×

Habari

Putin Ataka Ukraine Iwe Chini Ya UN

Rais Vladimir Putin amependekeza kuwa Ukraine inapaswa kuwekwa chini ya udhibiti wa Umoja wa Mataifa (UN) kwa muda ili kuchagua...

READ MORE

Beki Wa Kazi Yanga Deni Lake Limekia Hapa

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Ibrahim Bacca deni lake la mabao...

READ MORE

Dk. Gwajima: Acheni Unyanyapaa Dhidi ya Single Mothers

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum, Dk Dorothy Gwajima amewasihi wanaozungumza vibaya kuhusu wanawake waolea...

READ MORE

Wanaosaka Ubunge, Udiwani Kabla Ya Muda Waonywa Mwanza

KATIUBU wa CCM Mkoa Mwanza Omari Mtuwa amewaonya makada wa chama hicho wanaojipitisha kusaka ubunge na Udiwani kabla muda kuwa...

READ MORE

TANZIA – Balozi Juma Mwapachu afariki Dunia

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kati ya mwaka 2006 na 2011, ameaga dunia Machi 28,...

READ MORE

Makalla Achangisha Zaidi ya 1.5M za Matibabu ya Mwenezi wa Chadema

CHAMA Cha Mapinduzi Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa kimechangia kiasi cha Sh 1,553, 500 kwa ajili ya Katibu Mwenezi wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Akutana Na Mabalozi Wa Tanzania Nchi Za Zimbabwe Na Rwanda

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 28, 2025 amefanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Rwanda Habib Galus Kambanga (kushoto)...

READ MORE

AVODA Group Kuwawezesha Wajasiriamali

Dar es Salaam 27 Machi 2025: Wajasiriamali nchini wanakabiliwa na changamoto kadhaa zinazowazuia kufanikisha malengo yao, zikiwemo ukosefu wa mitaji,...

READ MORE

Anza Wikendi Yako Vyema, Odds bomba Zipo Hapa

Je unajua kuwa unweza ukaanza wikendi yako vyema ukiwa na Meridianbet siku ya leo?. ODDS BOMBA zipo hapa lakini pia...

READ MORE

UN yatiwa wasiwasi na hali tete Sudan Kusini

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema anasikitishwa sana na kuendelea kushtadi taharuki na hali ya mambo nchini...

READ MORE

Shekhe Kandauma: Ni Haramu Kwa Mwanaume Kumnunulia Abaya Mwanamke Ambaye Hajamuoa – Video

Kupitia kipindi cha Mapito, Shekhe Kandauma ameeleza kuwa ni haramu kwa mwanaume kumnunulia Abaya mwanamke ambaye hajamuoa. Video kamili ipo...

READ MORE

Marekani Yafuta Visa za Wanafunzi Walioshiriki Maandamano ya Kiuunga Mkono Palestina

Serikali ya Marekani imefuta visa za takriban wanafunzi 300 wa kigeni kama sehemu ya juhudi za kukabiliana na maandamano ya...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Awasilisha Ujumbe Maalum Wa Rais Samia Kwa Rais Wa Gambia

RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Machi 26, 2025 amewasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Dkt....

READ MORE

Puma Energy Tanzania yafuturisha Viongozi na Wadau

Kampuni ya PUMA Energy imeandaa futari maalum Zanzibar, ikikusanya pamoja wateja wake, viongozi wa dini na serikali , na wadau...

READ MORE

CHADEMA Waitisha kikao maalum na watia nia wa nafasi za ubunge

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuitisha kikao maalum na watia nia wa nafasi za ubunge kupitia chama hicho....

READ MORE

Mwandishi mkongwe Afrika, Shaka Ssali Afariki dunia

Mwandishi wa habari mkongwe Afrika, Shaka Ssali, mzaliwa wa Kabale, Uganda aliyekuwa akifanya kazi kwa muda mrefu katika Shirika la...

READ MORE

NBC Yaitambulisha “NBC Shambani’’ Kwa wakulima Songwe, Mbeya

  Katibu Tawala Wilaya ya Mbozi Bw Mbwana Kambangwa, (alieshika mkasi) akijipongeza sambamba na wadau wengine mara baada ya kuzindua...

READ MORE

CAG: TRC Yapata Hasara ya Tsh bilioni 224, TTCL hasara ya Tsh bilioni 27.78 – Video

 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Dkt. Charles Kichere, leo Machi 27, 2025 akiwasilisha ripoti kuu...

READ MORE

CPA Makalla Avunja Ngome ya Chadema Mbeya, Awapokea Wanachama Wapya

Zaidi ya Wanachama wapya 50 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mbeya kutoka katika vyama vya upinzani wakitaja kuridhishwa...

READ MORE

CAG Kichere: Deni la Taifa Laongezeka Lafikia Trilioni 97.35 – Video

Leo Alhamisi Machi 27, 2025, Ikulu ya Magogoni Jijini Dar Es salaam, mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan, Mdhibiti na...

