×

Habari

Kali ya Mwaka! Bibi Noma, Awahenyesha Polisi Wenye Silaha Nzito

MOROGORO: Shubaamit! HIVI ukitazama picha ukurasa wa mbele unaweza kufikiria nini hasa? Vyovyote utakavyofikiri; mwisho wa picha duniani kuna mambo...

READ MORE

Watanzania 11 Walioshitakiwa kwa Ubakaji Waachiwa Afrika Kusini

VIJANA 11 raia wa Tanzania waishio Johannesburg, Afrika Kusini,  walioshtakiwa kosa la ubakaji wameachiliwa huru na hakimu mkazi wa Mahakama...

READ MORE

Vodacom Yasherehekea Miaka 10 Ya Mafanikio Ya M-Pesa Nchini

  KAMPUNI  ya Simu ya Vodacom Tanzania imefanya hafla fupi ya kusherehekea na kuadhimisha mafanikio ya miaka kumi ya huduma...

READ MORE

RAIS WA MALI AMTAKA ALIYEMWOKOA MTOTO UFARANSA ARUDI NYUMBANI

RAIS wa Mali, Ibrahim Boubacar Keïta amemtaka kijana shujaa, mhamiaji kutoka nchini kwake, Mamoudou Gassama aliyemwokoa mtoto mdogo aliyekuwa amening’inia kwenye...

READ MORE

AKIMBIWA KISA, UGONJWA WA KIFUA KIKUU

  MKAZI wa Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam, Upendo William, amelalamikia kile alichodai kuwa kutelekezwa na mume wake wa...

READ MORE

BREAKING NEWS: DKT. BASHIRU ALLY APITISHWA NA NEC KUWA KATIBU MKUU WA CCM

Dkt. Bashiru Ally amepitishwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi(CCM) akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Abdulrahman Kinana. Dkt. Bashiru...

READ MORE

MBOWE: KIFO NI UPATANISHO, SOTE TUTARUDI TULIKOTOKA – Video

WABUNGE waBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mei 29, 2018 wamejumuika katika viwanja vya bunge jijini Dodoma kuuaga...

READ MORE

ZITTO KABWE Anena Mazito Kifo cha BILAGO – Video

SIMANZI na majonzi yametawala katika viwanja vya Bunge, jijini Dodoma wakati wabunge walipokuwa wakiuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu,...

READ MORE

MAMA WEMA ASEMA BINTI YAKE YUKO INDIA KWA UPASUAJI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kuendelea na kesi inayomkabili staa wa filamu nchini, Wema Sepetu,  anayekabiliwa na kesi ya...

READ MORE

NMB YATOA MSAADA VIFAA VYA HOSPITALI MIKOA YA KANDA YA ZIWA

    Benki ya NMB Tanzania kupitia Kitengo cha Masuala ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) imetoa msaada wa vifaa vya hospitali, vifaa vya ujenzi wa madarasa...

READ MORE

BWAWA LA NYUMBA YA MUNGU LAFURIKA, SERIKALI YATOA TAARIFA

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mughwira, ametoa taarifa ya kurufika kwa Bwawa la Mungu na kusababisha mafuriko makubwa katika...

READ MORE

Simanzi, Majonzi Wabunge Wakiaga Mwili wa Bilago – Pichaz + Video

Mwili wa Mbunge wa Jimbo la Buyungu wilayani Kakonko mkoani Kigoma, Kasuku Bilago (Chadema), umeagwa tena leo katika viwanja vya...

READ MORE

Watoto Sita Wafa Katika Ajali ya Gari Tanga

WATOTO sita wamefariki dunia leo na watatu kujeruhiwa vibaya baada ya gari lililokuwa limebeba majani ya chai kutoka kijiji cha...

READ MORE

Mugabe Agoma Kwenda Bungeni Kuhojiwa Upotevu wa Trilioni 34

RAIS wa zamani wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe, amepuuza wito wa Bunge la nchi hiyo likimtaka afike mbele ya kamati...

READ MORE

Kwa Pamoja Tunaweza Kuzuia Ukatili Wa Kijinsia Dhidi ya Wanawake

HII ni kampeni ya miaka mitano ya kuhamasisha umma ili kuondoa aina zote za ukatili dhidi ya wanawake nchini Tanzania....

READ MORE

CRDB Sasa Kutoa Mkopo Ndani ya Saa 24, Marejesho Hadi Miaka 7 – Video

MKURUGENZI Mkuu wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, amesema benki hiyo imeamua kuongeza kiwango cha mkopo kutoka Milioni 50...

READ MORE

JOKA LA AJABU NDANI YA DALADALA LAZUA KIZAA ZAA!

DUNIA ina mambo! Joka la ajabu aina ya chatu, hivi karibuni lilizua tafrani ya aina yake ndani ya daladala na...

READ MORE

BREAKING NEWS: SALAMBA ASAINI SIMBA SC

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Lipuli FC ya Iringa, Adam Salamba amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Klabu ya Simba kwa...

