×

Habari

Msimamo wa Nape Nnauye Kuhusu Kuhama CCM

Mbunge wa Mtama kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema kwamba haamini katika masuala ya kuhama chama...

READ MORE

TRA YAWAFUNGIA MADUKA WANAODURUFU CD ZA WASANII

MAMLAKA ya mapato nchini (TRA) ikishirikiana na kampuni ya Msama Auction Mart ambao ni wasimamizi na wasambazaji wa kazi za...

READ MORE

Mshindi Wa Nyumba Aanika Ya Moyoni

MSHINDI wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, George Majaba wa Dodoma, ambaye alipokewa kifalme Jumanne iliyopita wakati...

READ MORE

ABB KUMALIZA TATIZO LA UMEME NCHINI

  Mradi mkubwa wa teknolojia ya kisasa ya kuongeza nguvu umeme unatarajiwa kuzinduliwa na kampuni ya kutengeneza tranfomer ya ABB...

READ MORE

MAJABA ALIVYOPOKELEWA KWENYE NYUMBA YAKE BUNJU B JIJINI DAR (Video)

Msafara wa magari ukiongozwa na pikipiki zaidi ya tano ulitokea makao makuu ya Global Group Sinza Mori Dar, huku Mshindi...

READ MORE

Mkurugenzi Mtendaji, Mkurugenzi Mkuu Wa Fedha Acacia Wajiuzulu

KAMPUNI ya Acacia imetoa taarifa ya mabadiliko  ya uongozi wake kupitia mtandao wake ambapo Mkurugenzi Mtendaji, Brad Gordon na Mkurugenzi...

READ MORE

Halotel Yazindua Huduma ya ‘Halostudy’

KAMPUNI Ya simu za mkononi ya Halotel leo imezindua huduma mpya ya kimasomo ijulikanayo kama ‘Halostudy’ itakayowawezesha wanafunzi nchini kusoma...

READ MORE

ULEGA ABAINI MCHEZO MCHAFU WA MADALALI KUTOROSHA MIFUGO TARIME

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewataka maofisa wa forodha ya Sirari wilayani Tarime kuongeza juhudi katika kulinda...

READ MORE

MSHINDI WA NYUMBA ATIKISA DAR, MAPOKEZI YAKE SI YA KITOTO

GEORGE Majaba, mshindi wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili,  Jumanne Oktoba 31, 2017 amewasili jijini Dar es...

READ MORE

Nyalandu: Ujasiri Ukaondoe Roho ya Woga, Upendo Uondoe Chuki

IKIWA ni siku mbili tangu ajiuzulu uanachama wa CCM na nyadhifa zote ndani ya chama hicho na kuomba kujiunga Chadema,...

READ MORE

Mahakama Yapokea Kielelezo cha Ukamataji Mali Nyumbani kwa Wema

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepokea kielelezo cha hati ya ukamataji mali nyumbani kwa Wema Sepetu anayekabiliwa na kesi ya...

READ MORE

Baada Kuteuliwa Kuwa Mkuu wa Mkoa, Mahakama Yamfutia Kesi Adam Malima

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia kesi ya kushambulia Naibu Waziri wa Fedha wa zamani, Adam Malima na dereva wake...

READ MORE

Maisha ya Dereva wa Mwalimu Nyerere Yanasikitisha! -Video

Mzee Nassoro Rajabu mwenye umri kati ya miaka 80 mpaka 85 ambaye alikuwa ni Dereva wa kwanza wa Rais wa...

READ MORE

TANZIA: DJ Juice Hatunaye, Azikwa Dar

Msiba! Mchezeshaji maarufu wa muziki nchini, DJ Juice ambaye jina lake halisi ni Hussein Juma Amani Misana, amefariki dunia juzi....

READ MORE

Maombi Yatikisa Nyumbani kwa Lulu

Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema...

READ MORE

Makandarasi Kukutana Dar Kwa Majadiliano Novemba 17

  CHAMA cha makandarasi nchini (Contractors Association of Tanzania – CAT) kinatarajiwa kufanya mkutano wa kitaifa kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Zitto: Nimeachiwa Huru, Naisubiri Serikali Mahakamani – Video

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameachiwa kwa dhamana leo Jumanne jioni baada ya kushikiliwa na polisi tangu alfajiri...

