×

Habari

PAKUA GLOBAL APP USHINDE TABLET MPYAAAA!

Hujachelewa, download Application namba moja Tanzania kwa Habari za Kitaifa, Kimataifa, Burudani, Matukio, Breaking News na Exlusive Interview za mastaa...

READ MORE

‘BETIKA’ LAZIDI KUTIKISA MTAANI, KILA KONA LINAGOMBEWA!

GAZETI namba moja na la kijanja linalohusu ishu nzima za kubeti lijulikanalo kwa jina la BETIKA ambalo linatolewa bure, leo...

READ MORE

Babu Mlemavu Ateketea kwa Moto Aliowasha Shambani Kwake

MKAZI wa kijiji cha Kilongo, Muheza mkoani Tanga,
 Saidi Sekizenge (72), amefariki dunia kwa kuteketea kwa moto akiwa shambani kwake....

READ MORE

MAJALIWA AFUNGA SOKO LA WAKIMBIZI NA RAIA KIGOMA – VIDEO

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, ameamuru kufungwa kwa Soko la Nduta na kuagiza lihamishiwe ndani ya kambi ya wakimbizi ili kuhibiti wa...

READ MORE

MENEJA MAWASILIANO TFS AFARIKI AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI

Meneja Mawasiliano wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS), Glory Mziray alifariki dunia jana mchana (Februari 19, 2019), wakati akizungumza...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFUKUZA MTU KAZI, ATEUA MWINGINE!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya uteuzi wa Mkurugenzi wa PSSSF na Mwenyekiti wa...

READ MORE

Wateja wa Halotel kupiga simu, kutumia intaneti bila kikomo

  Katika kuendeleza ubunifu wa kuwahudumia wateja kwa kuwapatia kile wanachokihitaji, kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel imekuja na...

READ MORE

MAKONDA AMPA FID Q MIL 5 AMPELEKEE MAMA WA GODZILLA

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, leo Jumanne, Februari 19, 2019 amemkabidhi rapa Farid Kubanda ‘Fid Q’...

READ MORE

HATIMAYE! ‘Malkia wa Tembo’ Ahukumiwa Jela Miaka 17 – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu washtakiwa watatu akiwemo raia wa China, Yang Feng Glan (66) maarufu kama ‘Malkia wa...

READ MORE

DStv yaja na promosheni kabambe kwa wateja wake!

  Jumanne Februari 19,2019. Kampuni ya MultiChoice Tanzania kupitia huduma zake za DStv imetangaza promosheni maalum ijulikanayo kama “Tia kitu,...

READ MORE

Maajabu ya binti aliyejifungua bila kujua ana ujauzito!

    MSICHANA mwenye umri wa miaka 18, ambaye alizirai kwa muda wa siku nne baada ya kuumwa kichwa ameshangazaa...

READ MORE

POLISI, MWALIMU WAIBUKA WASHINDI CHEMSHA BONGO NA UWAZI

POLISI wa Kituo Kikuu cha Kati (Sentro),Vincent Laurent na mwalimu wa Shule ya Keko-Magurumbasi, Jacqueline Mbawala wamejishindia kila mmoja kiasi...

READ MORE

Matibabu ya Ruge ni Tsh 5m kwa siku, familia yaomba sapoti!

FAMILIA ya Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, imesema gharama za matibabu ya ndugu yao...

READ MORE

Rais Donald Trump Kushtakiwa

  MUUNGANO wa majimbo 16 nchini Marekani yakiongozwa na California yameushtaki utawala wa Rais Donald Trump kuhusu uamuzi wa kutangaza...

READ MORE

Waziri Biteko: Siwezi Kuingia Kwenye Mtego Nafuta Leseni Zote – Video

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko ameiagiza Tume ya Madini kuziandikia hati za makosa leseni za madini 18, 341 zinazodaiwa ili...

READ MORE

Mshindi wa simu ya Championi akabidhiwa zawadi yake

MSHINDI wa shindano linaloendeshwa na gazeti nambari ‘Waheed’ kwa michezo Tanzania, Joseph Peter Mkazi wa Mbagala, kakabidhiwa kilongalonga chake cha...

READ MORE

MTOTO WA GODZILLA AWATOA WATU MACHOZI

  INAUMA sana! Mbali na waombolezaji kuguswa na kifo cha Rapa Golden Mbunda ‘Godzilla’, mtoto pekee wa marehemu ait­waye Shawn...

READ MORE

KISA ‘KUCHEZA’ NA BINTIYE, BABA AMPA KIPIGO MTOTO WA JIRANI

CHEZA na pesa usicheze na mwanangu! Hakimu Mwampondela (40) mkazi wa Mwakibete, Iyunga mkoani hapa amethibitisha usemi huo kwa kumpa...

READ MORE

MAHAKAMA YATENGUA WAJUMBE WA LIPUMBA, YAIFUTA BODI YAKE

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Februari 18, 2019, imetengua uteuzi wa wajumbe wa bodi ya...

READ MORE

BREAKING NEWS: BODI YA FILAMU WAMFUNGULIA WEMA SEPETU

BODI ya filamu nchini imetangaza leo kumfungulia muigizaji Wema Sepetu baada ya adhabu ambayo ilitokana na video yake ya kimahaba...

