×

Habari

Waziri Mchengerwa Amuonya Chalamila “Usifanye Maamuzi Ya Barabara Za Mwendokasi Bila Kibali” – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa, ametoa agizo kwa...

READ MORE

Mhandisi Mahundi Atoa Mwezi Mmoja Kwa TTCL Kuboresha Huduma Za Intaneti Mpaka Wa Kasumulu

Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb.), ameziagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)...

READ MORE

Rais Tshisekedi Asema Kongo Kuingia Mkataba wa Madini na Marekani

Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) amesema nchi yake iko tayari kuingia mkataba wa madini na...

READ MORE

Rais Samia Apewa Tuzo ya Mageuzi katika Misitu, Uhifadhi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amepewa tuzo ya Wizara ya Maliasili na Utalii kutambua...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Sherehe za Uapisho wa Rais Mteule wa Namibia (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 21, 2025, ameshiriki katika sherehe za uapisho wa...

READ MORE

Majaliwa Atembelea Kiwanda Cha Uchakataji Mazao Ya Misitu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo, Machi 21, 2025 amewasili Mkoani Njombe ambapo pamoja na mambo mengine atakuwa Mgeni Rasmi katika...

READ MORE

CCM Yahoji Mamlaka ya ACT-Wazalendo Kuingilia Majukumu ya ZEC

Wakati uandikishaji wa wapiga kura ukimalizika salama Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimehoji ni wapi ACT-Wazalendo kinakopata mamlaka ya kuingilia...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Namibia kuhudhuria hafla ya uapisho wa Rais Netumbo Nandi

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Mchengerwa Ashuhudia Utiaji Saini Wa Mikataba Ya Ujenzi Wa Barabara Km. 84 Za Dar – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa leo Machi 21, 2025 ameshuhudia...

READ MORE

Video: Waziri Ulega Awasimamisha Kazi Watumishi Wa Mizani Baada ya Mama Huyu Kukinukisha

Hapo jana, Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, alimuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Balozi Aisha Amour, kuwasimamisha kazi...

READ MORE

Kweli Nimeamini Mwanaume na Mwanamke Waliozaa Pamoja Hawaachani Kamwe

Jina langu ni Suma kutokea Kagera, nilikuwa na mwanamke hadi tukazaa nae watoto wawili hapo katikati kukawa na mambo mengi...

READ MORE

Benki ya Stanbic Tanzania Yawafuturisha Wateja Wake

Benki ya Stanbic hapo jana iliandaa Iftar maalum kwa ajili ya wateja wake, iliyofanyika katika Hoteli ya Serena na kuwakutanisha...

READ MORE

Serikali Yaipongeza CRDB kwa Kuimarisha Huduma za Kibenki Kidijitali

SERIKALI imeipongeza Benki ya CRDB kwa kuandaa Kongamano la Elimu ya Huduma za Benki kwa Njia ya Mtandao (Internet Banking),...

READ MORE

Rais Mwinyi ashiriki futari iliyoandaliwa na Rais Samia Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika kwenye Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Achangia Sh.Milioni 50 Kumuenzi Padri Shirima

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu...

READ MORE

Waziri Mkuu Mstaafu Pinda Afurahishwa na Ilipofikia VETA

Dar es Salaam, 20 Machi 2025: Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda, leo ametembelea kwenye...

READ MORE

Finland Ya Kwanza Kuwa Na Watu Wenye Furaha Zaidi Duniani

Finland imeorodheshwa ya kwanza kama nchi yenye watu wenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa nane mfululizo. Kulingana na ripoti...

READ MORE

Mama Aangua Kilio Hadharani, Nyumba Yake Yauzwa Kwa Mnada Kulipa Deni Alilokopa La Milioni 30 Benki – Video

Mwanamama Asha Ramadhan, Mkazi wa Kimara Golan jijini Dar es Salaam, amemlilia Rais Samia Suluhu Hassan amsaidie kufuatia nyumba aliyokuwa...

READ MORE

Equity Yafuturisha Wateja na Wadau Wake Mji Mkongwe, Zanzibar.

Benki ya Equity siku ya jana iliandaa tukio la kipekee la Iftar, likiwa na lengo la kuleta pamoja wadau muhimu,...

READ MORE

Wacanada wanne wanyongwa China, Kisa Madawa ya kulevya

Raia wanne wa Canada wamenyongwa nchini China kwa mashtaka yanayohusiana na dawa za kulevya mapema mwaka huu, mamlaka ya Canada...

READ MORE

Tanzania na Misri kukuza ushirikiano katika Biashara na Uwekezaji

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Mambo ya Nje, Uhamiaji...

READ MORE

Jinsi ya Kuifanya Biashara Yako Izalishe Zaidi na Kukupa Faida Kubwa

Unajua hapa duniani kila binadamu anapenda kuona anakua katika biashara ambayo anaifanya, anapenda kuona biashara yake inaongezeka mtaji, biashara yake...

