×

Habari

UKATILI WALIOFANYIWA WATUMWA KUTOKA  AFRIKA HUKO AMERIKA

PICHA za kusikitisha zilizopigwa miaka zaidi ya 150 iliyopita zinaonyesha ukatili wa kutisha waliokuwa wanafanyiwa watumwa kutoka Afrika waliosombwa kupelekwa...

READ MORE

Kenya: Mahakama Kuu Yaingilia Kati Sakata la Odinga na Serikali

  Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kuwashwa kwa vituo vya habari vitatu binafsi na serikali na kuiagiza serikali kutoingilia utendaji...

READ MORE

Chadema Wapigwa Barua Uchaguzi Kinondoni – Video

Wakati kampeni za uchaguzi jimbo la Kinondoni zikiendelea, Chadema wamepewa barua mbili za malalamiko na msimamizi wa uchaguzi Wilaya ya...

READ MORE

JPM Awalipua Majaji ‘Wala Bata’, Atoa Maagizo Mazito

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amemwagiza Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamisi Juma kupitia Tume ya Utumishi wa Mahakama...

READ MORE

Aishtaki Serikali kwa Kumfunga Kizazi kwa Lazima

Mwanamke mmoja nchini Japan, ambaye alilazimishwa kufungwa kizazi miaka ya 1970 akiwa na umri wa miaka 15, ameishitaki serikali katika...

READ MORE

Breaking News: Mwanamuziki Mowzey Radio Amefariki Dunia

MWANAMUZIKI nyota nchini Uganda, Moses Ssekibogo maarufu kama Mowzery Radio, amefariki. Habari zilizothibitishwa na familia yake na mmoja wa mameneja...

READ MORE

BREAKING NEWS: KAMPUNI YA TTCL “YAFUTWA”

Kampuni ya Mawasiliano Tanzania ya (TTCL), sasa haipo tena, imebadilishwa na kuwa Shirika la (TTCL Corporation).   Akizungumza na waandishi...

READ MORE

INASIKITISHA! Binti Aliyekatwa Miguu, Amlilia Magufuli – Video

Binti Gladness Fidilish mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Mtaa wa Mji Mwema wilayani Nyamagana mkoani Mwanza, amemuomba Rais...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO ALHAMISI, FEB, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Feb 1, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

SIKU CHACHE KABLA YA KUOLEWA, MREMBO ANYONGWA GESTI

  NI tukio la kutisha! Wakati akiwa kwenye mipango kabambe ya kuolewa siku chache zijazo, mrembo aliyetajwa kwa jina la...

READ MORE

Mbunge na Mwanasheria Aliyemwapisha Odinga Atiwa Mbaroni

  JESHI la Polisi nchini Kenya, leo Januari 31, 2018 mchana limemtia mbaroni mbunge wa Jimbo la Ruaraka, Tom J...

READ MORE

GLOBAL HABARI: Bulaya, Zitto, Walivyoushambulia Muswaada wa Hifadhi ya Jamii

Serikali imewasilisha muswada wa mfuko wa serikali wa hifadhi za jamii kwa watumishi wa umma wa mwaka 2018 (The Public...

READ MORE

SISTER FAY AWAKUMBUKA WATOTO YATIMA

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Faidha Omary leo aliwakumbuka watoto yatima wanaolelewa katika Kituo cha Al-Madina Children Home kilichopo...

READ MORE

WAIGIZAJI WATOA MSAADA WA 30M/= HOSPITALI MWANANYAMALA

Mstahihi Meya wa Wilaya ya Kinondoni, Benjamin Sitta, akikabidhiwa orodha ya vifaa vilivyotolewa msaada katika Hospitali ya Mwananyamala leo kwa...

READ MORE

JPM Amjulia Hali Mzee Majuto Hospitalini, Afunguka Alivyomtabiria Makubwa

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemtembelea muigizaji mkongwe, Mzee Majuto katika hospitali ya Tumaini...

READ MORE

AIBU YA MWAKA..! WANASWA LIVE WAKIFANYA UFUSKA KAZINI!

  NI aibu kubwa! Tangu kuanza kwa mwaka 2018, yapo yaliyotokea na kusisimua, lakini hili la mrembo kunaswa na mwanaume...

READ MORE

TAMISEMI Yaagiza Shule Ichunguzwe Baada ya Wanafunzi Wote Kupata 0

  WIZARA ya Ofisi ya Rais –Tamisemi kupitia kwa Naibu Wairi wake, Joseph Kakunda imemuagiza mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya...

