×

Habari

KIDUME ALIYEFUFUKA AFARIKI TENA

  MWANAMME  wa Ethiopia ”aliyefufuka” wakati wa mazishi yake miezi mwili iliyopita amefariki dunia tena.   Hirpha Negero alithibitishwa kufa...

READ MORE

WALIOSHAMBULIA KENYA WAKIONA, MAREKANI YAWATUNGUA 24

MAREKANI imesema kuwa vikosi vyake vimefanya mashambulizi ya makombora ya anga kulenga kundi la kigaidi la Al-Shabaab nchini Somalia na...

READ MORE

MTOTO MWINGINE ACHINJWA NJOMBE

Mtoto wa miaka 10, ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili, amekutwa ameuawa kikatili na mwili wake kutelekezwa kichakani eneo...

READ MORE

AKA Afunguka KOLABO na DIAMOND na HARMONIZE! – VIDEO

MSANII nguli wa muziki kutoka Africa Kusini, AKA, ametua Bongo mapema leo na kufikia katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo...

READ MORE

Catherine Ruge: “Sio Trilioni 1.5 Tena, Bali ni Trilioni 2.4” – Video

MBUNGE wa Viti Maalum mkoani Mara, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Catherine Ruge, amesema, kiasi cha Sh. 2.4...

READ MORE

HAYA Nyo Madhara ya Kutumia SMARTPHONE Gizani – Video

PALE taa zinapokuwa zimezimwa usiku, usiitumie simu yako ya mkononi (smart phone). Huo ni ushauri uliotolewa na taasisi moja ya...

READ MORE

Dakika 6 za Halima Mdee Vs Naibu Spika Tulia Kuhusu Ripoti ya CAG – Video

JIUNGE NA FAMILIA YA GLOBAL TV UPANDE MTANDAO WA MAFANIKIO Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club ==> Global...

READ MORE

Baba, Mama Nandy Niliumia Sana, Akirudia Nitakufa! – Video

Ukitaja wasanii ambao wanafanya vizuri kwa upande wa wanawake hutoacha kulitaja jina la Nandy ambaye kwa sasa anatamba na kibao...

READ MORE

Baada ya Kumhoji CAG, Hatimaye PAC Yaanika Kilichotokea Sakata la Trilioni 1.5 – Video

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema uhakiki uliofanywa kuhusu sakata la ufisadi wa Sh1.5 trilioni katika mfuko...

READ MORE

MWILI WA MVUMBUZI WA TANZANITE WAAGWA DAR, WAPELEKWA SAME KUZIKWA

  MWILI wa Mvumbuzi wa madini ya Tanzanite, mzee Jumanne Ngoma (84) aliyefariki dunia juzi Jumatano, Januari 30, 2019, umeaswaliwa katika msikiti...

READ MORE

Akamatwa na maiti akisafirisha kwenye treni

  MWANAMME mmoja anashikiliwa na vyombo vya dola baada ya kukutwa akisafiri na maiti ya mtoto kwenye treni ikiwa kwenye...

READ MORE

MAMBO 5 YA JOKATE; FUNDISHO KWA MASTAA BONGO!

MJASIRIAMALI mashuhuri nchini Marekani, Warren Buffett amewahi kusema; tofauti kati ya watu wenye mafanikio na watu wenye mafanikio zaidi ni...

READ MORE

SIMU YA ZITTO KABWE YASHIKILIWA NA TAKUKURU

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeishikilia simu ya mkononi ya Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa...

READ MORE

Mama Mkwe Kizimbani kwa Kumgeuza Mume wa Binti Yake Kitega Uchumi

MWANAMUME mmoja katika mahakama ya Nakuru amemfikisha mama mkwe wake kizimbani kwa kile alichotaja kuwa kugeuzwa kitega uchumi.   Akisimama...

READ MORE

CHARLES KITWANGA AHAMISHIWA MUHIMBILI

MBUNGE wa Misugwi na aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, amehamishwa kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma...

READ MORE

NMB YATOA MSAADA WA MABATI, MADAWATI, KOMPYUTA TEMEKE

JIUNGE NA FAMILIA YA GLOBAL TV UPANDE MTANDAO WA MAFANIKIO Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club ==> Global...

READ MORE

Babu Anaswa na Denti Live, Akiona cha Moto

DAR ES SALAAM: DUNIANI kuna mambo! Babu mmoja aliyejulikana kwa jina la Dotto, mkazi wa Kitangini Kata ya Chanika jijini...

READ MORE

KWA HERI KANTONA, PIGO KWA MUZIKI WA DANSI

ALIYEKUWA Mwanamuziki wa Bendi  ya Mapacha Watatu aliyefariki kwa ajali ya gari Jumamosi iliyopita, amezikwa Jumatano, Januari 31, 2019 na...

READ MORE

KILICHOTOKEA MBELE YA MAKONDA, SHEHE MKUU AMLIPUA DIAMOND

DAR ES SALAAM: Kufuatia kilichojiri ukumbini usiku wa kuamkia juzi Jumatatu, Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad...

