×

Habari

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Afungua Mkutano Wa Wa Pili Wa Kisayansi Wa Afya Ya Uzazi Na Mtoto Ukumbi Wa Mikutano Wa Julius Nyerere Jijini Dar

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefungua Mkutano wa Pili...

READ MORE

Mradi Wa Bomba La Mafuta Kutoka Hoima Nchini Uganda Hadi Chongoleani Tanga Ni Muhimu Kwa Watanzania

MWENYEKITI wa Kamati ya kudumu ya Nishati na Madini ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt David Mathayo...

READ MORE

Tigo Yatoa Zaidi Ya Milioni 300 Kwa Mawakala Wake, Mchakato Unaendelea Nchi Nzima

Dar es Salaam 16 Novemba 2023: Mawakala wa Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi wa Tigo wanaotoa huduma za...

READ MORE

Messi, Ronaldo, Nani Mbabe wa Kuamua Mechi Uwanjani?

Wakati kukiwa bado kuna mjadala unaoendelea juu ya nani alistahili kutwaa Ballon D’or ya mwaka huu 2023, kuna baadhi wanasema...

READ MORE

Serikali Yaipa REA Bil 170 Utekelezaji Miradi ya Umeme Mtwara

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt Dotto Biteko amesema serikali imetoa BILIONI 170 kwa ajili ya utelekezaji wa...

READ MORE

Vodacom Yaendesha Droo ya Kwanza ya Sambaza Shangwe, Gusa Maisha

Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom, leo imeendesha droo yake ya kwanza ya Kampeni ya Sambaza Shangwe, Gusa Maisha...

READ MORE

Wadau Wa Haki Za Watoto Waungana Kutetea Haki Za Watoto Wenye Jinsi Tata

Dar es Salaam 15 Novemba 2023: Muungano wa mashirika yanayotetea haki za watoto wenye changamoto za Via vya Uzazi na...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa: WCF ipo, Utaishi Vizuri na Utatunza Familia Yako”

  WAZIRI Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amemuhakikishia Mnufaika wa Fidia inayotolewa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Bi. Halima...

READ MORE

Rais wa Jamhuri ya Romania, Klaus Iohannis Kufanya Ziara ya Kitaifa nchini

Rais wa Jamhuri ya Romania, Klaus Iohannis, atafanya Ziara ya Kitaifa nchini kuanzia tarehe 16 hadi 19 Novemba 2023 kwa...

READ MORE

Makonda: CCM Yaelekeza Pikipiki Zilizokamatwa Silali Zirudishwe Na Kukiwa Na Mali Zitozwe Kodi

Katibu wa NEC – Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na Wananchi...

READ MORE

Mchakato Hadhi Maalum Kwa Diapsora Kukamilika Mwaka 2024

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kukamilisha utaratibu wa kuwapatia Hadhi Maalum Watanzania waishio nje ya nchi, yaani...

READ MORE

Waziri Mkuu: Migogoro Ya Wakulima Na Wafugaji Haina Tija, Serikali Haitaki Kuiona – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kitendo cha wafugaji kuingiza mifugo kwenye mashamba ya wakulima ni uvunjaji wa sheria na Serikali...

READ MORE

Rais Samia Amteua Mohamed Malick Salum kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Mohamed Malick Salum kuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

READ MORE

HaloPesa Yazindua “Okota na Halopesa”

Kuelekea Katika Msimu wa Sikuukuu Halotel ikiwa kampuni inayosifika nchini kupitia huduma yake ya kifedha ya HaloPesa, imekuja kivingine na...

READ MORE

Watanzania Waendelea Kusambaziwa Furaha Kupitia Kampeni Ya Serengeti Maokoto Ndani Ya Kizibo

Serengeti Breweries Limited inaendelea kusambaza furaha kwa watanzania kupitia Kampeni ya Promotion ya Serengeti Maokoto Ndani ya Kizibo. Wiki hii...

READ MORE

Katika Kuunga Mkono Juhudi Za Serikali, Oryx Gas Imeendelea Kuhamasisha Matumizi Ya Nishati Safi Ya Kupikia

Oryx Gas Tanzania Limited imeendelea umuhimu wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kama hatua za kuunga mkono jitihada...

READ MORE

Tanzania namba moja Duniani kupeleka maji vijijini

Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Dk Victoria Kwakwa ameitaja na ameipongeza...

READ MORE

CCM na CPV Kunufaisha Sekta ya Uzalishaji Tanzania

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Godfrey Chongolo amesema kuwa chama hicho kinaridhishwa na urafiki na uhusiano...

READ MORE

Makonda Asimikwa Uchifu Na Wazee Wa Mara

Wazee wa Mkoa wa Mara wamemsimika Uchifu Manyara, Paul Makonda ambaye ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi,...

READ MORE

Jishindie Bajaji Mpya kutoka Meridianbet kwa Jero Yako wakali wa odds kubwa

Huenda siku zinazidi kwenda mwaka unaisha lakini kila malengo yako hayatimii, kila njia umefanya lakini bado mambo ni magumu. Leo...

READ MORE

Mfanyabiashara Amuomba Waziri Mkuu Kuingilia Kati Mchakato wa Zabuni ya Jamhuri Park

Mfanyabiashara wa jijini Tanga, Sultan Salim, amemuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuingilia kati mchakato wa upatikanaji wa mshindi wa zabuni...

READ MORE

Mafunzo ya Usalama Barabarani kwa Wanafunzi yahitimishwa, Washindi Wapewa Zawadi

‘VIA CREATIVE’, program ya usalama barabarani inayolenga kutoa mafunzo kwa wanafunzi wa shule za msingi, imeadhimishwa kwa kuwazawadia washiriki kwenye...

