×

Habari

Netanyahu apinga Palestina kuongozwa na chama cha Mahmoud Abbas baada ya vita vya Gaza

Wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari jana usiku, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alisema jambo ambalo litakuwa...

READ MORE

Waziri Ummy: Epukeni Vishawishi, Chipsi Ni Chakula Kama Vyakula Vingine

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka vijana wenye rika balehe (hasa wasichana) kuepuka vishawishi kama chipsi na vingine ili kujikinga...

READ MORE

Makonda Atembelea Na Kukagua Daraja La Jpm (Kigogo – Busisi) – Mwanza

Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda leo Novemba 12, 2023 ametembelea na kukagua...

READ MORE

Makonda Aingia Na Lori La Mchanga Sengerema, Akiwa Na Chepe Mkononi, Atoa Maagizo 3 -Video

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda leo Novemba 12, 2023 ametoa maagizo matatu ya Chama...

READ MORE

CRDB Yaweka Historia Kushinda Vipengele Vilivyokuwa Kwenye Comsumer Choice Awards Africa 2023

Benki ya CRDB yaweka historia kwa kushinda idadi nyingi ya vipengele vilivyokuwa kwenye Comsumer Choice Awards Africa 2023 kwa kupata...

READ MORE

Video: Waziri Wa Maji Awesu Amthibitishia Makonda Ndani Ya Wiki 3 Maji Kupatikana Katoro – Geita

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda amempigia simu Waziri wa Maji,...

READ MORE

Msanii Chino Akiwa na Madansa Wake Wapata Ajali Kabuku, Tanga – Video

  View this post on Instagram   A post shared by globalpublishers (@globaltvonline) Msanii na dancer maarufu Bongo, Chino akiwa...

READ MORE

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi Ashiriki katika Dua ya Kumuombea Rais wa Zanzibar

Mke wa Rais wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi...

READ MORE

Mchezaji Adondoka na Kufariki Dunia Uwanjani Wakati wa Mechi

Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ghana, Black Stars, Raphael Dwamena amefariki dunia baada ya kuanguka uwanjani leo wakati wa...

READ MORE

Piga Mkwanja na MeridianBet Wikiendi Hii

Ni hivi hakuna kukaa kinyonge wikiendi hii kwani ligi mbalimbali barani ulaya zimerejea na una nafasi ya kupiga mkwanja wa...

READ MORE

AMREF, USAID Wafanya Semina Ya Afya Shirikishi Ileje

hirika lisilo la kiserikali la AMREF ambalo linafanya kazi na TCDC kupitia ufadhili wa USAID kwenye Mradi wa USAID Afya...

READ MORE

Mbinu Niliyotumia Mpaka Kushinda Michezo ya Bahati Nasibu na Kuwa Tajiri Mkubwa

Hapa duniani kuna njia nyingi za kuweza kufanikiwa kimaisha, changamoto inakuwa jinsi gani utaweza kupata hizo njia na kuzitumia hadi...

READ MORE

Mauaji Ya Kutisha Sudan, 700 Wauawa Darfur

Wapiganaji wa Kundi la Rapid Support Forces (RSF) nchini Sudan, wamevamia kambi za wakimbizi na vijiji kadhaa Magharibi mwa Darfur...

READ MORE

Makaburi Ya Halaiki Kujengwa Gaza

Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza, wameanza kuchimba makaburi ya halaiki kuwazika ndugu zao, kutokana na ongezeko kubwa la watu...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika Jijini Riyadh (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika...

READ MORE

Vongozi wa Qatar na Misri wakutana kujadili mikakati ya kumaliza mgogoro wa Israel na Hamas

Viongozi wa Qatar na Misri wamekutana mjini Cairo siku ya Ijumaa, wote wakiwa na matumaini ya kupatanisha kuondoa hali hiyo...

READ MORE

Shigongo Afichua Madudu Ya Kutisha Ofisi Ya Mwigulu -”Wanaiba Fedha, Watakuingiza Kwenye Matatizo” – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema Taifa hili kila mtu anataka kuiba na wengi wao ni wasomi wanatumia kalamu kama...

READ MORE

Paul Makonda Aangua Kilio Kaburini Kwa Hayati Magufuli Chato Mkoani Geita (Picha + Video)

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Paul Makonda akiendelea na ziara yake Kanda ya Ziwa, Novemba 10,2023...

READ MORE

Dk. Mwasse awaasa wajiolojia kuiishi ‘Vision 2030’ kupitia mkutano TGS

Katibu Mkuu Wizara ya uvuvi na Uchumi wa buluu Dkt. Aboud Jumbe tarehe 11 Novemba 2023 ametembelea banda la STAMICO...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali Yakusanya Sh.Trilioni 9.06 Robo Ya Kwanza – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika robo ya kwanza ya mwaka 2023/2024, mapato kutoka vyanzo vyote vya ndani na nje...

