×

Habari

WASHINDI 2,000 WAIBUKA KIDEDEA SMATIKA YA AIRTEL

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mbando,(katikati) akiwapigia simu washindi wa  Yatosha SMATIKA Internet  baada ya kuchezeshwa droo kwa kuwapatia bando...

READ MORE

GLOBAL HABARI: CHADEMA YALIA KUTEKWA MGOMBEA WAO WA UDIWANI

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelaani kitendo cha mwanachama wake, Athanas Makoti, ambaye ni mgombea udiwani katika kata...

READ MORE

MTOTO ASHANGAZA; AZALIWA NA JINO!

  MAMA mmoja, Shannon MacAllister (17) mkazi wa Walker, Newcastle-Upon-Tyne, Uingereza, mwezi uliopita alipigwa butwaa baada ya mtoto wake kuzaliwa...

READ MORE

Mwigulu Avamia Shamba la Bangi, Alichokifanya… Bofya Hapa – Video

WAZIRI wa mambo ya ndani nchini,Mwigulu Nchemba leo ameongoza oparesheni ya kuteketeza jumla ya ekari  sita za bangi zilizokuwa zimelimwa...

READ MORE

VINASABA VYAONYESHA WAINGEREZA WALIKUWA WEUSI!

UCHUNGUZI  wa vinasaba (DNA) uliofanywa karibuni umeonyesha kwamba Mwingereza aliyeishi miaka ipatayo 10,000 alikuwa na ngozi nyeusi, macho ya bluu...

READ MORE

Chadema Yalaani Kutekwa Mgombea Udiwani Muleba

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelaani kitendo cha mwanachama wake, Athanas  Makoti, ambaye ni mgombea udiwani katika kata...

READ MORE

CHADEMA: PROF. JAY AMEKATALIWA KUMUONA SUGU GEREZANI

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa kimedai kuwa mbunge wa Mikumi, Joseph Haule ‘Prof. Jay na mkewe...

READ MORE

Aliyemuapisha Odinga Atimuliwa Kenya

MWANASHERIA maarufu wa nchini Kenya Miguna Miguna aliyemuapisha Raila Odinga, amefukuzwa nchini Kenya (deported) na kupelekwa Canada, chini ya uangalizi...

READ MORE

Serikali: Uchumi, Utawala Bora Tanzania Vimeimarika (Video)

  Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas, amesema hali ya uchumi wa Tanzania imeimarika ikilinganishwa na awamu zilizopita ambapo imeshika...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATANO, FEB 7, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Feb 7, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

Msukuma Amtolea Povu la Mwaka Waziri wa JPM

MBUNGE na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma amemshambulia kwa maneno Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina...

READ MORE

JPM Azindua Kituo cha Mafunzo Maalum ya Kijeshi

RAIS Dkt. Magufuli leo  Februari6,  2018 amezindua Kituo cha Mafunzo Maalum ya Kijeshi (Comprehensive Training Center – CTC) kilichopo Mapinga katika...

READ MORE

GLOBAL HABARI: SUMAYE AICHARUKIA TUME YA UCAGUZI

WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa CHADWMA Kanda ya Pwani, Frederick Sumaye ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kusimamia...

READ MORE

WAZIRI WA UJENZI NA UCHUKUZI WA LESOTHO ATEMBELEA MRADI WA DART

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Lesotho, Mhe. Lehlohonolo Moramotse (wa tatu kulia) akisisitiza jambo akiwa kwenye moja ya Mabasi yaendayo...

READ MORE

Rihanna Atua Senegal, Apingwa Kisa Freemason

Msanii maarufu duniani wa muziki wa Pop Robyn Rihanna Fenty maarufu kama Rihanna, amewasili nchini Senegal licha ya watu wa...

READ MORE

DC ILALA AZINDUA UTARATIBU KUWATAMBUA MACHINGA KARIAKOO

  MKUU  wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, leo amezindua utaratibu maalumu wa kuwatambua wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama Wamachinga  kwa...

READ MORE

Chadema Hawamwamini Msimamizi Uchaguzi Kinondoni (Video)

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo wamesema hawana imani na msimamizi wa uchaguzi jimbola Kinondoni wakidai kuna njama zilizopangwa...

