×

Habari

Taswira za ajali ya Basi la Leina lililojeruhi 30 jana

BASI la Leina Tours lililokuwa likitokea Kahama kuja Dar es Salaam jana usiku liliacha njia na kutumbukia katika mtaro eneo...

READ MORE

Serikali kununua meli mpya – Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeanza kukusanya fedha kwa ajili ya kununua meli mpya kwa ajili...

READ MORE

JPM awathibitisha watendaji wakuu TRA, TAKUKURU

Kamishna Mkuu wa TRA, Bw. Alphayo Kidata. Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bw. Valentino Mlowola.

READ MORE

Wadaiwa Mikopo ya Elimu ya Juu wapewa siku 60

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inatoa siku 60 kuanzia tarehe 14 Machi, 2016 kwa wanufaika...

READ MORE

Waziri Mkuu awasili Kagera kwa ziara ya kikazi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma baada ya kuwali kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba kwa ziara ya kikazi mkoa...

READ MORE

Barabara mpya lakini chafu!

Pichani juu ni taswira za barabara ya Ali Hassan Mwinyi iliyopanuliwa ikiwa inatumika mbali na kujaa michanga. BARABARA ya Ali Hassan...

READ MORE

Mjue Katibu Mkuu mpya wa Chadema!

Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vicent Mashinji, akizungumza na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa...

READ MORE

Mameneja 9, Mkurugenzi Mstaafu Dawasco Watumbuliwa

Kikao kikiendelea. WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Gerson Lwenge amewasimamisha kazi mameneja tisa wa Shirika la Majisafi na Majitaka...

READ MORE

Karatasi za Kupigia Kura Zanzibar Zawasili

Karatasi za kupigia kura kwa ajili ya marudio ya uchaguzi wa Zanzibar unaotarajiwa kufanyika Machi 20, ziliwasili jana mchana visiwani...

READ MORE

Unataka ajira ya uandishi, uhasibu benki, manunuzi na ugavi?

Baada ya jopo la wataalamu wa Chuo cha Mlimani Schoool of Professional Studies (MSPS) cha jijini Dar es Salaam, kugundua...

READ MORE

Sakata la Umeya Dar: Saed Kubenea apandishwa kizimbani leo

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea. MBUNGE wa Ubungo Saed Kubenea (Chadema) pamoja na Diwani wa Kimanga Manase John Mjema wamepandishwa kizimbani...

READ MORE

Njemba atembezwa mtaani uchi kwa wizi wa kuku

NJEMBA mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja ametembezwa akiwa uchi mitaani baada ya kuiba kuku. Tukio hilo la kumtembeza...

READ MORE

Vodacom Tanzania ilivyoadhimisha Siku ya Wanawake Duniani

Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Evans Lyimo (kushoto) akimuuliza swali Mtaalamu wa masuala ya Saikolojia na Mahusiano wa Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Rais Dk Magufuli afanya ziara ya kushitukiza BoT

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwasili makao makuu ya Benki Kuu ya Tanzania...

READ MORE

Wizara ya Afya yaadhimisha Siku ya Figo Duniani leo

TAARIFA KWA UMMA TAMKO LA WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO KUHUSU SIKU YA FIGO DUNIANI, TAREHE...

READ MORE

Wachimbaji wadogo 5 wafariki kwa kuangukiwa na kifusi Geita

WACHIMBAJI wadogo watano wamefariki dunia jana huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya kuangukiwa na kifusi cha mchanga wakati wakiwa katika...

READ MORE

Rais JPM amkaribisha Rais wa Vietnam katika dhifa Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi mbalimbali toka Tanzania na Vietnam kwenye...

READ MORE

Mbunge wa Ubungo, Kubenea Akamatwa na Jeshi la Polisi

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Picha na maktaba). MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea amekamatwa na Jeshi la Polisi leo asubuhi...

READ MORE

Watano wauawa kwa risasi Marekani

TAKRIBANI watu watano wameuawa wakati wa ufyatuaji wa risasi uliotokea karibu na mji wa Pittsburg uliopo kwenye Jimbo la Pennsylvania...

READ MORE

Vyeti vya Form Six Vyenye GPA Havitabadilishwa Kuwa na Divisheni

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako. Serikali imesema haina mpango wa kubadili vyeti vya...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Amjulia hali Maalim Seif – Dar

Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein akiambatana na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala bora Mheshimiwa Dkt....

