×

Habari

GLOBAL HABARI: JPM AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, amemwapisha Dkt. Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali...

READ MORE

EXCLUSIVE: KIZAAZAA MSIKITINI, IMAMU APOTEA KIMAAJABU, WAUMINI WATIMKA

KIZAAZAA cha aina yake kimeukumba msikiti wa Tawba uliopo Makongo Juu jijini Dar baada ya Imamu wa msikiti huo, anayefahamika kwa...

READ MORE

WAKAZI WA SALANGA WALALAMIKIA UBOVU WA BARABARA YA KING’ONGO-KIMARA

    WAKAZI wa Kimara Matosa wanaopita katika barabara ya King’ongo kuelekea maeneo ya Goba jijini Dar es Salaam, wamelalamikia...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MWANASHERIA MKUU, NAIBU WAKE LEO IKULU, DAR

Rais Magufuli leo amemwapisha Dk Adelardus Kilangi  kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Paul Ngwembe kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AWATUNUKU KAMISHENI MAOFISA WAPYA 192 JWTZ (PICHA +VIDEO)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Februari, 2018...

READ MORE

Lowassa: Nitaukumbuka Moyo wa Mzee Kingunge – Video

  WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Ngoyai Loowassa ameeleza kusikitishwa kwake na kifo cha aliyekuwa...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMAMOSI, FEB 3, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Feb 3, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

HAPATOSHI… John Heche ‘Awasha Moto Bungeni’ Kisa Ufisadi – Video

IKIWA ni mwendelezo wa vikao vya mkutano wa 10 wa Bunge la 11, vionavyoendelea katika makao makuu ya nchi mjini,...

READ MORE

Basi la Abiria Laanguka na Kuua

  BASI la abiria mali ya kampuni ya Tahmeed coach linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam kwenda nchini...

READ MORE

RC WA NYERERE ALIA KUTAPELIWA NYUMBA KURASINI

  MZEE  Juma Waziri Juma ambaye aliwahi kuwa mkuu wa mikoa mbalimbali nchini enzi za utawala wa Mwalimu Julius Nyerere,...

READ MORE

JPM kutunuku Kamisheni kwa Maofisa wa JWTZ, Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli kesho tarehe 03 Februari, 2018 atawatunuku kamisheni...

READ MORE

Wanafunzi Royal College – Dar Waandamana

  WANAFUNZI wa Chuo cha Uandishi wa Habari cha jijini Dar es Salaam, Royal College of Tanzania leo wameandamana wakipinga...

READ MORE

BREAKING: TAKUKURU Yawanasa Watumishi Feki wa ‘Ikulu’

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), imewakamata watumishi feki watatu waliokuwa wakifanya matukio kwa kutumia jina la...

READ MORE

Mtoto wa Rais Akutwa Amejiua

Havana: MTOTO wa kiume wa kwanza wa aliyekuwa rais wa Cuba, Fidel Castro, aitwaye Fidel Ángel Castro Díaz-Balart (68) jana alikutwa amejiua...

READ MORE

Mzee Kingunge Kuzikwa Jumatatu Dar

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru anatarajiwa kuzikwa Jumatatu Februari 5, 2018 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti...

READ MORE

Kingunge, Mkewe Tangu Ujana Hadi Kaburini

KUFUATIA kifo cha mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya taifa Muhimbili,...

READ MORE

TAARIFA YA FAMILIA KUHUSU MSIBA WA MZEE KINGUNGE

  KINJEKITILE Ngombale Mwiru ambaye ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe nchini, marehemu Ngombale Mwiru ambaye amefariki leo asubuhi katika Hospitali...

READ MORE

DENTI AUAWA KWA UMEME AKICHAJI SIMU BAFUNI

Kseniya wakati wa uhai wake.  Msichana huyo alikutwa akiwa amezimia kabla ya kufa akiwa katika jakuzi alilokuwa akiogea huku simu...

READ MORE

BREAKING NEWS: PATROBAS KATAMBI Awalipua ‘CHADEMA’

  Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la vijana la Chama cha Demookrasia na Maendeleo-CHADEMA ambaye hivi karibuni alikihama chama hicho...