READ MORE

Kesi ya Zitto: Spika na CAG Wapewa Siku 14

KESI ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe na Spika wa Bunge Job Ndugai ya kuomba kuomba tafsiri ya Mahakama...

READ MORE

Katibu Mkuu Wizara ya Madini ‘Amtumbua’ Mtu Dodoma

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila amemsimamisha kazi Fundi Sanifu wa Madini, Asheni Daudi wa Ofisi ya...

READ MORE

Ndugai: Zitto Muongo Ananichafua, Lissu Tumempa Mil 250 za Matibabu – Video

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amesema kuanzia sasa ataanza kumjibu mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, kwa...

READ MORE

KESI YA MBOWE YAPANGIWA HAKIMU MPYA, HUKUMU YA RUFAA FEB 18 – VIDEO

KESI namba 112/2018 inayowakabili baadhi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe...

READ MORE

MAZIKO YA ERICK KANTONA YAAHIRISHWA

MAZISHI ya mwanamuziki wa Mapacha Music Band inayoongozwa na Jose Mara, Erick Kantona Mugogo wa Mazizini au Msanii wa Bei...

READ MORE

Mtandao wa Kijamii Wampeleka Mbunge Jela

  MBUNGE na aliyekuwa waziri wa zamani wa michezo wa Ivory Coast, amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya...

READ MORE

Kesi ya Zitto Kuhusu CAG, Spika Ndugai Aitwa Mahakama Kuu

MAHAKAMA Kuu imetoa wito kwa Spika wa bunge Ndugu Job Ndugai kufika mahakamani leo kwenye kesi ya kikatiba kuhusu kinga...

READ MORE

Viboko VYATIKISA Bungeni, Spika Akumbushia Alivyomtwanga Mgombea – Video

SAKATA la walimu kuwaadhibu wanafunzi mpaka kufikia hatua ya wanafunzi kupoteza maisha au kupata majeraha na ulemavu wa kudumu limewagusa...

READ MORE

ULINZI SOKO KUU LA KARIAKOO, MLIMANCITY….RIPOTI MPYA!

kikosi kazi cha kufichua mauovu cha Global Publishers maarufu kwa jina la Oparesheni Fichua Maovu (OFM), kimeingia mzigoni kukagua usalama...

READ MORE

Tanzia: Mvumbuzi wa Tanzanite Afariki Dunia Muhimbili

TANZIA: Mvumbuzi wa Madini ya Tanzanite, Mzee Jumanne Ngoma amefariki leo Jumatano, Januari 30, 2019 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili...

READ MORE

WENZIO WANAJIZOLEA ZAWADI NA UWAZI, WEWE UNANGOJA NINI?

  Mambo yamezidi kunoga kwenye ile Chemsha Bongo inayoendeshwa na Gazeti la Uwazi ambapo wasomaji mbalimbali wamejizolea zawadi za pesa...

READ MORE

CHAMPIONI, UWAZI YAMWAGA ZAWADI KWA WAUZAJI WAKE

MAGAZETI ya Championi na Uwazi yanayochapishwa na Kampuni kongwe na bora ya Magazeti Afrika Mashariki, Global Publishers jana Jumanne, Januari...

READ MORE

MAGUFULI AFANYA UTEUZI TENA

Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa DSFA na wenyeviti wa bodi za TALIRI na...

READ MORE

Taarifa za Walio na VVU Zavujishwa

  TAARIFA za siri za watu zaidi ya 14000 walio na virusi vya ukimwi (VVU) wakiwemo raia wa kigeni, zimeibiwa...

READ MORE

NMB yasaidia madawati Sekondari ya Magawa na vifaa vya ujenzi Zahanati ya Nganje, Mkuranga

BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa viti na madawati 50 kwa Shule ya Sekondari Magawa pamoja na baadhi ya vifaa...

READ MORE

Shule ya Mkapa Wakutwa Wakiiba Maji Usiku

SHULE ya Sekondari ya Anna Mkapa iliyopo kata ya Pasua katika Manispaa ya Moshi imebainika kufanya udanganyifu kwa kushiriki kitendo...

READ MORE

Vigogo 6 NIDA Wasomewa Mashtaka Mapya 100

VIGOGO sita wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) akiwamo Mkurugenzi Mkuu wa zamani, Dickson Maimu, wamefikishwa mahakamani na kusomewa...

READ MORE

Wanaoua Watoto Njombe Tumewabaini, Hizi ni Imani za Kishirikina – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola amesema imebainika kuwa mauaji ya watoto mkoani Njombe ni ya imani...

READ MORE

HALOTEL YAREJESHA FAIDA KWA JAMII

KATIKA kuhakikisha inatekeleza agizo la Serikali ya kurejesha faida kwa jamii Kampuni ya Simu ya Halotel  imemkabidhi Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

Tigo yatoa zawadi kwa Mawakala waliofanya vizuri mwishoni mwa mwaka 2018

  Kampuni ya Tigo Tanzania, imetoa zawadi ya fedha taslimu kwa mawakala wake wa Tigo Pesa waliofanya vizuri katika promosheni...

READ MORE