×

Habari

Mwili wa Patrick Wazuiliwa Airport, Familia ya Peter Yafunguka

KUFUATIA msanii wa Bongo Movie, Rose Alphonce ‘Muna Love’ kuondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar...

READ MORE

Kizungumkuti: Muna Awasili Airport Bila Mwili wa Patrick – Video

  TAARIFA zilizotufikia zinaeleza kuwa, Msanii wa Bongo Movie, Rose Alphonce maarufu kama ‘Muna Love’ amewasili katika Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Airtel Yazindua Hakatwi MTU HAPA –Tuma Pesa Bure Kupitia Airtel Money

Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kwa utoaji wa huduma bora za Smartphone Airtel Tanzania kupitia huduma yake ya Airtel...

READ MORE

Breaking News: Kangi Lugola Awatumbua Vigogo Wawili

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ametoa agizo kwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, kumshusha cheo Mkuu wa...

READ MORE

Breaking: Waziri Kangi Lugola Amtimua Kamishna wa Magereza

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya nchi, Kangi Lugola, amemfukuza kikaoni Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa kwa kuchelewa kufika...

READ MORE

Breaking: Mtatiro Ashikiliwa na Polisi Dar

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) anashikiliwa na Polisi katika kituo Kikuu cha Polisi tangu jana...

READ MORE

Richard Tanganyika Akabidhiwa Pikipiki ya ‘Tusua Maisha na Global’

MSHINDI wa pikipiki katika Shindano la Tusua Maisha na Global, Richard Tanganyika, amekabidhiwa zawadi yake pamoja na washindi wengine  katika...

READ MORE

WAKONTA ATAKAVYOITENDEA HAKI MILIONI 55 YA JPM NA MENGI

BINGO! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mwanadada Wakonta Kapunda, kujipatia fedha taslimu zaidi ya shilingi milioni hamsini na tano (55),...

READ MORE

MTOTO WA MUNA AWATOA MACHOZI MASTAA !

DAR ES SALAAM: Machozi! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na mastaa mbalimbali wa filamu na wadau akiwemo mtangazaji Zamaradi Mketema kujikuta...

READ MORE

BREAKING NEWS: Lori Lagonga Gari Tatu Mkoani Mbeya

Usiku wa leo kumetokea ajali mkoani Mbeya katika eneo la Uyole ambapo Lori limegongana na gari ya Coca na kuilalia...

READ MORE

DENTI MORO ABAKWA, ASHONWA NYUZI 7

MOROGORO: Binti wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Kisanga (jina linahifadhiwa) mkazi wa Msolwa, Kata ya Kisanga, Mikumi...

READ MORE

WANYAMA 10 WENYE AKILI ZAIDI DUNIANI

1. Sokwe Sokwe ni viumbe wa pili kwa kuwa na akili zaidi baada ya binadamu.  Kwa mujibu wa uchunguzi wa...

READ MORE

RPC Muroto: Madereva Dodoma, ‘Watapata Tabu Sana’! – Video

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limeendesha msako mkali wa magari ya abiria na mizigo pamoja na madereva wanaovunja sheria na...

READ MORE

WASHINDI WA KWANZA ‘TUSUA MAISHA NA GLOBAL’ WAZAWADIWA

Mhariri wa magazeti ya Global Publishers, Aziz Hashim (katikati)  akizungumza na washindi (hawapo pichani) muda mfupi kabla ya kuwakabidhi zawadi...

READ MORE

Mwisho wa Ubishi: Baba Aanika Cheti cha Kuzaliwa Patrick

SINTOFAHAMU iliyokuwepo kuhusu baba halisi wa mtoto wa mwigizaji wa Bongo Movie, Muna,  aitwaye Patrick aliyeaga dunia juzi nchini Kenya ...

READ MORE

Toyota Spacio Yapata Ajali Sinza, Dar

GARI dogo aina ya Toyota Spacio leo jioni limepata ajali baada ya kuacha barabara na kuingia mtaroni eneo la Sinza-Mori...

READ MORE

Baada ya Kikao Kizito, Hatimaye Muna Akubali Kupeleka Msiba kwa Peter

KUFUATIA sintofahamu kuhusu baba halisi wa mtoto wa mwigizaji wa Bongo Movie, Muna  na wapi msiba upelekwe, muigizaji wa Bongo...

READ MORE

Breaking News: Lugola Avunja Baraza la Usalama

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amelivunja Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na Kamati zote za...

READ MORE

Breaking: Mmiliki Mabasi ya Zacharia Asomewa Mashtaka ya Kujaribu Kuua

MARA: Mfanyabiashara maarufu mjini Tarime mkoani Mara ambaye pia ni mmiliki ya mabasi ya Zakaria, Peter Zakaria amefikishwa mahamani leo...

READ MORE

Seteve Nyerere Amvaa Muna… “Utoto, Shetani Weka Pembeni”

KUFUATIA sintofahamu kuhusu nani ni baba halisi wa mtoto wa Muna na wapi msiba upelekwe, muigizaji Bongo Movies ambaye pia...