READ MORE

WASTARA AANZA RASMI MATIBABU INDIA – PICHAZ

Msanii wa filamu za Bongo, Wastara Juma, tayari ameshawasili nchini India na kuanza rasmi matibabu ya mguu wake katika Hospitali...

READ MORE

Breaking News: Moto Wateketeza Maduka Mbagala – Video

Moto umelipuka na kuteketeza maduka zaidi ya 10 katika maeneo ya Mbagala -Rangi Tatu, Raound About ya kuelekea Charambe, mchana...

READ MORE

Aliyekamatwa na Mabilioni Airtport Aachiwa Huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuachia huru na kumrudishia fedha zake, Winfred Busige (33), raia wa Uganda aliyekamatwa akisafirisha fedha...

READ MORE

Nassari Kortini kwa Tuhuma za Kumpiga Diwani

Mbunge wa Arumeru Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Joshua Nassari leo Februari 6, 2018 amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya...

READ MORE

Mahakama Yaagiza Nabii Titto Apime Upya Akili

MAHAKAMA ya Wilaya ya Dodoma imeagiza mkazi wa mtaa wa Ng’ong’ona Manispaa ya Dodoma Tito Machibya, maarufu kama ‘Nabii Tito’ (45) kupimwa...

READ MORE

Baunsa Anayedaiwa Kumuua Mowzey Radio Atiwa Mbaroni

Mtuhumiwa namba moja ambaye anayedaiwa kuhusika na kifo cha msanii muziki nchini Uganda, Mowzey Radio amekamtwa na Jeshi la Polisi nchini...

READ MORE

Bilionea Aliyefunga Ndoa na Wake Wawili kwa Mpigo Aanika Alichofanyiwa na TRA

Ili kuisoma Exclusive hii…. ingia #GlobalPublishersApp. Kama huja-install tumekurahisishia sana, Install #GlobalPublishersApp sasa na uingie kwenye MENU ya MAGAZETI utasoma kila...

READ MORE

SHEHE MKUU AMVAA MANGE, AMPA MWAKA MMOJA – VIDEO

  SHEHE  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa amemuonya mwanaharakati maarufu, Mange Kimambi kwa madai kuwa amemporomoshea...

READ MORE

JPM, JK, Lowassa Walivyomzika Mzee Kingunge – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John pombe Magufuli, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya...

READ MORE

Mwili wa Mzee Kingunge Waagwa Dar – Pichaz

MWILI wa aliyekuwa mwanasiasa mkongwe hapa nchini, Mzee kingunge Ngombale Mwiru umeagwa leo asubuhi katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar...

READ MORE

JK na Lowassa Waungana na Waombolezaji Kuaga Mwili wa Kingunge

  RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na aliyekuwa Waziri Mkuu wake kabla ya kujiuzulu, Edward...

READ MORE

Breaking News: Mwanasheria Mkuu wa Serikali Aapishwa Rasmi Bungeni

NAIBU Spika wa Bunge, Dkt.  Tulia Ackson amemwapisha Mmwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dkt. Adelardus Kilangi bungeni na kumkabidhia vitendea...

READ MORE

Kumbe Dokii ilikuwa Aolewe na Radio

  UKIPEWA ubuyu wa Zenji sharti uumun’gunye wenyewe mdomoni bila kitu kingine. Kufuatia kifo cha mwanamuziki wa Uganda, Mowzey Radio...

READ MORE

Mke wa Majuto Akesha Akimuombea Mumewe

  MKE wa mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athuman ‘Majuto’, Aisha Yusuf amesema kuwa siku za hivi karibuni alipoanza kuugua tena...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATATU, FEB 5, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Feb 5, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru Kuzikwa Leo …Ratiba Ipo Hapa

RATIBA  ya mazishi ya aliyekuwa mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale Mwiru, iliyotolewa na familia yake jana inaonyesha atazikwa leo Jumatatu katika...

READ MORE

Maradona Yamkuta Kisa Kumtusi Trump

  NYOTA wa zamani wa soka nchini Argentina, Digo Maradona amenyimwa kibali cha kuingia nchini Marekani baada ya kudaiwa ‘kumtusi’...

READ MORE