READ MORE

Zitto Akamtwa Tena, Ahamishiwa Kituo Cha Polisi Kamata – Video

KIONGOZI  wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe baada ya kukamatwa leo asubuhi nyumbani kwake kwenda  kuhojiwa katika kituo cha...

READ MORE

Akil The Brain Alamba Dili Specious Afrika

  MSANII aliyewahi kutamba na vibao vingi kwa staili ya Bhangra, Akil The Brain leo hii amelamba dili katika lebo...

READ MORE

Scorpion Akutwa na Kesi ya Kujibu Mahakamani

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemkuta mshtakiwa Salum Njwete, maarufu kwa jina la ‘Scorpion’ anayekabiliwa na shtaka la unyang’anyi wa...

READ MORE

Ndugai: Sijapata Barua ya Kujiuzulu kwa Nyalandu, Huo ni Umbea

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amesema kwamba hana taarifa za kujiuzulu kwa mbunge wa...

READ MORE

Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Majaba Kuingia Dar Leo

KIBABE! MSHINDI wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, George Majaba leo anatarajiwa kuingia jijini Dar es Salaam...

READ MORE

JPM Azindua Kiwanda cha Dawa, Atoa Wiki 2 kwa Wasioendeleza Viwanda – Video

RAIS John Magufuli ametoa wiki mbili (siku 14) kuaznia leo kwa wamiliki wa kiwanda cha nguo cha Mwatex cha jijini...

READ MORE

Meya Aliyekamatwa Mwanza Aomba Appointment na Rais Magufuli

Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza, James Bwire ameomba nafasi ya kukutana ana kwa ana  (appointment) na Rais Dkt. John...

READ MORE

Mwanza: Magufuli Amwaga Milioni 4 Hadharani, Azindua Kiwanda cha Plastiki

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli leo Oktoba 31, 2017 amezindua Kiwanda cha Victoria Moulders kilichopo eneo la Igogo jijini Mwanza...

READ MORE

Zitto Kabwe Akamatwa na Polisi Dar

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa nyumbani kwake...

READ MORE

Wanafunzi wa Vyuo Waliopata Mkopo Kwa Awamu Ya Tatu

UDSM Selections for Degree programmes-Batch 3 THIRD ROUND SELECTIONS THIRD ROUND MULTIPLE SELECTIONS – ALL CAMPUSES SJUT 3rd Selection for...

READ MORE

Waziri Ulega Awatuliza Wafugaji Ngorongoro

  Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewataka wafugaji wa Ololoso wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kuwa watulivu wakati...

READ MORE

MWAKIBINGA: ZITTO NI KAMA HARMORAPA – VIDEO

  KIJANA kutoka Kundi la Vijana Wazalendo nchini, James Mwakibinga, amekuja juu na kumshukia kiongozi wa Chama cha Act- Wazalendo,...

READ MORE

Ofisi ya Taifa ya Takwimu Yamjibu Zitto Kabwe

  OFISI ya Taifa ya Takwimimu (NBS) imesema kuwa taairifa zilizotolewa na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Zuberi Kabwe juu...

READ MORE

Lowassa Amkaribisha Lazaro Nyalandu Chadema

ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amemkaribisha aliyekuwa mbunge wa Jimbo la...

READ MORE

MWANZA: Mjane Amtolea Chozi Rais Magufuli – Video

Rais John Magufuli amewaaigiza Mkurugenzi Jiji la Mwanza, Mkuu wa Mkoa, John Mongella na Naibu Waziri wa Ardhi, Angelina mabula...

READ MORE

Meya wa Jiji la Mwanza Akamatwa na Polisi

TAARIFA zilizotufikia kwenye dawati letu la habari zinaeleza kuwa, Meya wa Jiji la Mwanza, James Bwire anashikiliwa na Polisi huku...

READ MORE

Zitto Kabwe Ampa Neno Nyalandu Baada ya Kuihama CCM

MBUNGE wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka na kumpongeza aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini Nyalandu...

READ MORE

Mwanza: JPM Azindua Kiwanda cha Sayona, Awaagizia Juice kwa Wafanyakazi Wote

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Oktoba 30, 2017 amezindua kiwanda kipya cha Sayona...

READ MORE

Breaking News: Nyalandu Ajiuzulu Ubunge, Ajivua Uanachama CCM, Kuhamia Chadema

Lazaro Nyalandu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amejiuzulu uanachama na vyeo vyote alivyokuwa...

READ MORE