READ MORE

Rais Samia Afanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Saudi -Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Novemba 10, 2023 amefanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu...

READ MORE

Baada ya Kuachika Kwenye Ndoa Mara Tatu Kisa Sizai, Hatimaye Nimepata Mtoto

Naweza kusema katika maisha kila jambo huwa na wakati wake, huwezi kulazimisha mambo kutokea wakati muda wake bado hajafika, ni...

READ MORE

TET Yawasilisha Mtaala Mpya Katika Mkutano wa Umoja wa Wakuu wa Shule za Msingi

Mkurugenzi Idara ya Ubunifu na  Ukuzaji Mitaala kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt. Godson Lema amewasilisha anzia mwaka Januari,...

READ MORE

Aliyepandikiza Figo Hospitali ya Taifa Muhimbili Afunguka – Video

Moses Ngowi, mkazi wa Bunju jijini Dar es Salaam ni miongoni mwa wagonjwa waliopandikizwa figo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili...

READ MORE

Wapiga Kura wa Liberia Kumchagua rais wake Jumanne

Waliberia watapiga kura siku ya Jumanne katika uchaguzi wa marudio kati ya Rais George Weah na makamu wa rais wa...

READ MORE

CCM Yatoa Miezi Mitatu kwa Waziri Mchengerwa Kufika Kagera kutatua Changamoto – Video

CHAMA cha Mapinduzi ( CCM) kimetoa miezi mitatu kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali...

READ MORE

Wateja wa Y9 Microfinance Waongezewa Dau la Mkopo

 Taasisi ya kifedha ya Y9 Microfinance imeendelea na utaratibu wake wa kukabidhi zawadi kila wiki ambapo wiki  hii wamekabidhi zawadi...

READ MORE

Dar Ceramica Yazindua Tawi La Arusha Upya Kwa Kishindo

Wakazi wa Arusha na miji ya jirani wana sababu za kutabasamu zaidi kufuatia uzinduzi mpya wa Dar Ceramica Centre Tawi...

READ MORE

Serikali Yatoa Ufafanuzi Mifugo Iliyokamatwa Serengeti na kupigwa Mnada – Video

Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) amesema kuwa suala linalohusisha Ng’ombe 806, Kondoo 420 na Mbuzi 100 waliokamatwa...

READ MORE

Wabunge Wapitisha Michango Kumpa Profesa Jay, Laki 2 – Video

Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma, amewaomba wabunge kumchangia laki mbili kwa aliyekuwa Mbunge wa Mikumi na Msanii wa Hip...

READ MORE

Identy – Kamera Ya Simu Kutumika Kama Kifaa Cha Utambuzi Na Uhakiki Wa Alama Za Kibiometrikia

Kampuni ya identy inayoshiriki maonesho ya Fintech Festival Tanzania 2023 imekuja na teknolojia ya kisasa ambayo inawezesha kamera ya simu...

READ MORE

Uteuzi: Rais Samia Ateua Mabalozi Wa Afrika Kusini Na Kuwait

Balozi James G. Bwana anakwenda Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, akichukua nafasi ya Balozi Meja Jenerali Gaudence S. Milanzi...

READ MORE

Mkurugenzi Wa Shirika La Bima La Taifa (NIC) Aondolewa

Rais Samia amemteua Kaimu A. Mkeyenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo akichukua nafasi ya Dkt. Elirehema Doriye atakayepangiwa kazi...

READ MORE

16 Wakamatwa Kwa Tuhuma Za Kuendesha Kiwanda Cha Biskuti Za Bangi – Video

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imewakamata Watu 16 wanaodaiwa kujihusisha na shughuli za utengenezaji wa...

READ MORE

Wanufaika Mradi wa KLIC Watakiwa Kutunza Vifaa Vya TEHAMA-TET

Shule zote nchini zilizonufaika  na vifaa vya mradi wa  KOREAN  E-LEARNING IMPROVEMENT COOPORATION(KLIC) ulio chini ya Ofisi ya Elimu ya...

READ MORE

Rais Samia Avunja Bodi Ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti...

READ MORE

Tamasha La FintechFestival Kuibua Fursa za Uwekezaji Nchini

TAMASHA la FinTech kuibua uwezo wa FinTech nchini na kuonyesha fursa kwa wawekezaji wa kimataifa kujitosa katika soko la Tanzania...

READ MORE

KLM Yaja Na Ndege Mpya 50 Za Air Bus Kwa Safari Za Mabara Kuanzia 2026

Nairobi, Kenya, 8 Novemba 2023: KLM inapanga kubadilisha ndege zake za zamani za masafa marefu kwa ndege za  kisasa za...

READ MORE

Vodacom Kusambaza Shangwe Na Kugusa Maisha Msimu Huu Wa Sikukuu

Msimu wa sikukuu ukiwa unakaribia, kampuni ya Vodacom Tanzania imezindua kampeni inayojulikana kama ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’ yenye lengo la...

READ MORE