READ MORE

Jambo Food Products waifanyia kazi kauli ya JPM – Video

KAULI mbiu y a Rais Dkt John Pombe Magufuli, ni Tanzania ya Viwanda! Malengo yake ni kuona viwanda vinajengwa kila...

READ MORE

KILICHOTOKEA MAHAKAMANI RUFAA YA MBOWE NA MATIKO – VIDEO

LEO Jumatatu, Februari 18, 2019 kesi ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko...

READ MORE

ZAIDI YA BIL 10 KUTENGWA KWA AJILI YA KILIMO CHA MICHIKICHI- MHE MGUMBA

  Serikali imeeleza dhamira yake ya kukabiliana na uagizaji wa mafuta ya kula nje ya nchi kwa kuanzisha mashamba ya...

READ MORE

Mwanamke Amuua kwa Panga Mtoto wa Mchepuko

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Paskazia Andrew Sindano (17) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga kwa tuhuma...

READ MORE

Wanaume Walio Uchi Wanapoisaka ‘Fimbo Ya Bahati’! (PICHA)

  MAELFU ya wanaume waliokuwa nusu uchi na waliovalia vinguo vyeupe vinavyoanzia kiunoni, venye kuficha tupu zao kwa mbele na...

READ MORE

‘Kuendesha gari baada ya kunywa pombe si makosa Kenya’

  MAHAKAMA moja ya Kiambu nchini Kenya imetoa uamuzi wa kipekee ikisema kuendesha gari baada ya kunywa pombe si makosa...

READ MORE

VIDEO: Waziri wa JK Afunga Ndoa na Kabinti Kabichi

MBUNGE wa zamani wa Urambo, Profesa Juma Kapuya (73),  amefunga ndoa na binti ambaye anakadiriwa kuwa na umri wa miaka...

READ MORE

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KITUO CHA UTAFITI WA ZAO LA MICHIKICHI KIGOMA

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumapili, Februari 17, 2019 ameiagiza Wizara ya Kilimo iwawezeshe watafiti katika kituo cha Utafiti cha zao...

READ MORE

Ben Kinyaiya Afunga Ndoa na Mchumba Wake Wa siku Nyingi

MTANGAZAJI maarufu Bongo, Benny Kinyaiya amefunga ndoa ya kiserikali na mchumba wake wa siku nyingi baada ya picha zao kuonekano...

READ MORE

RC MAKONDA AMPA MILIONI 5 MAMA WA GODZILLA

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema atampa pesa kiasi cha Tsh milioni tano, mama mzazi wa...

READ MORE

VIDEO: Mwili wa GODZILLA Waagwa SALASALA, Kuzikwa Kinondoni

 BAADA ya kifo cha ghafl a cha Msanii wa Muziki wa HipHop Bongo, Golden Mbunda ‘Godzilla’, kuleta mshituko mkubwa,...

READ MORE

Lugola Baada ya Kuona Kaburi la Kijana Aliepigwa Risasi Kituo cha Polisi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amefika nyumbani kwa kijana Richard Peter, ambaye amefariki siku za hivi...

READ MORE

Amuua Mumewe kwa Sumu ili Afunge Ndoa na Mchepuko

MWANAMKE mfanyakazi katika gereza kutoka Missouri, Marekani anatuhumiwa kuwa alimuua mumewe kwa kumtilia sumu kwenye chakula, ili waoane na mpenzi...

READ MORE

Uchaguzi wa rais, wabunge Nigeria waahirishwa

  UCHAGUZI mkuu wa urais na wabunge nchini Nigeria umeahirishwa ambapo utafanyika baada ya wiki moja. Tume huru ya kitaifa...

READ MORE

MAPYA YAIBUKA KILICHOMUUA GODZILLA!

DAR ES SALAAM: Licha ya dada wa aliyekuwa mwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Golden Jacob Mbunda ‘Godzilla’, Joyce Mbunda kueleza...

READ MORE

Tuzo za SZIFF Kufanyika Mlimani City Februari 23

Tuzo za Sinema Zetu (SZIFF) za kuwapata washindi zinatarajiwa kufikia kilele chake Februari 23 mwaka huu katika Ukumbi wa Mlimani...

READ MORE

Makamu wa Rais Akabidhi Tuzo kwa Washindi Bora wa Kiswahili

Ni vicheko mtupu… THE MABATI-CORNELL KISWAHILI PRIZE FOR AFRICAN LITERATURE 2018WinnersAnnouncement The  Winners  of  the  2018  Mabati  Cornell  Kiswahili  Prize ...

READ MORE

Mshindi wa Milioni 188.5 za M-BET kuichangia Yanga

Mshindi wa droo ya kwanza  ya mwaka huu ya Perfect 12 ya kampuni ya M-BET Frank Kayombo (wa pili kushoto) kutoka...

READ MORE

SIKU 1 KABLA YA UCHAGUZI: MAGUNIA YENYE KURA FEKI YAKAMATWA

  Magunia 17 kura zilizopigwa yakamatwa nchini Nigeria kufwatia uchaguzi. Magunia hayo yamekamatwa kwenye Jimbo la Kano na inadaiwa kura...

READ MORE