×

Habari

NDUGAI: Waziri Analia, Anakulambalamba? Wizara ya Fedha Mjitathmini – Video

SPIKA wa bunge, Job Ndugai ameitaka Wizara ya Fedha na Mipango kujitathmini kutokana na lawama ambazo imekuwa ikidaiwa kuchelewa fedha...

READ MORE

Exclusive! Dk Shika: Mabilioni Yangu Yameingia, Sasa Tutaelewana Tu – Video

MVUMILIVU hula mbinu, hivyo ndivyo tunavyoweza kusema baada ya aliyekuwa miongoni mwa watu waliokuwa wanataka kununua nyumba za mfanyabiara Said...

READ MORE

Mke Amuua Mumewe Kisa Kuambiwa Kupika

MKE anadaiwa kumuua mumewe, Ahmed Salim kwa kumchoma kisu baada ya kumlazimisha kurudi jikoni kupika chakula baada ya kutoshiba mkoani Mtwara.  ...

READ MORE

IGP: POLISI WASIOJITAMBULISHA WAKAMATWE, WAPIGWE MAWE

MKUU jeshi la polisi nchini Uganda amewaamrisha wananchi kuwakamata au kuwapiga mawe maofisa wa polisi wasiojitambulisha wanapokwenda kuwakamata washukiwa hata...

READ MORE

NMB YAFUTURISHA WATEJA DAR

    BENKI ya NMB juzi iliwafuturisha baadhi ya wadau na wateja wa NMB zaidi ya 200 Waislamu wakazi wa...

READ MORE

Sakata la Ubalozi wa Israel Latikisa Bunge – Video

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amesema kuwa nchi ya Tanzania imejenga heshima dunia kutokana na kupigania utu mahali popote...

READ MORE

Kauli ya Sugu Kuhusu Kukiukwa kwa Misingi ya Mwalimu Nyerere – Video

MBUNGE wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema kwa zama hizi sera ya Ushirikiano wa Kimataifa nchini imebadilika ikilinganishwa...

READ MORE

Kauli ya Wakili wa Sheikh Mbonde Kesi ya Babu Tale – Video

KUFUATIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connections na Meneja wa mwanamuziki Naseeb Abadul ‘Diamond Platinumz’, Hamis Taletale ‘Babu Tale’,...

READ MORE

Kauli ya Serikali Kuhusu Ugonjwa Hatari wa Ebola Nchini – Video

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, imetoa tamko kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola, ambapo imethibitisha kwamba mpaka sasa ugonjwa huo haupo...

READ MORE

TANZIA! Dansa wa Alikiba Afariki Dunia – Video

Aliekuwa Dansa wa Alikiba, Emma 4 Real amefariki Dunia jana baada ya kuugua kwa muda mrefu na kulazwa katika Hospital...

READ MORE

VIDEO: KESI YA BABU TALE YAAHIRISHWA, ARUDISHWA MAHABUSU

MKURUGENZI wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam na Meneja wa mwanamuziki Naseeb Abadul ‘Diamond’, Hamis...

READ MORE

Mhariri Mkuu Gazeti la Xinmin la China Atembelea Global Group

MHARIRI Mkuu wa gazeti la XINMIN EVENING NEWS la China,  Dr Justin Qiu leo ametembelea ofisi za Global Group zilizopo...

READ MORE

A-Z DENTI CHUO KIKUU ALIYEFIA CHUMBANI DAR

  BAADA ya utata kugubika kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya ya Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), Marcus Edward...

READ MORE

BABU TALE ARUDISHWA MAHABUSU KISA MIL 250

Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam na Meneja wa mwanamuziki Naseeb Abadul ‘Diamond’,  Hamis...

READ MORE

MWACHUO MUHIMBILI ALIYEKUFA AKIWA USINGIZINI AAGWA – VIDEO

NI simanzi, vilio na huzuni vilitawala jana kwa mamia ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya ya Sayansi Shirikishi Muhimbili...

READ MORE

Atakayetafuna Fedha Za Vijana Ajiandae- Waziri Jafo

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Seleman Jafo amesema kuwa wametoa maelekezo maalum ya Fedha ambazo zinaishia katika halmashauri...

READ MORE

TAZAMA Ubunifu wa Kushangaza wa Denti Huyu – Video

Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mwenyeheri Anuarite ya jijini Dar es Salaam, Prosper Nyambe ametinga ndani ya studio za Global...