READ MORE

Serikali Kenya Yamlinganisha Odinga na Alshabaab, Al Qaeda

Serikali ya Kenya kupitia kwa Waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i,  imelipiga marufuku kundi la National Resistance Movement (NRM) lililo...

READ MORE

NABII ASIMULIA ALIVYOTEKWA NA WASIOJULIKANA

  Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Jerusalem lililopo Kitunda jijini Dar, Nabii James Nyakia amesimulia alivyonusa kifo baada ya kutekwa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AMWAGA MABILIONI UHAMIAJI – VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, leo amezindua hati mpya za kusafiria za kielektroniki, tukio...

READ MORE

Tazama Matokeo ya Kidato Cha Nne 2017, Yapo Hapa

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), latangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017, ambapo ufaulu umepanda kwa asilimia 7.22...

READ MORE

Wanafunzi 10 Bora Na Wasichana 10 Bora Kitaifa, Kidato Cha Nne 2017, Wapo Hapa

Baraza la Mitihani Tanzania limetangaza matokeo ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 2017 ambapo jumla ya watahiniwa 385,767 walisajiliwa kufanya...

READ MORE

Mkuu wa Marian Girls, Vinara Matokeo Kidato cha Nne Anena

IKIWA ni saa chache baada ya Katibu Mkuu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde...

READ MORE

Huyu Ndiye kinara wa Matokeo Kidato cha Nne

  BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017, ambapo ufaulu umepanda kwa asilimia...

READ MORE

WAUMINI KICHANGANI WAOMBOLEZA MJENZI WA MSIKITI

WAISLAM  wa Kichangani,  Magomeni Mapipa, Dar es Salaam,  jana walimiminika katika msikitI wa Kichangani katika sala ya kumwombea marehemu Sheikha...

READ MORE

Bungeni, Dodoma: Chenge Awatibua Upinzani, Wasusa

  IKIWA ni kikao cha kwanza cha mkutano wa 10 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Raila Odinga Ajiapisha Kuwa ‘Rais wa Wananchi wa Kenya’

KIONGOZI wa upinzani Raila Odinga (NASA) ameapishwa kuwa ‘Rais wa Wananchi’ wa Kenya licha ya kugomea uchaguzi mkuu wa marudio...

READ MORE

Kisa Odinga, Vituo Vikubwa vya Habari Vyafungiwa Kenya

  BAADHI ya vituo vikubwa vya redio na televisheni vya Royal Media Services (RMS), vikiwemo runinga ya Citizen TV, vimefungiwa...

READ MORE

KISUTU: Yaliyojiri Kortini Kesi ya Jamii Media

KESI namba 457 ya Jamhuri dhidi ya JamiiForums (inayohusu Kampuni za CUSNA Investment & Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi katika...

READ MORE

LIVE UPDATES: Hali Ilivyo Kenya, ‘Raila Odinga Akijiapisha Kuwa Rais’

 NAIROBI: Hali ya wasiwasi imetanda nchini Kenya baada ya kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo Bwana Raila Odinga, kushikilia...

READ MORE

BREAKING NEWS: NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE – Video

Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Januari 30, 2018, limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE)...

READ MORE

Kwenye Kampeni, Tuepuke Kauli Mbaya,Uchochezi

KWANZA kabisa naomba mimi na wewe msomaji wangu tumshukuru Mungu kwa kutufanya leo tuwe tunapumua. Mimi nina afya njema hakika...

READ MORE

Si Kweli Kwamba Kinyonga Huwa Anapasuka Ili Kuzaa

 WIKI hii kwenye Ndondoo za Mnyama ninamzungumzia kinyonga ambaye wengi wanamfahamu kutokana na sifa yake ya kubadilikabadilika rangi na mwendo...

READ MORE

Ajali Mbaya: Basi Lenye Abiria Lateketea

  ABIRIA waliokuwa wakisafiri na basi la kampuni ya Tahmeed wamenusurika kupoteza maisha baada ya basi hilo aina ya Yutong kuteketea moto leo mchana...

READ MORE

Makonda Aanza Kusikiliza Kero za Waliodhulumiwa Nyumba – Video

MKUU wa Mkoa wa Dares Salaam, Paul Makonda, leo ameanza kusikiliza kero mbalimbali zinazohusu masuala ya migogoro ya ardhi  na...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Akutana na Dkt. Slaa Ikulu -Video

  RAIS Dkt. John Magufuli amempongeza Balozi mteule Dkt. Wilbrod Slaa kwa moyo wake wa kizalendo wa kukubali kwenda kuiwakilisha...

READ MORE