×

Habari

Breaking News: Profesa Kitila Mkumbo Arejea Rasmi CCM

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Martha Mlata (Mb) leo amemtangaza Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji...

READ MORE

Mhasibu Takukuru Akutwa na Mashtaka 44 (Video)

  Mhasibu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Godfrey Lugai, jana amefikishwa katika Mahakama ya...

READ MORE

Video: Dkt. Louis Shika Asimulia Maisha Yake – 2

BAADA ya kuwatoroka watekaji wangu, nikakutana na watu walionisaidia na kunipeleka polisi ambao walinipeleka hospitali.  Polisi walifanya kila juhudi kuitafuta...

READ MORE

Waziri Mkuu Ajibu Maswali ya Papo Kwa Papo Bungeni leo …Tazama Video

WAZIRI MKUU wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kukamilisha zoezi la uwekaji wa alama za mipaka...

READ MORE

Live Updates: Hatma Ya Rais Robert Mugabe Bado Haijulikani Zimbabwe

Rais Robert Mugabe bado yuko katika kuzuizi cha nyumbani na hatma yake haijulikani. Alipo mke wake Grace, ambaye alikuwa na...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani Morgan Tsvangirai Arejea Harare

Kiongozi wa chama cha upinzani cha Movement for Democratic Change (MDC) Morgan Tsvangirai amerejea nchini Zimbabwe. Bw Tsvangirai amekwua akipokea...

READ MORE

Uwoya, Ndikumana Walivyopatanishwa Na Global (Tujikumbushe)

  “OYA, acheni mambo yenu, gari liko tayari na dereva anawasubiri nyie tu, tuokoeni muda ili tuweze kufanya majukumu mengine,”...

READ MORE

BREAKING NEWS: 17 WAOKOLEWA KUZAMA ZIWA VICTORIA

  Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama katika Ziwa Victoria. Jeshi la Polisi linaendelea kufuatilia kubaini...

READ MORE

Ester Kiama Mapedeshee Wamekuwa Zilipendwa!

MSANII anayekuja vizuri kupitia tansia ya filamu Bongo Ester Kiama amefunguka kuwa, wale waliokuwa wakijinasibu kuwa ni mapedeshee na kuwarubuni...

READ MORE

Breaking News: Mhasibu Mkuu wa Takukuru Afikishwa Mahakamani

  MHASIBU wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Godfrey Gugai,  anayedaiwa kumiliki mali nyingi kuliko kipato chake,...

READ MORE

Mume wa Uwoya Azikwa Nchini Rwanda, Mamia Wajitokeza Kumzika

Wachezaji wa timu ya Rayon Sports Ismailla Diarra (kushoto) na Tidiane Kone (kulia),wakiwa wamebeba mwili wa marehemu  Hamadi  Ndikumana Katauti...

READ MORE

Jeshi la Zimbabwe: Tunawalenga Wahalifu Si Mugabe

  Jeshi  la Zimbabwe limesoma taarifa kwenye kituo cha runinga cha serikali ZBC, likisema kuwa linachukua hatua ya kuwalenga wahalifu...

READ MORE

Rais Magufuli Aagiza Makao Makuu ya TANESCO Kubomolewa

#BREAKING Rais Magufuli baada ya kutoka Airport leo akitokea kijijini Chato Geita amekagua Fly Over TAZARA na kupita pia Ubungo...

READ MORE

Lulu Aibua Balaa Gerezani, Mastaa ni Vilio Tu

  Habari kubwa iliyojiri mapema wiki hii ni kuhusu hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela inayomhusu staa ‘grade one’...

READ MORE

Mtoto wa Chacha Wangwe Anusurika Kifungo, Alipa Faini (Video)

MAHAKAMA ya Kisutu imemhukumu Bobo b Chacha Wangwe kwenda jela mwaka mmoja na nusu au kulipa faini ya Sh. Milioni...

READ MORE

Kinachoendelea Msiba wa Ndikumana Nyumbani Kwa Uwoya (Pichaz + Video)

MASTAA na watu mbalimbali wanaendelea kufika nyumbani kwa mwigizaji wa filamu Irene Uwoya, Sinza-Mori, jijini Dar es Salaam kuwafariji wafiwa...

READ MORE

Mzee wa ‘900 Itapendeza’ Atinga Global, Afunguka Mazito

  Dkt. Louis Shika, aliyejipatia umaarufu mkubwa baada ya kuibuka mshindi wa mnada wa nyumba tatu za kifahari za bilionea...

READ MORE

Vodacom Yaanza Na Ukuwaji Mzuri Nusu Ya Kwanza Ya Mwaka

Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC (“Vodacom”) leo imetangaza matokeo ya hesabu zake kwa kipindi cha nusu ya mwaka ulioishia Septemba...

READ MORE

‘Dk Cheni’ Awafungukia Wanaosema Hukumu ya Lulu Haitoshi

MSANII mkongwe katika tasnia ya maigizo Bongo na mshereheshaji (MC), Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ ambaye ni mlezi wa mwigizaji Elizabeth...

