORE