×

Habari

Rais Samia Atangaza Fahari Ya Kahawa Ya Tanzania Katika Mkutano Wa G25

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazozalisha Kahawa...

READ MORE

Eric Shigongo: Watanzania Tembeeni Vifua Mbele, Nchi Yenu Ni Tajiri – Video

Baada ya kurejea kutoka nchini Marekani ambako alikuwa kwenye ziara ya kikazi, Mbunge wa Buchosa na Mkurugenzi wa Global Group,...

READ MORE

Trump Ampiga Chini Kigogo Wa Jeshi

Rais Donald Trump amemfukuza kazi mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Marekani, Jenerali wa Jeshi la Anga C.Q. Brown, na...

READ MORE

Rwanda: Vikwazo Vya Marekani Kwetu Si Halali

  Serikali ya Rwanda imelaani vikali hatua ya Wizara ya Fedha ya Marekani ya kumwekea vikwazo Waziri wa Utangamano wa...

READ MORE

Waziri Silaa Azindua Kampeni ya ‘Sitapeleki’ Kukabili Utapeli Mtandaoni

  Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb.) akizungumza katika Mkutano wake na waandishi wa...

READ MORE

Wataalamu Sekta ya Utalii Watakiwa Kuleta Maboresho Katika Sekta hiyo

Watendaji na Maafisa Utalii nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu, kujituma na ubunifu kuhakikisha Sekta ya Utalii inaboreshwa kwa manufaa...

READ MORE

Kinara wa Jumla Katika Tuzo za Tehama Ajirudia

Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania usiku wa kuamkia leo imeibuka kinara wa jumla katika Tuzo za Tehama...

READ MORE

Vatican: Papa Francis Anaendelea Vizuri

Vatican imesema hali ya kiafya ya kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis anayeendelea na matibabu hospitali, inaendelea vizuri. Msemaji...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Maadhimisho Ya Miaka 10 Ya Programu Ya Mwanamke Kiongozi -(Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia SULUHU hassan Akishiriki Madhimisho ya Miaka 10 ya Programu ya Mwanamke...

READ MORE

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo Kufanya Mkutano Na Waandishi Wa Habari Kesho

Mbunge wa Buchosa na Mkurugenzi wa Global Group, Eric Shigongo anatarajiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari kesho Jumamosi, Februari...

READ MORE

Mazoezi ya JWTZ na Jeshi la Marekani (U.S.ARMY) ya Cutlass Express 2025 Yahitimishwa

Mazoezi ya majini ya Cutlass Express, yaliyohusisha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Marekani (U.S.ARMY) yamefungwa leo...

READ MORE

Serikali Yajenga Vituo 8 Vya Ubunifu Kuboresha Tehama

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha serikali na wadau wa...

READ MORE

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kenya (IEBC), Wafula Chebukati Afariki

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC), Wafula Chebukati, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Kaka...

READ MORE

Mama Maria Nyerere: CCM Idumishe Uwezo wa Taifa Kujitegemea

Mjane wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere, ameitaka CCM kuendelea kutimiza wajibu wake wa kuzisimamia serikali...

READ MORE

SBL Yazindua Programu Ya Kukabiliana na Unywaji wa Pombe Chini ya Umri

Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua kampeni yake ya kukabiliana na unywaji wa pombe kwa vijana chini ya umri inayojulikana kama...

READ MORE

Jimmy Mafufu Ahama Chadema, Amchacha Lissu, Roma Na Nay – Video

Msanii wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu ametangaza kukihama chama chake cha Chadema na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM). Akitangaza...

READ MORE

Historia Fupi Ya Klabu Ya Almasry Inayocheza Na Simba

Al Masry Sporting Club ni klabu ya michezo ya Misri yenye makao yake huko Port Said, inayojulikana zaidi kwa timu...

READ MORE

Jaji Warioba: Napongeza CCM Kwa Hatua Zake Dhidi ya Rushwa

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama...

READ MORE

Mkuu wa Utumishi Jeshini, Meja Jenerali Elisha Gaguti Afanya Mazungumzo na RC Mwasa wa Kagera

Mkuu wa Tawi la Utumishi Jeshini Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Simba Yapangwa Na Al Masry Robo Fainali

Simba SC, wamepangwa kucheza dhidi ya Al Masry SC ya Misri katika hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho...

READ MORE

Rais Samia Azindua Tume ya Kutathmini mgogoro wa ardhi Hifadhi ya Ngorongoro

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Tume ya Rais ya Kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la...