READ MORE

Doto Biteko Afanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje ya Misri

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amefanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje, Uhamiaji na Wamisri...

READ MORE

Video: Rungwe Wamchongea Mo Dewji Kwa Mzee Wasira – “Huyu Mohammed Ni Nani?”

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Steven Wasira amemshukia mmiliki wa Kampuni ya Mohamed Enterprises, Mohamed Dewji almaarufu Mo...

READ MORE

Bahati Nasibu ya Taifa na Posta Washirikiana Kupanua Upatikanaji wa Michezo ya Kubahatisha

Dar es Salaam, 20 Machi 2025 – Bahati Nasibu ya Taifa ya Tanzania inayo furaha kutangaza ushirikiano wa kimkakati na...

READ MORE

Usafiri wa Umeme Waanza Kupaa Katika Sekta ya Usafiri wa Mtandaoni Tanzania

Pikipiki na bajaji zimeendelea kuwa uti wa mgongo wa mifumo ya usafiri katika mataifa mengi ya Afrika Mashariki, zikihudumu kama...

READ MORE

Mwanasheria Mkuu Asisitiza Taasisi za Fedha Kuheshimu Imani za Wateja

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw Hamza Saidi Johari  aliongoza mamia ya Waislamu ambao ni wateja wa benki ya Taifa ya...

READ MORE

VETA Sasa Kuja na Zana za Kisasa za Kufundishia, Walemavu Wazidi Kupata Fursa

Chuo cha Ufundi Stadi VETA katika kusherehekea miaka 30 ya taasisi hiyo kimeahidi kufanya mabadiliko makubwa ya chuo hicho ikiwemo...

READ MORE

Raila: Nilizuia Rais Ruto Kupinduliwa na Mapinduzi ya Kijeshi

Kiongozi mkuu wa upinzan nchini Kenya, Raila Odinga amefichua kuwa aliamua kumwokoa Rais William Ruto wakati wa maandamano ya Gen...

READ MORE

Iran Yamuonya Rais wa Marekani Donald Trump

Iran imeonya na imekemea kwa nguvu madai ya hivi karibuni yaliyotolewa na viongozi wa juu wa utawala wa Rais wa...

READ MORE

Pirates Legacy Kasino Yenye Jackpot Kubwa!!!

Ni siku nyingine tena njema na bora Zaidi ya kukufungulia dunia ya michongo, Leo nakupata siri kwenye mchezo wa kasino...

READ MORE

Wadau Wafanya Mkutano Kudhibiti Ukatili wa Kimtandaoni Dhidi ya Watoto

Dar es Salaam, 19 Machi 2025: Shirika lisilo la kiserikali la PDF (Peoples Development Forum) kwa kushirikina na wadau kutoka...

READ MORE

Mchungaji Mashimo Ahukumiwa Miaka Miwili Jela kwa kuharibu mali – Video

MAHAKAMA ya Wilaya Kinondoni, Dar es Salaam, imemhukumu mchungaji Daud Nkuba almaarufu Komando Mashimo, Nabii Nikaya, (Mchungaji Mashimo) kifungo cha...

READ MORE

Waziri wa Maji Jumaa Aweso atoa onyo Kwa DAWASA kuwaunganishia maji wananchi

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuwaunganishia maji wananchi...

READ MORE

Chadema Yatoa siri Walichozungumza na Msajli

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jumanne Machi 18,2025 kimetoa siri kuhusiana na mkutano wao na msajli wa vyama vya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 19, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Wiki ya Maji Yaungwa Mkono na NMB, Yashiriki Katika Jukwaa la Kujadili Masuala ya Maji

  Benki ya NMB imeshiriki na kudhamini Jukwaa la Kujadili Masuala ya Maji lililofanyika jijini Dar es Salaam, ikiwa ni...

READ MORE

Wiki Nzima ya Kuadhimisha Wiki ya Maji Yatengwa

Kampuni ya bia Tanzani (TBL) , imetenga wiki zima ya kuadhimisha wiki ya maji. Ambapo jana mefadha hafla ya maadhimisho...

READ MORE

Maziko ya SP Awadh Chiko Yafanyika Kijeshi Makaburi ya Kisutu Dar – Video

Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Chanika SP Awadh Chiko umezikwa leo Machi 18, 2025 katika Makaburi...

READ MORE

Maandalizi Sikukuu za  Eid na Pasaka;  Wateja Benki ya NBC Sasa Kupata Punguzo la Asilimia 20 kwa Manunuzi

Dar es Salaam: Machi 21, 2025: Kuelekea Msimu wa Sikuku za  Eid na Pasaka, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC ) imeingia...

READ MORE