READ MORE

TFF YAMFUNGULIA ADHABU YONDANI, ARUHUSIWA KUIVAA AZAM

WAKATI kikosi cha Yanga kikitarajia kushuka uwanjani leo usiku kupambana na Azam FC, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeiruhusu klabu...

READ MORE

MHAMIAJI ALIYEOKOA MTOTO GHOROFANI, AKUTANA NA RAIS, APEWA URAIA, AAJIRIWA

MHAMIAJI kutoka nchi ya Mali ametunukiwa uraia wa Ufaransa baada ya kufanya tendo la kishujaa kwa kumuokoa mtoto mdogo aliyekuwa...

READ MORE

Keisha Ateuliwa Mjumbe Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

  MSANII wa Bongo Fleva, Khadija Shabani Taya maarufu kwa jina la ‘Keisha’ ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya...

READ MORE

BREAKING NEWS: KINANA ANG’ATUKA UKATIBU MKUU CCM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana ameng’atuka katika nafasi yake hiyo ndani ya CCM huku Halmashauri...

READ MORE

Mbowe Afunguka Kauli ya Mwisho ya Bilago Kabla ya Kifo – VIDEO

  MWENYEKITI wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema maneno ya mwisho aliyoambiwa na aliyekuwa Mbunge wa Buyungu mkoani Kigoma, marehemu...

READ MORE

Ramos Kumuumiza Salah, Klopp Asema Alidhamiria – Video

STAA wa Liverpool na Timu ya Taifa ya Misri, Mohamed Salah amesema ana uhakika wa kuwepo kwenye michuano ya kombe...

READ MORE

BUNGE LAAHIRISHWA KUOMBOLEZA KIFO CHA BILAGO – VIDEO

Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson ameahirisha shughuli za Bunge  leo Jumatatu mpaka kesho, saa 3 asubuhi kupisha maombolezo ya msiba...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa CCM Mambo Moto

MASIKIO ya wengi yameelekezwa kwenye mkutano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaofanyika leo (Jumatatu) na kesho jijini Dar es Salaam,...

READ MORE

MWILI WA BILAGO WATOLEWA MUHIMBILI NA KUPELEKWA KARIMJEE

MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Buyungu Kigoma (CHADEMA), Kasuku Bilago umetolea katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na...

READ MORE

BUNGE LAOMBOLEZA KIFO CHA KASUKU BILAGO – VIDEO

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ametoa taarifa rasmi bungeni kuhusu kifo cha MBUNGE wa Jimbo la Buyungu, wilayani Kakonko Mkoani...

READ MORE

TAJIRI AKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA, BASTOLA – DAR

  MAMLAKA ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewatia mbaroni watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya,...

READ MORE

Kim Jong-un: Nipo Tayari Kukutana na Trump

KIONGOZI wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amesema nia yake ya kukutana na Rais wa Marekani Donald Trump ili kuzungumza na...

READ MORE

RUBY ACHIA DUDE JIPYA, ‘NIWAZE’

MWANADADA kutoka kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ baada ya kukaa kimya kwa muda amekuja na video yake mpya iitwayo...

READ MORE

KARIUS AOMBA MSAMAHA LIVERPOOL

KIPA wa Liv­erpool, Loris Karius, ame­waomba wenzake msamaha baada ya kufanya makosa k w e n y e mchez o...

READ MORE

Denti Chuo Kikuu Ajinyonga Baada ya Liverpol Kufungwa

MWANAFUNZI wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Mt. Augustine, Kampasi ya Mbeya, Moses Mashaka amejinyonga hadi kufa baada...

READ MORE

MKUU WA SHULE MWENYEHERI ANUARITE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

MKUU  wa Shule ya Sekondari ya Mwenyeheri Anuarite iliyopo Kimara jijini Dar es Salaam, Carlos Mgumba hivi karibuni alitembelea ofisi...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CCM NDG. KINANA IKULU JIJINI DAR

  RAIS Magufuli na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na katibu...

READ MORE

MTANZANIA AIBUKA KIDEDEA MASHINDANO YA KUHIFADHI QURAN AFRIKA

    KIJANA wa Kitanzania, Shujaa Suleiman Shujaa ameibuka kidedea na kitita cha sh. milioni 15 katika mashindano ya 19...

READ MORE

Bunge Latoa Utaratibu wa Mazishi ya Marehemu Bilago

Kikao cha pamoja baina ya Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi ya Bunge kimefanyika leo na kukubaliana...

READ MORE

Moto Mkubwa Waunguza Nyumba Kinondoni (Picha + Video)

MOTO mkubwa umezuka maeneo Kinondoni-Mwananyamala kwa Msisiri jijini Dar es Salaam na kuunguza banda la mashine za kuchongea mbao na...

READ MORE

Mhadhiri UDOM Aliyeuawa Kwa Kuchomwa Kisu na Mumewe Aagwa (Video + Picha)

Mwili wa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Rose Mndenye ( 31) anayedaiwa kuuawa na mume wake kwa kile...

READ MORE