×

Habari

Breaking News: Polisi Dar Yakamata Silaha Nzito – Video

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata silaha mbalimbali zikiwemo bunduki kubwa, bastola na vifaa vingine vya...

READ MORE

Breaking: Mbunge Sugu Anyimwa Dhamana, Apelekwa Mahabusu Gerezani

  MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi amepelekwa mahabusu katika Gereza la Ruanda mkoani Mbeya baada ya kukosa dhamana katika...

READ MORE

Muonekano wa Kituo cha Kisasa cha Mabasi Dodoma Mjini – Pichaz

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Ujenzi imejipanga kuanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo...

READ MORE

Lowassa Afunguka Kilichompeleka Kwa JPM Ikulu

Mnano Januari 9, 2018 nilipokea mwaliko kutoka kwa Rais John Pombe Magufuli akiomba kwenda kukutana nae Ikulu siku hiyohiyo kwa...

READ MORE

TUTAKAMILISHA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA MUSOMA -MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Gaudencia Kabaka baada ya kuwasili kwenye uwanja...

READ MORE

Uamuzi wa Serikali Kuhusu Adhabu kwa Gazeti la Nipashe Jumapili

Serikali imeridhia kampuni ya IPP Media kusitisha uchapishaji wa gazeti la Nipashe Jumapili kwa miezi mitatu na kuomba radhi binafsi...

READ MORE

JPM Awalilia 11 Waliokufa Ajalini Kagera

Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salam za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu...

READ MORE

MAJESHI YA TANZANIA NA MSUMBIJI YAUNGANA KULINDA AMANI

MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, Simon Sirro na Mkuu wa Jeshi la Polisi Msumbiji, Bernadino Rafael, leo Jumatatu wametiliana...

READ MORE

LISSU KUSHTAKIWA MAHAKAMA YA KIMATAIFA (THE HEQUE)

  CYPRIAN Mujura ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa CZ Information & Media Consulotant LTD, leo kautaarifu umma kuwa kupitia wanasheria...

READ MORE

KAGERA: Ajali ya Gari Yaua 11 na Kujeruhi Watano

AJALI mbaya ya gari dogo aina ya Nissan Caravan (Hiace) lenye namba za usajili T 542 DKE ambalo limegonga magari...

READ MORE

RC Makonda Apiga Stop Mnada wa Nyumba ya Mjane – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameagiza mjane Bernadetha Ryewendera mkazi wa Tegeta, Mtaa wa Upendo asibughudhiwe,...

READ MORE

TANZIA: MWANZILISHI WA ULINZI NA USALAMA SECURITY AFARIKI DUNIA

Mwanzilishi wa group linalojulikana kwa jina ULINZI NA USALAMA SECURITY, Yona Fares amefariki dunia jana Jumapili. Yona alikuwa maarufu mitandaoni...

READ MORE

BAVICHA KUHAMASISHA VIJANA NCHI NZIMA

  BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) limedhamiria kuzunguka nchi nzima kuwahamasisha vijana kudai uhuru wa...

READ MORE

Mzee Majuto Ampa Tano Ngubilu

KOMEDIANI lejendari Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amesema kuwa mwaka 2018 ameibuka kivingine baada ya kujikita kwenye sinema za action...

READ MORE

Rais Wa Rwanda Paul Kagame Amewasili Nchini Na Kupokelewa Na Rais Magufuli

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amewasili  nchini leo Jumapili, Januari 14 kwa ziara ya siku moja. Rais Kagame aliyepokewa na...

READ MORE

CCM YASHINDA KWA KISHINDO SINGIDA, SONGEA NA LONGIDO

KATIKA uchaguzi wa marudio uliofanyika jana nchini katika majimbo matatu ya ubunge, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea  katika majimbo...

READ MORE

Matokeo Ya Uchaguzi Mdogo Wa Udiwani Kata Ya Kimandolu, Arusha

Matokeo Ya Uchaguzi Mdogo Wa Udiwani Kata Ya Kimandolu – Arusha Uliofanyika Leo Tarehe 13/01/2018. Waliojiandikisha Ni 16,091 Kura Zilizopigwa...

READ MORE

Breaking News: Damas Ndumbaro Ashinda Ubunge Songea

MGOMBEA Ubunge jimbo la Songea Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dr. Damas Ndumbaro ameshinda Uchaguzi kwa kupata kura 45162...

READ MORE

Breaking News: Kiwanda cha Bora Kimeteketea Kwa Moto Usiku Huu (Video, Audio na Pichaz)

Listen to Kiwanda cha Bora Kimeteketea Kwa Moto byNicolaus Trac on hearthis.at KIWANDA cha kutengeneza viatu cha Bora kinachotengeneza viatu...

READ MORE

Picha za Mazishi ya Mama Kibatala Morogoro

                      PICHA NA CHADEMA MEDIA

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFUNGA HOJA YA MIAKA SABA YA URAIS – VIDEO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo...

READ MORE

Samatta Aondoka na TECNO CX Mpya ya Global Insta

KAMPUNI YA Global Publishers kupitia shindano lake la Global Insta imemkabidhi zawadi Baraka Michael (brity59) ambaye ni mshindi wa Simu...

READ MORE

NISHATI JIRIDHISHENI NA UBORA WA VIFAA-MAJALIWA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Nishati ijiridhishe na ubora wa vifaa vinavyotumiwa na wakandarasi katika miradi ya...

READ MORE

Simanzi na Majonzi Kuagwa kwa Mama Kibatala

SIMANZI na majonzi vimetawala wakati wa misa ya kumuombea marehemu Anastazia Mayunga ambaye ni Mama wa Mkurugenzi wa Sheria na...

READ MORE

Kisa Obama, Trump Agoma Kuzindua Ubalozi Wake Uingereza

Rais wa Marekani, Donald John Trump amekataa safari yake ya kwenda nchini Uingereza ambapo mbali na mambo menginine ambayo angefanya,...

READ MORE

Siku Nne Baada ya Lowassa Kutinga Ikulu, Kamati Kuu Chadema Yakutana

KAMATII Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inakutana leo Jumamosi, Januari 13 ikiwa ni siku nne tangu Edward...

READ MORE

Botswana Wamvaa Trump Kwa ‘Kuzitusi’ Nchi za Afrika

SERIKALI ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani, Donald John trump kwa matamshi yake kuwa Mataifa ya Afrika ni “machafu” na...

READ MORE

Air Tanzania Inavyoipeleka Nchi Kwenye Uchumi wa Kati

WAKATI Tanzania ikiwa katika harakati za kuingia katika uchumi wa kati, ni muhimu pia kwa wananchi kushiriki katika dhamira hiyo...

READ MORE

Airtel Waijibu Serikali Kuhusu Sakata la Ubinafsishaji wa TTCL

Statement from Bharti Airtel: We have noted with concern the statement made by the Hon’ble Finance Minister on Jan 11,...

READ MORE

Mrema Awafikisha Polisi Waliomzushia Kifo

MWENYEKITI wa Bodi ya Parole, Augustine Mrema amefika kituo cha polisi cha OysterBay kuripoti tukio la kuzushiwa kifo kupitia mitandao...

READ MORE

KAMANDA SIRRO ATAKA WANANCHI WAHESHIMIWE

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Simon Sirro  alipozungumza jana na askari wa vikosi vya Mjini Magharibi, Kusini Unguja na...

READ MORE

Picha za Matukio: Sherehe ya Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar

               

READ MORE

Huyu Guardiola Anatisha!

KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi...

READ MORE