READ MORE

Zanzibar: Ndege ya NIT Yaaguka na Kuuwa Marubani

Marubani wawili wamefariki Dunia katika ajali ya ndege wakati wa kurusha ndege baada ya matengezo katika Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Kifo cha Mzee Kingunge Chamtoa Machozi Rais Magufuli

  KUTOKA IKULU: Rais John Magufuli amepokea kwa huzuni na masikitiko taarifa za kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa,...

READ MORE

Breaking News: Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Afariki Dunia

Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Kingunge Ngombale-Mwiru amefariki dunia leo. Taarifa kutoka kwa Mtoto wake Kinje Ngombale amethibitishaa kuwa Baba yake...

READ MORE

Breaking: JPM Ateua Mwanasheria Mkuu Mpya wa Serikali, Masaju Ahamishwa

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dk Adelardus Kilangi (pichani) kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Paul Ngwembe kuwa Naibu...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO IJUMAA, FEB 2, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Feb 2, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

Sasha Ageuka Chapombe

MWANADADA anayetikisa kwa umbo, Sasha Kassim anadaiwa kulowea kwenye ulabu na kuwa chapombe, kutokana na msongo wa mawazo siku chache...

READ MORE

WASANII WAZUA TAHARUKI STENDI

BAADHI ya wasanii wa filamu za Kibongo, mapema leo wamezua taharuki na kugeuka kivutio kwa abiria katika stendi ya daladala...

READ MORE

Wafungwa Aliyowasamehe Wamvuruga JPM – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameeleza kusikitishwa kwake na wafungwa ambao aliwasamehe hivi karibuni...

READ MORE

METL YAZINDUA SHINDANO LA MAJI LA ‘PINDUA USHINDE’  

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL), Fatema Dewji, akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa shindano la...

READ MORE

UKATILI WALIOFANYIWA WATUMWA KUTOKA  AFRIKA HUKO AMERIKA

PICHA za kusikitisha zilizopigwa miaka zaidi ya 150 iliyopita zinaonyesha ukatili wa kutisha waliokuwa wanafanyiwa watumwa kutoka Afrika waliosombwa kupelekwa...

READ MORE

Kenya: Mahakama Kuu Yaingilia Kati Sakata la Odinga na Serikali

  Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kuwashwa kwa vituo vya habari vitatu binafsi na serikali na kuiagiza serikali kutoingilia utendaji...

READ MORE

Chadema Wapigwa Barua Uchaguzi Kinondoni – Video

Wakati kampeni za uchaguzi jimbo la Kinondoni zikiendelea, Chadema wamepewa barua mbili za malalamiko na msimamizi wa uchaguzi Wilaya ya...

READ MORE

JPM Awalipua Majaji ‘Wala Bata’, Atoa Maagizo Mazito

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amemwagiza Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamisi Juma kupitia Tume ya Utumishi wa Mahakama...

READ MORE

Aishtaki Serikali kwa Kumfunga Kizazi kwa Lazima

Mwanamke mmoja nchini Japan, ambaye alilazimishwa kufungwa kizazi miaka ya 1970 akiwa na umri wa miaka 15, ameishitaki serikali katika...

READ MORE

Breaking News: Mwanamuziki Mowzey Radio Amefariki Dunia

MWANAMUZIKI nyota nchini Uganda, Moses Ssekibogo maarufu kama Mowzery Radio, amefariki. Habari zilizothibitishwa na familia yake na mmoja wa mameneja...

READ MORE

BREAKING NEWS: KAMPUNI YA TTCL “YAFUTWA”

Kampuni ya Mawasiliano Tanzania ya (TTCL), sasa haipo tena, imebadilishwa na kuwa Shirika la (TTCL Corporation).   Akizungumza na waandishi...

READ MORE

INASIKITISHA! Binti Aliyekatwa Miguu, Amlilia Magufuli – Video

Binti Gladness Fidilish mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Mtaa wa Mji Mwema wilayani Nyamagana mkoani Mwanza, amemuomba Rais...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO ALHAMISI, FEB, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Feb 1, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

SIKU CHACHE KABLA YA KUOLEWA, MREMBO ANYONGWA GESTI

  NI tukio la kutisha! Wakati akiwa kwenye mipango kabambe ya kuolewa siku chache zijazo, mrembo aliyetajwa kwa jina la...

READ MORE