READ MORE

Mashindano Ya Michezo Ya Majeshi Ya Tanzania Kufanyika Arusha Juni, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda Jumatano Februari 19, 2025 Ofisini kwake Jijini Arusha, amekutana na kuzungumza na...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Italia: Umoja wa Ulaya (EU) Usipingane na Marekani

Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amesema Umoja wa Ulaya (EU) haupaswi kuchukua msimamo ambao utakinzana na sera ya Marekani...

READ MORE

Majaliwa: Mama Samia Legal Aid Yafikia Wananchi Zaidi Ya Milioni 1

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni ubunifu wa Rais...

READ MORE

Maskini Carina! Mshono Wafumuka Tena Ghafla, Alia Maumivu – Video

Mwanadada aliyewahi kujihusisha na sanaa ya Bongo Muvi, Carolinahawa Hussein, kwa mara nyingine tena anakabiliwa na tatizo la utumbo wake...

READ MORE

Balozi Nchimbi: CCM Haitavumilia Wanaokiuka Kanuni

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani, uwakilishi...

READ MORE

Unakosaje mashuka bora na ya kisasa kwenye chumba chako? Yapo Hapa

Unakosaje mashuka bora na ya kisasa kwenye chumba chako? Unaambiwa chumba cha kulala bila mashuka safi na mazuri hakina maana....

READ MORE

Mume Wa Rihanna Ashinda Kesi Mahakamani

Jopo la majaji jijini Los Angeles, Jumanne, Februari 18, limemuachia huru rapa maarufu kwa jina la A$AP Rocky baada ya...

READ MORE

UN: Hapana; Afrika Kukosa Kiti Baraza La Usalama

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, hakuna kisingizio cha kuifanya Afrika iendelee kuwa haina uwakilishi wa kudumu...

READ MORE

Prof. Mkenda Azindua Bodi ya Wakurugenzi ya Nguvu za Atomiki

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, akitoa cheti kwa Mwenyekiti wa bodi ya Tume za Atomiki Tanzania...

READ MORE

Jaji Amruhusu Elon Musk Kupunguza Wafanyakazi

Jaji wa Mahama nchini Marekani ameruhusu idara inayoongozwa na Elon Musk, inayojulikana kama Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE), kuendelea...

READ MORE

Uganda Yatuma Vikosi Zaidi Nchini DRC

Msemaji wa Jeshi la Uganda Brigedia Jenerali Felix Kulayigye amethibitisha kuwa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (UPDF) limeingia kwenye...

READ MORE

Jeshi La Polisi Lafanya Ukaguzi Magari Ya Shule Za Udereva, Latoa Elimu Mfumo Mpya Wa Leseni.

Katika kuhakikisha Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha unaendelea kudhibiti ajali zinazosababishwa na madereva wasio na...

READ MORE

Trafiki Wabambwa Wakila Mlungula

Maofisa watatu wa polisi wa usalama barabarani jijini Nairobi, Kenya wamekamatwa na kitengo maalum cha kuzuia rushwa wakipokea rushwa kutoka...

READ MORE

Wasira Azungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea Nchini

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen M. Wasira, akizungumza na Mhe. Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, Ofisi...

READ MORE

Msemaji Mkuu wa Serikali Akutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari

Kufuatia kuelekea uchaguzi mkuu wa Serikali unaotarajiwa kufanyika mwaka huu wa 2025 katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na...

READ MORE

Stanbic Yatoa Elimu ya Ujuzi wa Fedha kwa Watoto wa Wateja Wao Jijini Mwanza

Elimu ya Ujuzi wa Fedha ya Benki ya Stanbic Tanzania inaendelea kuhimiza utoaji wa elimu ya fedha kupitia mpango wake...

READ MORE

Tanzania na Misri Kushirikiana Kukuza Sekta ya Utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, zimekutana kujadiliana namna bora ya kushirikiana katika...

READ MORE

Upendo Waendelea Kusambazwa Siku ya Wapendanao kwa Wajasiriamali

KATIKA kile kilichoelezwa kuwa ni  kujali stori za maisha ya wajasiriamali wadogo wanaojishughulisha na uchuuzi  wa maua, Benki ya Absa...

READ MORE

vurugu Za Tanda Chuo Kikuu Cape Town

Mwaka wa masomo 2025 katika Chuo Kikuu cha Cape Town (UCT) ulianza kwa vurugu baada ya wanafunzi kuandamana wakipinga vizuizi...

READ MORE