×

Habari

Mbatia Apata Ajali Usiku, Avunjika Mkono

MBUNGE wa Vunjo kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC mjini Moshi mkoani Kilimanjaro...

READ MORE

Singida: Aliyeteuliwa Kugombea Ubunge Chadema Ajitoa

SIKU moja baada ya NEC kuanika majina ya wagombe huku jina lake likitajwa kuwa miongoni mwao, Djumbe Joseph aliyepitishwa na...

READ MORE

JPM: Wanaopotosha ‘Vyuma Vimekaza’ Washughulikiwe – (Video)

RAIS Dkt. John Magufuli ametoa agizo kwa Mamlaka ya Takwimu ya Taifa (NBS) kuwachukuliwa hatua haraka mashirika, taasisi na watu...

READ MORE

JPM Abaini Airtel ni Mali ya Serikali, Ataka Uchunguzi Ufanyike (Video)

RAIS Dkt. John Magufuli amesema Serikali imebaini kuwa kampuni ya Mawasiliano ya Bharti Airtel ni mali ya Shirika la Mawasiliani Tanzania...

READ MORE

Wanahabari Wambana DCI Kuhusu Lissu, Ben Saanane, Azory

MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz, amesema kuwa matukio ya kihalifu kwa mwaka huu wa 2017, yamepungua sana...

READ MORE

Hongera JPM Kwa Kulinda Maadili

  ASANTE Mwenyezi Mungu kwa kunipa nafasi nyingine ya kuweza kuzungumza na mashabiki wa Barua Nzito, ambao wamekuwa msaada mkubwa...

READ MORE

Kisa Kuwania Ubunge Kupitia CCM, Mtulia Aoga Matusi

ALITEKUWA Mbunge Kinondoni (CUF), Maulid Mtulia ambaye alijivua ubunge na uanachama kisha kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametangaza nia ya...

READ MORE

Diwani Mwingine Chadema Ajiuzulu, Ajiunga CCM

KILIMANJARO: Diwani wa Donyomurwak kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Siha mkoani Kilimanjaro, Lwite Ndossi amejiuzulu...

READ MORE

Siku Chache Baada ya JPM Kuteua, Kigwangalla Atengua

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ametengua uteuzi wa Wajumbe wa Bodi ya Mamlaka ya  Hifadhi Eneo la...

READ MORE

MAHAKAMA YAKUBALI ZUIO DHIDI YA WADHAMINI CUF-LIPUMBA

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekubali maombi ya zuio la muda dhidi  Bodi ya Wadhamini ya CUF...

READ MORE

Simulizi ya Mfungwa Aliyeishi Gerezani Miaka 55 na Kuachiwa na Magufuli Inasikitisha – Video

PEKOS Mtalikidonga (55) mfungwa aliyekuwa na umri mdogo kuhukumiwa kunyongwa akiwa na wenzake wanne akiwemo kaka yake, na baadaye kusamehewa...

READ MORE

Patrick Kanumba Afungukia Penzi Lake na Jennifer Kanumba – Video

STAA kijana aliyetambulishwa rasmi kwenye ulimwengu wa filamu za Kibongo na aliyekuwa nguli wa tasnia hiyo, marehemu Steven Kanumba, Othman...

READ MORE

Sarakasi za Uchaguzi Zaimega Chadema, Singida Wasimamisha Mgombea

SARAKASI za kisiasa zinazidi kushamiri! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia Uongozi wa Vyama Vinavyounda Umoja wa Katiba Mpya (UKAWA) kueleza kutoshiriki...

READ MORE

INAUMA SANA: Mtoto Asimulia Alivyotafunwa Mikono na Nguruwe – Video

MTOTO Farida Silvanus (15), mkazi wa Perege Wiliya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani,amewashangaza watu kutokana na vitu anavyofanya huku akiwa...

READ MORE

MO Dewji: Kijana Akifanya Haya Atatengeneza Mkwanja Kirahisi

MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Mohammed Dewji ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group amefunguka na kuwapa siri...

READ MORE

Breaking News: Sadifa Aachiwa kwa Dhamana, Apewa Masharti Magumu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Dodoma iemwachia kwa dhamana aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sadifa Juma Khamis...

READ MORE

UVCCM Mmemsikia Rais Magufuli?

KAMA ilivyo kawaida yangu napenda tena kumshukuru Mungu kwa kuendelea kunipigania katika kutimiza majukumu yangu ya kila siku.   Katika...

READ MORE

Mambo 10 ya JPM Kukumbukwa 2017

  RAIS Dk. John Magufuli amefanya mambo mengi ndani ya mwaka huu, lakini haya 10 yatazidi kukumbukwa na Watanzania. BABU...