READ MORE

Wanaodaiwa Kumteka Mwandishi Waanikwa, Wahenyeshwa

NYUMA ya tukio la utekaji na udhalilishwaji wa mwandishi wa habari wa kujitegemea jijini hapa, Lucas Myovera, kuna kesi mbaya...

READ MORE

Zitto: Serikali Ieneze Umeme Lakini Itunze Mazingira – Video

Mbunge wa Kigoma Mjini amesema hakuna mtu anayepinga Serikali kuongeza uwezo wa kuzalisha umeme lakini taratibu za kisheria na utunzwaji...

READ MORE

Heche: Mipaka ya Hifadhi Isifike Maeneo ya Makazi – Video

Mbunge wa Tarime Vijijini (CHADEMA), John Heche,  ameilalamikia Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Mamlaka ya Hifhadhi za Taifa (TANAPA)...

READ MORE

Nape Ataka Ufyekaji Miti Selous Ukomeshwe – Video

MBUNGE wa Mtama na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Nape Nnauye, amesema kitendo cha Serikali...

READ MORE

SHIDA YA UMEME KUSINI IMEKWISHA – MAJALIWA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema shida ya umeme iliyokuwa inaikabili mikoa ya Lindi na Mtwara hivi sasa imekwisha.  ...

READ MORE

IGP Simon Sirro Akutana na Rais wa TLS

MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP) Simon Sirro leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika...

READ MORE

Kimenuka: Viongozi Wawili Chadema Wavuliwa Uanachama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewavua uanachama viongozi wake wawili ambao ni aliyekua Naibu Katibu Mkuu Bara, Getrude Ndibalema...

READ MORE

BREAKING NEWS: Maofisa Watatu TIC Wafariki Ajalini

MAOFISA watatu wa Kituo cha Uwekezaji cha nchini  (Tanzania Investment Center (TIC) wamefariki dunia katika  ajali ya gari usiku wa...

READ MORE

MALINZI, WAMBURA WAPAMBANA KORTINI KISUTU

  OFISA Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Boniface Wambura ameieleza Mahakama...

READ MORE

JACK PEMBA ATUA DAR, ATAMBA KIBABE, AMFAGILIA JPM – Video

MFANTABIASHARA maarufu Afrika Mashariki, Jack Pemba ametua jijini Dar es Saalaa na kutamba kibabe akisema Tanzania ni nyumbani alipozaliwa na...

READ MORE

Ripoti ya Mali za CCM Yatua Mikononi mwa JPM, Atoa Kauli – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli leo Mei 21,...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Umeme wa Gridi ya Taifa Lindi na Mtwara

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya kote nchini wahakikishe wanafikisha umeme kwenye vituo vya kutolea huduma...

READ MORE

Luundo Dunia aachia wimbo wa lugha 4

  BAADA ya kusumbua na Wimbo wa Mbegu za Amani akiwa amemshirikisha msanii wa Bongo Fleva, Ruta Bushoke, msanii wa...

READ MORE

Undani wa Dogo Aliyenusurika Kufa Ndani ya Kontena

ZANZIBAR: Taharuki kubwa imetokea Kisiwani Unguja, Zanzibar juzi katika Bandari ya Malindi ambapo mtu mmoja aliokolewa kutoka ndani ya kontena,...

READ MORE

MOI Kulipa Fidia ya Tsh. Mil. 100 kwa Kupasua Kichwa Badala ya Mguu

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamuru Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (Moi), kumlipa...

READ MORE

‘HUMANITY AUCTION FOR CHILDREN FOUNDATION’ YAGAWA MSAADA KWA WALEMAVU

TAASISI isiyo ya kiserikali ya Humanity Auction For Children Foundation ambalo lengo lake ni kuwasaidia walemavu wa aina mbalimbali ikiwemo...

READ MORE

NASHA: Serikali Haitahusika Kupanga Ada kwa Shule Binafsi – Video

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema haitajihusisha na upangaji wa ada kwa shule binafsi hapa nchini badala...

READ MORE

SUGU: Sistahili Kupewa Msamaha – Video

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’  amesema kuwa hakupata taarifa kama amepewa msamaha na Rais Magufuli kutokana na kuambiwa...

READ MORE

Tangazo la Kupotelewa na Vyeti, Paul Alfredy Mpiluka

NDUGU Paul Alfredy Mpiluka mzaliwa wa Iringa vijini jimbo la Kalenga anatangaza kupotelewa na vyeti vyake vya taaluma kuanzia shule ya sekondari...

READ MORE