READ MORE

Lawrence Masha Ajiondoa Chadema

ALIYEKUWA mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lawrence Masha, leo amejiondoa katika chama hicho na amesema atatafakari mustakabali...

READ MORE

‘BILIONEA’ WA MAJUMBA YA LUGUMI AJIDHAMINI

ALIYEKUWA anajulikanakama bilionea mwenye kununua nyumba za Lugumi kwenye mnada, Lous Shika, ameachiwa na jeshila polisi lililokuwa linamshikilia kwa tuhuma...

READ MORE

MAMA AELEZEA MWANAYE ALIYEZAMA CHOONI, MKONO UKIJITOKEZA JUU

  ROSINA KOMAPE  aliwatia huzuni watu waliokuwa mahakamani alipokuwa akilia kuomboleza kifo cha mwanaye wa kiume, Michael Komape, aliyetumbukia katika...

READ MORE

Mhasibu Takukuru Atoroka, Atakayempata Kuzadiwa Mil 10 (Video)

  NAIBU Mkurugenzi Mkuu  wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru – PCCB), Brigedia Jenerali John Julius Mbungo...

READ MORE

Nyalandu Amjibu Waziri wa Maliasili na Utalii Kigwangalla

Saa chache baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuliagiza Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kupambana...

READ MORE

Idris Akumbukia Maisha ya Kanumba, Ampa Pole Mama Yake

  MCHEKESHAJI na mshindi wa Big Brother Africa, Idris Sultan, ametoa pole kwa mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa,...

READ MORE

Kibatala: Lulu Anaweza Kupata Dhamana Akisubiri Rufaa Kusikilizwa

WAKILI wa Elizabeth Michael ‘Lulu’, Peter Kibatala, kufuatia hukumu ya miaka miwili dhidi ya Lulu jana, ametoa ufafanuzi kupitia akaunti...

READ MORE

A-Z Safari Ya Lulu Kutoka Uraiani Kwenda Gerezani (Pichaz + Video)

Mwigizaji wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ (kulia) akiongea neno na Muna Alphonce nje ya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Kigwangalla Amelitaka Jeshi la Polisi na TAKUKURU Kumchunguza Nyalandu (Video)

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla amelitaka jeshi la polisi na TAKUKURU kumchunguza aliyekuwa waziri wa wizara hiyo...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa Dar Amtia Moyo Lulu!

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  leo ameposti kupitia account yake ya Instagram ujumbe wa kumpa moyo...

READ MORE

Ndevu za Prince Harry Zashutumiwa Kwenye Hafla Ya Kijeshi

  PRINCE Harry ambaye ni mtoto wa Prince Charles na mjukuu wa Malkia Elizabeth wa Uingereza, yuko katika misukosuko kwa...

READ MORE

Baba Kanumba Alalamikia Hukumu ‘Ndogo’ Dhidi ya Lulu

BAADA ya Mahakama Kuu kumhukumu mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenda jela miaka miwili kwa kumuua bila kukusudia aliyekuwa mwigizaji Steven...

READ MORE

Mwalimu Matatani Kumwita Mwanafunzi Msichana Wakati ni Mvulana

  MWALIMU Joshua Sutcliffe wa Oxfordshire, Uingereza, ameingia matatani baada ya kusimamishwa kazi kwa kumwita kwa ‘bahati mbaya’ mwanafunzi wa...

READ MORE

Mwandishi Mmarekani Akamatwa, Adaiwa Kumtusi Rais Mugabe

    MWANDISHI wa Marekani, Martha O’Dovovan, hivi majuzi alikamatwa na kufikishwa mahakamani mwanzoni mwa mwezi huu nchini Zimbabwe kwa...

READ MORE

Mapacha Walioacha Kuzungumza Kwa Miaka 20 Wajinyonga

  MAPACHA wawili wa kiume, David na Paul Mann (55) ambao waliacha kuzungumza kwa miaka 20 baada ya kugombana kuhusiana...

READ MORE

Baada ya kesi Kufutwa, Wakili wa Mobeto Afunguka, Asema Kesi Ipo Palepale (Video)

Muda mfupi baada ya Mahakama ya Hakimu wa Watoto Dar es Salaam iliyopo Kisutu, upande wa watoto kuitupilia mbali kesi...

READ MORE

Shigongo Atoa Somo kwa Wanavyuo na Vijana kwenye Victory Campus Night 2017 (Video + Picha)

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shogongo amehudhuria Tamasha la Campus Night lililowakutanisha wanafunzi wa vyuo na vijana...

READ MORE

Mwakyembe aunda kamati ya kusimamia maandalizi ya uenyeji wa michuano ya vijana 2019

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harryson Mwakyembe leo ametangaza majina wajumbe 25 wa Kamati ya Maandalizi kuelekea...

READ MORE

Watano Wafa ajalini Kwa Sadala-Kilimanjaro

Muda mfupi uliopita kumetokea ajali mbaya eneo la Kikavu -Kwa Sadala wilayani Hai, Kilimanjaro baada ya gari la maji ya...

READ MORE