READ MORE

Fifa Yazuia Usajili wa Kwasi

USAJILI wa dirisha dogo Bongo uliofun­gwa usiku wa kuamkia juzi Jumamosi, ambapo Simba ilimnasa beki Asante Kwasi dakika za mwisho,...

READ MORE

Haya Ndiyo Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa CCM – Dodoma (Video)

Rais Dkt John Magufuli amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Shein Makamu Mwenyekiti Zanzibar na Philip...

READ MORE

Msafara wa IGP Sirro Wasimamishwa

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amesema Jeshi lake limeongeza nguvu ya ziada ya kupambana na uhalifu...

READ MORE

Kikwete: Mnasema Vyuma Vimekaza? Vumilieni Tu! – (Video)

RAIS Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amewataka watanzania kuwa wavumilivu...

READ MORE

Magufuli Ajiuzulu Uenyekiti wa CCM, Agombea Tena – Video

Mweyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli amejiuzulu nafasi hiyo kulingana na katiba ya chama hicho...

READ MORE

Wasira Aibukia kwa JPM, Awavunja Mbavu CCM, Dodoma – Video

HADITHI: SIKU ZA MWISHO ZA UHAI WANGU – SEHEMU YA 1 (Audio) Nakuletea dakika 15 za kwanza za simulizi hii...

READ MORE

Airtel Yatangaza GB Zaidi Bando za Yatosha Intaneti

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imekutana na watangazi wa radio mbalimbali  nchini na kuongelea ongezeko la faida...

READ MORE

Yaliyojiri Kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Taifa – Dodoma

Hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha hoja ya utekelezaji wa ilani ya CCM ndani ya mkutano mkuu wa chama...

READ MORE

Mahakama Kuu Yamwachia Huru Sheikh Ponda

MAHAKAMA Kuu imemuachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda katika rufaa iliyokatwa na Jamhuri kupinga...

READ MORE

Kinana Afunguka Ndani ya Mkutano Mkuu wa CCM – (Video)

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeanza mkutano wake mkuu wa Taifa Mjini Dodoma ambapo utafanyika  kwa siku mbili, Desemba 18-19, 2017....

READ MORE

INAUMA SANA: Zanzibar Heroes Wamwaga Machozi Hadharani – (Video)

NDOTO ya timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes kutwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji iliota mabawa jana Jumapili baada...

READ MORE

Hotuba ya Rais Magufuli Akifungua Mkutano Mkuu wa CCM – (Video)

MKUTANO Mkuu wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) umeanza Mjini Dodoma ambapo utafanyika  kwa siku mbili, Desemba 18-19, 2017...

READ MORE

JPM: Tumewaburuza Wapinzani Kata 42 kwa Sababu Hizi – (Video)

Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) umeanza Mjini Dodoma ambapo utafanyika  kwa siku mbili, Desemba 18-19, 2017...

READ MORE

ACT Wazalendo Kususia Uchaguzi wa Wabunge Januari

Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitasusia uchaguzi mdogo wa wabunge utakaofanyika Januari 13 mwaka kesho katika majimbo matatu.   Hayo...

READ MORE

Magufuli, Dkt. Shein na Philip Mangula Wachaguliwa Kuwania Uongozi CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuwajulisha wanachama wa CCM na Umma wa watanzania kuwa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya...

READ MORE

UZINDUZI WA GAZETI LA SPOTI XTRA ULIVYOBAMBA KITAA (Pichaz + Video)

GAZETI jipya la michezo la Spoti Xtra ambalo ni gazeti dada na Gazeti la Championi linalotolewa na Kampuni ya Global...

READ MORE

Bakwata Watoa Tamko Tishio La Kumuondoa Mufti

Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Dar es Salaam limewalaani vikali watu waliotoa na kusambaza taarifa za uongo...

READ MORE

Tundu Lissu Amjibu Job Ndugai Kuhusu Matibabu Yake

MBUNGE wa Singida Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefunguka na kumjibu Spika wa Bunge, Job...

READ MORE

Pialali Amchakaza Mhindi Bagamoyo (Video)

  BONDIA wa ngumi za kulipwa  nchini, Idd Pialali amefanikiwa kushinda ubingwa wa kimataifa baada ya kuchakaza mpinzani wake, Shiva...

READ MORE

Magufuli Ahudhuria Misa Kanisa Kuu Katoliki Dodoma Leo

RAIS   John  Magufuli na mkewe,  Mama Janeth Magufuli,  leo wameungana na waumini wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Paulo wa Msalaba,...

READ MORE

Takukuru inamshikilia aliyekuwa Rais wa CWT Gratian Mukoba kwa tuhuma za rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Dodoma inamshikilia aliyekuwa Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian...

READ MORE