×

Habari

Mzee wa ‘900 Itapendeza’ Atinga Global, Afunguka Mazito

  Dkt. Louis Shika, aliyejipatia umaarufu mkubwa baada ya kuibuka mshindi wa mnada wa nyumba tatu za kifahari za bilionea...

READ MORE

Vodacom Yaanza Na Ukuwaji Mzuri Nusu Ya Kwanza Ya Mwaka

Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC (“Vodacom”) leo imetangaza matokeo ya hesabu zake kwa kipindi cha nusu ya mwaka ulioishia Septemba...

READ MORE

‘Dk Cheni’ Awafungukia Wanaosema Hukumu ya Lulu Haitoshi

MSANII mkongwe katika tasnia ya maigizo Bongo na mshereheshaji (MC), Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ ambaye ni mlezi wa mwigizaji Elizabeth...

READ MORE

Lawrence Masha Ajiondoa Chadema

ALIYEKUWA mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lawrence Masha, leo amejiondoa katika chama hicho na amesema atatafakari mustakabali...

READ MORE

‘BILIONEA’ WA MAJUMBA YA LUGUMI AJIDHAMINI

ALIYEKUWA anajulikanakama bilionea mwenye kununua nyumba za Lugumi kwenye mnada, Lous Shika, ameachiwa na jeshila polisi lililokuwa linamshikilia kwa tuhuma...

READ MORE

MAMA AELEZEA MWANAYE ALIYEZAMA CHOONI, MKONO UKIJITOKEZA JUU

  ROSINA KOMAPE  aliwatia huzuni watu waliokuwa mahakamani alipokuwa akilia kuomboleza kifo cha mwanaye wa kiume, Michael Komape, aliyetumbukia katika...

READ MORE

Mhasibu Takukuru Atoroka, Atakayempata Kuzadiwa Mil 10 (Video)

  NAIBU Mkurugenzi Mkuu  wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru – PCCB), Brigedia Jenerali John Julius Mbungo...

READ MORE

Nyalandu Amjibu Waziri wa Maliasili na Utalii Kigwangalla

Saa chache baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuliagiza Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kupambana...

READ MORE

Idris Akumbukia Maisha ya Kanumba, Ampa Pole Mama Yake

  MCHEKESHAJI na mshindi wa Big Brother Africa, Idris Sultan, ametoa pole kwa mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa,...

READ MORE

Kibatala: Lulu Anaweza Kupata Dhamana Akisubiri Rufaa Kusikilizwa

WAKILI wa Elizabeth Michael ‘Lulu’, Peter Kibatala, kufuatia hukumu ya miaka miwili dhidi ya Lulu jana, ametoa ufafanuzi kupitia akaunti...

READ MORE

A-Z Safari Ya Lulu Kutoka Uraiani Kwenda Gerezani (Pichaz + Video)

Mwigizaji wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ (kulia) akiongea neno na Muna Alphonce nje ya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Kigwangalla Amelitaka Jeshi la Polisi na TAKUKURU Kumchunguza Nyalandu (Video)

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla amelitaka jeshi la polisi na TAKUKURU kumchunguza aliyekuwa waziri wa wizara hiyo...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa Dar Amtia Moyo Lulu!

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  leo ameposti kupitia account yake ya Instagram ujumbe wa kumpa moyo...

READ MORE

Ndevu za Prince Harry Zashutumiwa Kwenye Hafla Ya Kijeshi

  PRINCE Harry ambaye ni mtoto wa Prince Charles na mjukuu wa Malkia Elizabeth wa Uingereza, yuko katika misukosuko kwa...

READ MORE

Baba Kanumba Alalamikia Hukumu ‘Ndogo’ Dhidi ya Lulu

BAADA ya Mahakama Kuu kumhukumu mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenda jela miaka miwili kwa kumuua bila kukusudia aliyekuwa mwigizaji Steven...

READ MORE

Mwalimu Matatani Kumwita Mwanafunzi Msichana Wakati ni Mvulana

  MWALIMU Joshua Sutcliffe wa Oxfordshire, Uingereza, ameingia matatani baada ya kusimamishwa kazi kwa kumwita kwa ‘bahati mbaya’ mwanafunzi wa...