READ MORE

Lipa ChapChap: Benki Ya Exim Yaja Na Mapinduzi Ya Malipo Kidijitali

Dar es Salaam – Benki ya Exim Tanzania imechukua hatua madhubuti katika kuunda mustakabali wa malipo ya kidijitali kwa kuzindua...

READ MORE

Mchezo wa Kutengeneza Maokoto Kasino, Sloti ya Fairy In Wonderland

Fairy in Wonderland ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni inayotendeka katika msitu wa kusadikika, ambako kiumbe mzuri anaingia...

READ MORE

Katibu wa CCM Mwanza Aonya Makatibu Kata na Matawi Kuhusu Upangaji wa Safu

Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza Omari Mtuwa amewaonya makatibu Kata na tawi wa CCM Mkoa wa Mwanza kuacha tabia...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Apokea Taarifa Ya Mwaka Ya Takukuru Na CAG 2023/2024 – (Picha + Video)

Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akipokea Taarifa ya Mwaka ya TAKUKURU na Ripoti...

READ MORE

Ligi Inaendelea Meridianbet, Chezo sloti ya Capital City Derby Upige Mkwanja

Jiandae kwa tukio la michezo la sloti linalokusudiwa kuwafurahisha mashabiki wote wa michezo ya kubahatisha ya kasino ya mtandaoni! Uwe...

READ MORE

BoT: Utalii Waanza  Mwaka 2025 Ukiongoza Kuleta Fedha Za Kigeni

Ripoti mpya ya Benki Kuu ya Tanzania imethibitisha kuwa sekta ya utalii (travel and tourism), pamoja na kumaliza mwaka wa...

READ MORE

Bahati Nasibu ya Taifa Yashirikiana na Vodacom M-Pesa Miamala ya Kidijital

Dar es Salaam, Tanzania – 27 Machi 2025 – Bahati Nasibu ya Kitaifa ya Tanzania imeshirikiana na jukwaa kuu la...

READ MORE

Jenerali Mabele: Tukitangaza Nafasi JKT Jitokezeni, Acheni Kufoji Vyeti – Video

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Rajabu Mabele ametoa wito kwa watu wote wanaoghushi vyeti vya mafunzo ya...

READ MORE

Prof Kitila: Kuna Haja ya Kutengeneza Sera za Uagizaji Magari Kulinda Viwanda vya Ndani

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof Kitila Mkumbo amesema kuna haja ya kurekebisha Sera katika...

READ MORE

Mwalimu Mkuu Na Walinzi Wakamatwa Wakidaiwa Kumuua Mwanafunzi – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limewakamata watuhumiwa watatu kwa tuhuma za kumuua mwanafunzi wa kidato cha nne wa shule...

READ MORE

TANESCO Kuanzisha mkoa maalum wa kiutendaji Kushughulikia changamoto za umeme SGR

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema lipo mbioni kuanzisha mkoa maalum wa kiutendaji ili kushughulikia changamoto za umeme katika Reli...

READ MORE

Jenerali Mkunda Awavisha Nishani Kanda ya Mbeya

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Mhe Rais na Amiri...

READ MORE

Prof Kitila Mkumbo Atoa Maagizo Matano Kuongeza Ufanisi Kampuni Zenye Hisa na Serikali

Serikali imetoa maagizo matano kwa wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo inaumiliki wa hisa chache, ikiwa ni sehemu ya jitihada...

READ MORE

Rais Samia Afanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa DRC, Ikulu Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Machin26, 2025 amefanya mazungumzo na Mjumbe Maalum wa...

READ MORE

Urusi na Ukraine zakubaliana kusitisha vita baharini

Marekani imefikia makubaliano tofauti na Ukraine na Urusi, ambapo nchi hizo zimekubali kusitisha mashambulizi baharini na dhidi ya miundombinu ya...

READ MORE

Benki ya CRDB Yakabidhi Madarasa na Vyoo kwa Shule ya Msingi Misufini

Katika muendelezo wa kusheherekea miaka 30 ya kuleta mabadiliko katika jamii, Benki ya CRDB imekabidhi madarasa mawili na vyoo sita...

READ MORE

Msajili Aitwanga Barua CCM, Ataka Maelezo Ya Maneno Ya Makala – Video

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imewajibu Chama cha ACT Wazalendo kuhusu ombi lao la kuchukuliwa hatua Katibu wa...

READ MORE

Mwananchi Amshukuru Mkaguzi wa Polisi kwa Msaada wa matibabu

Mkaguzi kata ya Kisangura Wilaya Serengeti Mkoa wa Mara Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Genuine Kimario amepokea shukrani kutoka kwa...

READ MORE

Waziri Mhagama Awasilisha Ujumbe Wa Rais Samia Kwa Rais Wa Zambia

Waziri wa Afya, Jenista Mhagama Machi 24, 2025 amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt....

READ MORE

Video: Mfanyabiashara Adakwa Akidaiwa Kutapeli Kwenye Upatu na Vikoba

Wananchi mbalimbali Machi 24, 2025  wamefika katika Kituo cha Polisi Mbweni ambako mwanadada aitwaye Tumaini almaarufu Hope Brand anashikiliwa kwa...

READ MORE