READ MORE

Rotary Tanzania Kuendesha Kambi ya Matibabu Bure Jumamos Bunju Shule

Mamia ya wakazi wa Bunju na maeneo ya Jirani wametakiwa kujitokeza kwa wingi siku ya Jumamosi Novemba 18 2023 katika...

READ MORE

Benki ya Absa Yajizatiti Katika Kuwawezesha Watoto wa Kitanzania

ILI kuhakikisha watoto wa kitanzania wanafikia malengo yao ya kimaisha, Benki ya Absa Tanzania imetoa msaada wa kiasi cha Sh...

READ MORE

Jisajili BURE kushiriki Mbio na Matembezi ya Shukrani kwa Mlipakodi

Mbio za Shukrani kwa Mlipakodi yanayoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yatafanyika Novemba 18, 2023 yakianzia kwenye Viwanja vya...

READ MORE

Mwanamke Mwenye Muonekano Wa Kiume, Afunguka Magumu Anayopitia- Video

Loveness Tarimo ni mwanamke mtunisha misuli anayeshikilia nafasi ya Miss Fitness Tanzania na Miss Fitness East Afrika. Global TV imefanya...

READ MORE

Rais Samia Afanya uteuzi Bodi ya Wakurugenzi wa TCRA

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,...

READ MORE

Wawezeshaji Wa Kitaifa wa Mafunzo ya Mtaala Mpya Wapaswa Kuzingatia Mafunzo kwa Umakini

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Tecknolojia, Dk Franklin Rwezimula amewataka wawezeshaji  kitaifa  wa mtaala wa Elimu ya...

READ MORE

Halotel Yashinda Tuzo za Chaguo la Mteja Afrika 2023 kwa Mwaka wa Nne Mfululizo

Halotel, Kampuni ya Mawasiliano nchini Tanzania yenye mtandao ulioenea nchini, kwa heshima kubwa imetunukiwa tuzo ya “Mtandao Bora unaotoa Huduma...

READ MORE

Benki ya Mwanga Hakika Yaja na “PINK Mwanamke Account” Kuwawezesha Wanawake Kifedha

*Wateja kupata uhakika wa kuweka akiba na kufurahia faida kwenye amana zao Benki ya Mwanga Hakika Limited imekuja na huduma...

READ MORE

GGML yaibuka kampuni inayoaminika zaidi katika tuzo za mlaji

  NA MWANDISHI WETU GEITA Gold Mining Limited (GGML) imeibuka kuwa kampuni inayoaminika zaidi kwenye sekta ya madini katika tuzo...

READ MORE

Ni Kidijital Zaidi, Tigo Wazindua Huduma Ya E-sim

Dar es Salaam Novemba 14 2023 Kampuni inayoongoza katika kuhakikisha Watanzania wanafurahia maisha ya kidijitali, Tigo Tanzania, inajivunia kutangaza mafanikio...

READ MORE

Wananchi Waridhishwa Na Utekelezaji Wa Miradi Simiyu, Mabilioni Ya Fedha Yatolewa Na Rais Samia (Picha +Video)

Wananchi wa Mkoa wa Simiyu Wilaya ya Busega wameoneshwa kuridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo inayotekelezw na Serikali...

READ MORE

Biteko Ahudhuria Uzinduzi wa Kituo cha Kujaza Gesi Asilia Kwenye Magari

Waziri Doto Biteko amehudhuria uzinduzi wa kituo cha kwanza cha kujaza gesi asilia na kubadili mfumo wa magari kutumia gesi...

READ MORE

Kwa Buku Tu Unapata TV Flat Screen Inchi 55 Mpya Kutoka Meridianbet

Funga mwaka kibingwa na Meridianbet nyumba ya mabingwa wa odds kubwa na machaguo mengi lukuki. Zikiwa zimebaki siku chache mwaka...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya Ndani Atimuliwa Kazi Kisa Maandamano ya Kuwatetea Waisrael

Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amemfuta kazi Waziri wa Mambo ya Ndani Suella Braverman, ambaye aliibua hasira kwa kuwashutumu...

READ MORE

Rafiki Zangu Walioniibia Gari Walivyokutana na Mambo Mazito Mpaka Wakalirudisha

Imepita miaka sita tangu gari langu aina ya Toyota Hilux  lipotea, nilijaribu juu chini kulitafuta lakini wapi, halikupatikana, nakumbuka vizuri...

READ MORE

Wanajeshi Watano wa Marekani Wafariki Dunia Baada ya Helikopta Kuanguka

Wanajeshi watano wa Jeshi la Marekani, wamefariki dunia baada ya helikopta waliyokuwa wakiitumia kwenye mafunzo ya kijeshi, kuanguka Mashariki mwa...

READ MORE

Vodacom Yashirikiana na Mdundo Katika Kampeni ya Sambaza Shangwe, Gusa Maisha

Vodacom kwa kushirikiana na Mdundo wanakuletea kampeni ya Sambaza Shangwe, Gusa Maisha ambapo zawadi kibao zitashindaniwa katika msimu huu wa...

READ MORE

Papa Atoa wito wa Kulindwa kwa raia na kuachiliwa kwa mateka Gaza

Papa Francis ametoa wito kwa waliojeruhiwa huko Gaza kuhudumiwa mara moja na misaada zaidi ya kibinadamu iruhusiwe kuingia katika eneo...

READ MORE