×

Habari

TAHARUKI, MWILI ULIOZIKWA JULAI WAFUKULIWA SEPTEMBA

  KILIMANJARO: Taharuki! Hivi ndivyo unavyoweza kusema kufuatia umati mkubwa wa watu kujitokeza jana wakati polisi walipoongoza ufukuaji wa kaburi...

READ MORE

Kiba King Anatembea Njia za Darassa?

SEDUCE ME, ndiyo habari ya mjini, hili halina ubishi. Kwamba King Kiba, amerejea kwenye ubora wake wa enzi baada ya...

READ MORE

Tatizo la Nguvu za Kiume Lazua Mjadala Bungeni

SWALI la Mbunge wa Konde (CUF), Khatib Said Haji kuhusu upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume nchini,  limewaibua wabunge...

READ MORE

Acacia Yaanza Kukabidhi Mgodi wa Buzwagi kwa Serikali

BAADA ya Acacia kutangaza kupunguza operesheni zake Bulyanhulu, kampuni hiyo imeanza kuikabidhi Serikali baadhi ya mali zake kwenye Mgodi wa...

READ MORE

Arusha: Miili ya Watoto Wawili Yaopolewa Shimoni

SAKATA la kutekwa kwa watoto wawili jijini hapa limechukua sura mpya baada ya jana miili miwili ya watoto kuopolewa shimoni...

READ MORE

BREAKING NEWS: Viongozi Wanne wa CUF Wamefariki Kwenye

VIONGOZI wanne wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaomuunga mkono mwenyekiti wa chama hicho anayetambulika na Msajili wa Vyama, Prof. Ibrahim...

READ MORE

Harmorapa Kujifunza Kingereza kwa Mr. English

BWA’MDOGO asiyekaukiwa matukio, Harmorapa anatarajia kuanza kujinoa katika suala zima la Lugha ya Kingereza kwa mtaalam wa kufundisha lugha hiyo,...

READ MORE

MAPUTO KWENYE TUMBO LA SETH WA ESCROW, SIRI NZITO YAFICHUKA!

  BAADA ya Wakili Joseph Makandege anayemtetea mtuhumiwa wa uhujumu uchumi, Harbinder Singh Seth kuiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

READ MORE

Tambwe na Chirwa Waenguliwa Kikosini Yanga -Video

WASHAMBULIAJI wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe na Mzambia, Obrey Chirwa hawatasafiri kwa ajili ya mchezo dhidi ya Njombe Mji mwishoni...

READ MORE

Odinga Apinga Tarehe Mpya ya Uchaguzi Kenya

KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga ametangaza kuwa hayuko tayari kushiriki marudio ya uchaguzi mkuu wa urais nchini humo....

READ MORE

Hashim Rungwe Ashikiliwa na Polisi Dar

ALIYEKUWA mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Hashim Rungwe Spunda anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa siku nne...

READ MORE

Mwakyembe Aongoza Mazishi ya Rweyemamu

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harisson Mwakyembe leo aliongoza mazishi ya aliyekuwa mwanahabari nguli nchini, Muhingo Rweyemamu...

READ MORE

LIVE: Aliyeibiwa Mtoto wa Miaka 2 Ampata Akiwa na Miaka 15, DNA Utata

MAMA Shamim Juma mkazi wa Dar es Salaam ambaye ni mwenyeji wa mkoani Mwanza anadai kuwa aliibiwa mwanaye wa miaka...

READ MORE

‘Mpemba wa Magufuli’ Kupelekwa Mahakama ya Mafisadi

HATI ya mashtaka ya kesi ya kujihusisha na biashara ya meno ya tembo inayowakabili mfanyabiashara Yusuf Ally maarufu kama ‘Mpemba...

READ MORE

WINGA AZAM FC NJE KWA MIEZI MINNE

WINGA wa Azam FC, Joseph Kimwaga, anatarajia kukaa nje ya dimba kwa muda miezi minne baada ya kubainika ya kuwa...

READ MORE

Polisi Yamkabidhi Manji Kwa Mahakama Ya Kisutu

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam leo limemkabidhi mfanyabiashara, Yusuf Manji na wenzake kwa Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Mwili wa Aliyekuwa DC wa Handeni, Muhingo Rweyemamu Waagwa

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga na mwandishi wa habari, Muhingo Rweyemamu aliyefariki dunia Jumamosi iliyopita, Septemba...

READ MORE

Wahindi Wekundu; Wanaotembea Bila Nguo, Walaji Wa Nyani!-3

KATIKA mfululizo wa makala za safu hii, naendelea kukuletea Wahindi Wekundu wa Kabila la Huarorani, hawa wanaishi kwenye misitu ya...