READ MORE

Zamaradi Afunguka ‘Vita’ ya Nani Baba Halisi wa Patrick

MTANGAZAJI Zamaradi Mketema aliyepewa jukumu kuratibu msiba wa mtoto wa Muna, Patrick ametaka yeye asihusishwe juu ya mvutano uliopo kati...

READ MORE

Mwanamke Apanda Mnara wa Liberty Akipinga Sera za Trump

Wafanyakazi wakimfuata mwanamke huyo (kulia, aliyepiga magoti).  MWANAMKE  ambaye hakufahamika jina, alikamatwa jana jijini New York, Marekani, kwa kupanda katika...

READ MORE

KIGOMA: WAZIRI WA JK ACHUKUA FOMU JIMBO LA BILAGO

Waziri wa zamani Christopher Chiza ni miongoni mwa wana CCM, walioonyesha nia ya kuwania jimbo la Buyungu lililoachwa wazi baada...

READ MORE

HIKI NDICHO KILICHOMUUA MTOTO WA MUNA

  INAUMA sana! Ndiyo maneno unayoweza kutamka baada ya mtoto wa msanii wa filamu za Kibongo, Rose Alphonce ‘Muna’ anayejulikana...

READ MORE

WAZIRI MKUU ATEMBELEA SABASABA, AKABIDHI MATREKTA 500

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi  matrekta 560 kwa wateja wa mwanzo katika awamu ya kwanza ya uunganishaji wa matrekta maalumu...

READ MORE

Wanaoiba Ili Wakahonge Wanasa Mikononi wa Muroto – Video

Jeshi la Polisi limewakamata watu wawili wanaotuhumiwa kuiba fedha kwa njia ya Mtandao, ambao wanatumia pikipiki yenye namba za usajili...

READ MORE

Watapata Taabu Sana! RPC Muroto: Mnatusariti kwa Milioni 8 – Video

JESHI la polisi mkoani Dodoma limekamata Wahamiaji haramu 40 Raia wa Ethiopia pamoja na Watanzania wanne waolikuwa wakiwasafirisha Wahamiaji hao....

READ MORE

MAKONDA  AMALIZA MIGOGORO SUGU YA WAKAZI WA TABATA LIWITI

    MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo ametegua kitendawili kilichowatesa kwa muda mrefu wakazi wa...

READ MORE

Benki ya Azania kusaidia upatikanaji rahisi huduma za kifedha Sabasaba

  BENKI ya Azania (ABL) ambayo ni benki binafsi ya kiasili hapa nchini, imeelezea nia yake ya kuendelea kusaidia sekta...

READ MORE

VIDEO: Baba Halisi wa Patrick Afunguka Mazito, Kifo cha Mwanaye

Global TV Online imefunga safari mpaka maeneo ya Mwananyamala ambapo ndipo ulipo msiba wa mtoto wa Muigizaji Muna Love anayefahamika...

READ MORE

MWANAMKE MBARONI KWA KUIBA MTOTO MCHANGA

MWANAMKE mmoja anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za  kuiba mtoto wa kiume mwenye umri wa wiki tatu. Kamanda...

READ MORE

MAJI MAREFU AAGWA KARIMJEE DAR (PICHA + VIDEO)

WAZIRI Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa  leo amewaongoza viongozi mbalimbali wa serikali, wabunge na waombolezaji wengine kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge...

READ MORE

Zari Ampa Pole Muna Kufiwa na Mwanaye

ALIYEKUWA mpenzi wa Diamond Platinumz, Zarina Hassan “Zari The Bosslady”,  ametoa pole kupitia akaunti yake ya Instagram kwa msanii wa...

READ MORE

Pweza Aliyetabiri Japan Kufungwa Ageuzwa Kitoweo – Video

WAKATI michuano ya Kombe la Dunia ikiendelea nchini Urusi, pweza aliyekuwa anaaminika katika kubashiri matokeo ya mechi kadhaa zilizopita zikiwemo...

READ MORE

CAF Yawafungulia Mtibwa Michuano ya Kimataifa

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema limepokea barua kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Africa CAF inayoelezea kuwa...

READ MORE

Mastaa Walivyolizwa na Msiba wa Mtoto wa Muna

WASANII mbalimbali baada ya kifo cha mtoto aitwaye Patrick kupitia kurasa zao za Instagram wamepost ujumbe mbalimbali wa pole kwenda...

READ MORE

Msajili Vyama Aliyesimamishwa na Mwigulu Arudishwa Kazini

  MSAJILI wa Taasisi za Kiraia na Vyama vya Hiari wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Merlin Komba, ambaye alisimamishwa...

READ MORE

LIVE: Waziri wa Maji na Umwagiliaji Akabidhiwa Rasmi Ofisi

 Waziri Mpya wa wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa leo Julai 03, 2018 amekabidhiwa rasmi ofisi yake...

READ MORE

Mwili wa Prof. Maji Marefu Wawasili Karimjee Kuagwa – Pichaz

MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Stephen Ngonyani “Profesa Majimarefu” umewasili katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es...

READ MORE