READ MORE

Rais wa Vietinam Ahutubia Mkutano wa Baiashara na Uwekezaji‏

Rais wa Vietinam, Trung Tan Sang akizungumza na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kabla ya kuanza kwa mkutano wa biashara na...

READ MORE

NMB Mdhamini Mkuu wa Mkutano Mkuu wa ALAT taifa

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Habraham Shamumoyo akiongea na waandishi wa habari (hawako kwenye picha)...

READ MORE

TRA Yakusanya Trilioni 1.04 Februari

Katika Kipindi cha miezi nane  kuanzia  Julai 2015 hadi Februari mwaka huu, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imekusanya jumla ya...

READ MORE

Raisi Magufuli Amtembelea Maalim Seif Kumjuilia Hali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli, akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar...

READ MORE

Rais wa Vietnam Awasili Nchini

  Rais wa Vietnam, Mhe. Truong Tan Sang (kushoto) pamoja na mkewe Bi. Mai Thi Hanh wakiwasili viwanja vya Ikulu...

READ MORE

Shughuli ya Maulid ya Kumsifu Mtume Muhammad (S.A.W)

Karibuni katika Maulid ya Mtume Muhammad (S.W.A) tuujaze uwanja.Madrasat Rahman Segerea Mwisho, Dar es Salaam HUGHULI YA MAULID YA KUMSIFU...

READ MORE

Majaliwa Ahutubia Mkutano wa Tano wa Bunge la Afrika Mashariki‏

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Spika wa Bunge la Afrika ya Mashariki, Daniel Fredrick Kadega baada ya kuhutubia Mkutano...

READ MORE

UDSM, SUA, MUHAS vinara orodha ya vyuo vikuu bora Bongo

CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeendelea kushika nafasi ya kwanza katika orodha ya vyuo vikuu bora nchini Tanzania. Katika...

READ MORE

Mgodi Wa Bulyanhulu Waalika Wanawake Kujionea Uchimbaji wa Dhahabu

Mfanyakazi wa mgodi wa kuchimba dhahabu wa Bulyanhulu, unaomilikiwa na kampuni ya Acacia, akiwa na baadhi ya akina mama sehemu...

READ MORE

Picha: Rais Akiteta na Makamu na Waziri Mkuu‏

Rais John Magufuli akiteta na Makamu wa Rais, Bi. Samia Suluhu na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kumwapisha katibu...

READ MORE

Wanne wafa katika ajali ya Tabata-Matumbi, Dar

Orodha ya majeruhi katika ajali iliyotokea leo asubuhi eneo la Tabata-Matumbi, Dar likihusisha magari matatu; daladala, lori la ng’ombe na lori...

READ MORE

Jokate Atoa Msaada Kwa Kinamama, Hospitali ya Palestina

Jokate akisaini kitabu cha wageni hospitalini hapo. Akitoa zawadi kwa mama aliyejifungua watoto mapacha. Jokate (kushoto)akiwa amempakata mtoto mchanga. Jokate...

READ MORE

Maalim Seif Aweka Bayana Kuhusu Hali ya Afya Yake

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na waandishi wa habari katika hospitali ya...

READ MORE

ILO: Wanawake bado wanahangaika kazini

UTAFITI wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) umeonesha hakuna hatua kubwa zilizopigwa katika kupunguza pengo kati ya wanawake na wanaume...

READ MORE

NMB Yatoa Mafunzo Ya Kijasiriamali Kwa Wafanyabiashara Nchini

Kaimu Afisa Mkuu wa Wateja Wadogo wa NMB – Abdulmajid Nsekela akiongea na wafanyabiashara kwenye hafla ya wajasiliamali ambao ni...

READ MORE

Katibu Mkuu Kiongozi Akaribishwa Rasmi Ikulu

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Eng. John Kijazi akifanya Mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Balozi Ombeni Sefue, Ikulu Jijini Dar...

READ MORE

Efm Yawakutanisha Wanawake Wajasiriamali

Mgeni rasmi Devotha Likokola akiongea na wanawake wa vikundi mbalimbali kuwapa (hawapo pichani). Mmoja wa wajasiriamali Ester Dalali akitoa ushuhuda...

READ MORE

Sakata la Makamba na Muitaliano lachukua sura mpya

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira na Muungano), January Makamba. Sakata la Waziri wa Nchi Ofisi ya...

READ MORE

Rais Magufuli amuapisha Katibu Mkuu Kiongozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Eng. John William Herbert Kijazi kuwa Katibu Mkuu...

READ MORE