READ MORE

Mwandishi Mmarekani Akamatwa, Adaiwa Kumtusi Rais Mugabe

    MWANDISHI wa Marekani, Martha O’Dovovan, hivi majuzi alikamatwa na kufikishwa mahakamani mwanzoni mwa mwezi huu nchini Zimbabwe kwa...

READ MORE

Mapacha Walioacha Kuzungumza Kwa Miaka 20 Wajinyonga

  MAPACHA wawili wa kiume, David na Paul Mann (55) ambao waliacha kuzungumza kwa miaka 20 baada ya kugombana kuhusiana...

READ MORE

Baada ya kesi Kufutwa, Wakili wa Mobeto Afunguka, Asema Kesi Ipo Palepale (Video)

Muda mfupi baada ya Mahakama ya Hakimu wa Watoto Dar es Salaam iliyopo Kisutu, upande wa watoto kuitupilia mbali kesi...

READ MORE

Shigongo Atoa Somo kwa Wanavyuo na Vijana kwenye Victory Campus Night 2017 (Video + Picha)

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shogongo amehudhuria Tamasha la Campus Night lililowakutanisha wanafunzi wa vyuo na vijana...

READ MORE

Mwakyembe aunda kamati ya kusimamia maandalizi ya uenyeji wa michuano ya vijana 2019

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harryson Mwakyembe leo ametangaza majina wajumbe 25 wa Kamati ya Maandalizi kuelekea...

READ MORE

Watano Wafa ajalini Kwa Sadala-Kilimanjaro

Muda mfupi uliopita kumetokea ajali mbaya eneo la Kikavu -Kwa Sadala wilayani Hai, Kilimanjaro baada ya gari la maji ya...

READ MORE

WANNE MAHAKAMANI KWA KUMZOMEA MKE WA RAIS MUGABE!

Watu Wanne wamefikishwa mahakamani nchini Zimbabwe kwa kosa la kumzomea mke wa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, Bi Grace...

READ MORE

Mawakili Wasema ‘Puto’ La Seth Limemaliza Muda Wake (Video)

MAWAKILI wa bilionea Harbinder Singh Sethi, wameomba daktari maalumu wa mshitakiwa huyo kutoka Afrika Kusini, aweze kuja kumtibia juu ya...

READ MORE

Rais Magufuli na Museveni watoa maagizo kwa mawaziri wa nchi hizi mbili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni wawaagiza Mawaziri...

READ MORE

Zantel Yazindua Programu Ya ‘Graduate Sales Force Project’

Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel leo imezindua programu yake ya ‘Graduate Sales Force Project’ yenye lengo la kuwapa ujuzi wahitimu wa...

READ MORE

Madee Kiki Waachie Wasanii Wachanga!

HAMAD Ally ndilo jina lake, msela mmoja wa Manzese jijini Dar, ambaye kabla hajajiingiza katika muziki, hakukuwa na mtu anayemfahamu....

READ MORE

Uchizi wa Mobeto, Ukweli Waanikwa!

DAR ES SALAAM: Mwanadada ambaye jina lake kwa sasa kwenye ulimwengu wa mitindo lipo juu, Hamisa Mobeto, hivi karibuni amechukua...

READ MORE

Wauza Mbolea Bila Leseni Kufikishwa Mahakamani

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Udhibiti Mbolea Tanzania (TFRA), leo, Alhamis, Novemba 9, 2017, imetinga katika Soko Kuu la Kariakoo...

READ MORE

Ndalichako Atoa Majibu Utoaji wa Mikopo Kwa Wanafunzi wa Vyuo

LEO Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako amewasilisha kauli ya Serikali kuhusu udahili na utoaji wa mikopo kwa...

READ MORE

Mchakato Katiba Mpya, Watolewa Majibu na Waziri Mkuu

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema kuwa Changamoto za jamii ni nyingi kuliko mahitaji ya...

READ MORE

Sakata la Lissu na Ben Saanane Laibuka Upya Bungeni, Waziri Mkuu Atoa Tamko (Video)

  Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkutano wa Tisa leo umeendelea mjini Dodoma ambapo katika kipindi...

READ MORE

Kampuni ya BCX Yazindua ‘Uhuru Pay’

Dar es Salaam– Abiria wanaotumia usafiri wa daladala jijini Dar es Salaam sasa hawatosumbuka tena kuhusu kutembea na fedha taslim...

READ MORE