READ MORE

Mastaa wa Soka, Bongo Movie Waifungukia Sokabet

KAMPUNI ya Mchezo wa Kubahatisha ya Sokabet, jana Jumatatu ilifanya uzinduzi wake rasmi katika Hoteli ya Protea jijini Dar es...

READ MORE

Wabunge wa Upinzani Wasusa Bungeni na Kutoka Nje

WABUNGE wa Kambi ya Upinzani Bungeni wamesusia kuapishwa kwa wabunge saba Viti Maalumu wa Chama cha Wananchi (CUF) katika mkutano...

READ MORE

TRA Yafafanua Deni la Trilioni 424 Inazoidai Acacia

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa deni la Tsh 424 trilioni inayoidai Migodi ya Bulyanhulu  Gold Mine (BGML) na...

READ MORE

NECTA Kuvifuta Vituo vya Mitihani Vitakavyofanya Udanganyifu

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limetishia kuvifutia usajili vituo vyote vya kufanyia mitihani ya Darasa la Saba inayotarajiwa kufanyika kesho...

READ MORE

DENTI ACHARANGA WATU VISU MTAANI!

MWANAFUNZI wa kidato cha pili katika shule moja ya sekondari Wilaya ya Kinondoni jijini, Samuel Wilson, Jumanne iliyopita, saa mbili...

READ MORE

LIVE Yanayojiri Bungeni Leo, Wabunge Wapya CUF Waapishwa

MKUTANO wa nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza leo Jumanne Septemba 5, 2017 ambapo katika kikao...

READ MORE

Ripoti Ya Makinikia Almasi, Tanzanite Bungeni Kesho

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, kesho anatarajiwa kukabidhiwa taarifa za kamati mbili zilizoundwa na Bunge katika Mkutano wa Saba wa Bunge...

READ MORE

MASHA: NAKUBALIANA NA KATIBA ILIYOPO

  KADA mkubwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Lawrence Masha amesema hana shida kabisa na Katiba ya...

READ MORE

Askari ya FFU Mbaroni Sakata la Utekaji Watoto

WAKATI mtuhumiwa wa matukio ya utekaji watoto, Samsom Petro (18), ambaye jana alifikishwa Arusha kwa ajili ya kuonyesha sehemu alipowaficha...

READ MORE

RAILA ODINGA AMWITA KIBA KENYA, ATUMIWA NDEGE BINAFSI

DAR ES SALAAM: Upepo mwanana bado unaendelea kumpuliza, staa namba moja wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ baada...

READ MORE

Wolper Avunja Kiapo Alichokula

MKALI kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Jacqueline Wolper amevunja kiapo alichokula kwamba kamwe hatamwanika mpenzi wake kwenye mitandao baada ya...

READ MORE

Tazama Kijana Anavyotafuna Chupa ya Soda na Viwembe (Video)

UNAWEZA usiamini ila ukweli mzima upo hapa live kazi ni kwako ujionee live kijana Amosi ‘Viwembe’ akitafuna live chupa ya...

READ MORE

TMA watoa utabiri wa hali ya hewa kwa Oktoba hadi Disemba

  Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa hali ya hewa kwa kipindi cha mwezi Oktoba hadi...

READ MORE

Lissu Apanda Kortini Kesi ya ‘Dikteta Uchwara’

MBUNGE wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Tundu Antipas Lissu leo Septemba 4, 2017 amefika...

READ MORE

Wafanyakazi Kampuni ya China ya Anhui Dar Wagoma

WAFANYAKAZI wa kampuni ya China ya Anhui Foreign Economic Construction Group Co. Ltd wanaojenga jengo moja mkabala na Ukumbi wa...

READ MORE

Shilole Adaiwa Kubondwa na Mchumba Wake

MKALI wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Zuwena Mohamed ‘Shilole au Shishi Baby’ anadaiwa kubondwa na mpenzi wake wa sasa...

READ MORE

‘Kinachomtesa Chid ni hiki!’

MTAALAM wa saikolojia, Mkang’u Lyadunda amesema kinachomtesa staa wa Hip Hop, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ ni kutopata tiba sahihi baada...

READ MORE

Mwijage Asema India Imeahidi Kuja Kuwekeza Tanzania

WAZIRI wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, leo amezungumzia ziara yake ya hivi karibuni nchini India ambapo alikwenda kwa...

READ MORE

Mahakama Yaruhusu Manji Akahojiwe Polisi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo September 4, 2017, imeruhusu mfanyabiashara Yusuf Manji na wenzake wahojiwe na Jeshi la Polisi ili...

READ MORE

Majimaji Yalamba Sh Milioni 150 za Udhamini Kutoka Sokabet

KAMPUNI ya Mchezo wa Kubashiri ya Sokabet, imezinduliwa rasmi leo Jumatatu, Septemba 4, 2017 katika Hoteli ya Protea jijini Dar...

READ MORE