×

Habari

Waheshimiwa Ummy na Ndugulile, Tekelezeni Alichokiagiza Mheshimiwa Rais Juu ya Aga-Khan

MOYO wangu uli­jaa hamu kubwa ya kufikisha ujumbe kwa Mtukufu Aga- Khan, tena mbele ya Mhesh­imiwa Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Rais Magufuli Kuwatunuku Waliofanikisha Uchunguzi wa Makinikia

IKULU: Rais Magufuli leo anatarajia kuwatunuku vyeti wote waliofanikisha uchunguzi wa makinikia na kufikiwa makubaliano kati ya serikali na Kampuni...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu, Oktoba 23, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Oktoba 23, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Tundu Lissu: Watanzania Wajiandae Kunipokea

  Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia tiketi ya Chadema, Joseph Mbilinyi,  amesema ameagizwa na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ...

READ MORE

Mwalimu Adaiwa Kujiua Kwa Kujikata Koromeo Rukwa

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Mtenga wilayani Nkasi, Leonard Mwipugi (29) anadaiwa kujiua kwa kujikata koromeo akiwa nyumbani kwake.  ...

READ MORE

Wajumbe Saba wa ACACIA Kuamua Kulipa Sh Bilioni 700

HATIMA ya maridhiano katika maeneo 14 kati ya Serikali na Kampuni ya Kimataifa ya Uchimbaji wa Madini ya Barrick Gold,...

READ MORE

Msigwa Aeleza Anavyosuka Mpango Wa Kumuondoa Spika

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameelezea jinsi anavyosuka mpango wa kumng’oa Spika wa Bunge, Job Ndugai. Msigwa...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Amteua Janeth Masaburi Kuwa Mbunge

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bi.Janeth Masaburi kuwa Mbunge wa Bunge la...

READ MORE

Kifo Tata cha Mtoto wa Sokoine, Azikwa Kwao Monduli

MTOTO mwisho wa waziri mkuu wa zamani, hayati Edward Sokoine, Tumaini Sokoine amezikwa leo Jumamosi nyumbani kwao Monduli Juu  mkoani...

READ MORE

Mganga Mbaroni kwa Kunajisi Watoto 14

JESHI la Polisi mkoani Singida linamshikilia mganga wa kienyeji mkazi wa mtaa wa Minga, Daud Idd (74), kwa tuhuma ya...

READ MORE

Breaking News: Zitto Afunguka Makubaliano ya Serikali na Barrick – Video

MBUNGE wa Kigoma Mjini, Zitto Zuberi Kabwe, amefungukia madai ya kuitwa kibaraka wa wazungu kwenye sakata la makinikia, ambapo amesema...

READ MORE

Aliyedaiwa Kubeba Mimba ya Kiba Afunguka Live

DAR ES SALAAM: BAADA ya picha na habari kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba ana ujauzito wa staa wa muziki...

READ MORE

Mbasha Aibuka na Kiki ya Mchumba

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili Bongo, Emmanuel Mbasha ameibuka na kiki ya aina yake tofauti na mastaa wengine baada ya...

READ MORE

Zitto Afunguka Kuitwa Kibaraka wa Wazungu Ishu ya Madini, Mwigamba Kuhamia CCM

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuber Kabwe amesema kwamba wanachama waliokihama chama hicho walikuwa na mlengo wa kutokuhitaji chama...

READ MORE

Acacia Wasema Hawawezi Kulipa Dola Mil.300 kwa Serikali ya Tanzania

KAMPUNI ya uchimbaji madini, Acacia (Acacia Mining) imefunguka na kusema kuwa haina uwezo wa kulipa dollar milioni 300 kwa serikali...

READ MORE

Buku ya Sokabet Yampa Milioni 2 Fundi Magari

MKAZI wa Mikumi mkoani Morogoro, Frank Chodaus amekuwa ni mmoja wa wanaonufaika na mchezo wa kubashiri matokeo kutoka kampuni ya...

READ MORE

Kesi ya Lulu Kifo cha Kanumba: Shahidi Aeleza Alivyokuta Panga Uvunguni

KESI inayomkabili muigizaji wa kike, Elizabeth Michael ‘Lulu’,  leo Ijumaa, Oktoba 20, imeendelea kusikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar...

READ MORE

Necta Yaweka Hadharani Matokeo Ya Darasa La Saba, Yatazame Hapa

Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba leo Oktoba 20,2017. Katibu Mtendaji wa...

READ MORE

Lulu Kortini Tena Leo Kesi ya Kifo cha Kanumba – Video

MSANII wa Filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo Ijumaa, Oktoba 20, amefika katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam...

READ MORE

Nape: Tulia Mjomba Upone Kabisa Kabla Hujasema Mengi

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amemtaka Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu atulie hadi apone kabla hajasema mengi....

READ MORE

VODACOM WATOA MSAADA WA KOMPYUTA 10 KITUO CHA WATOTO YATIMA

  KAMPUNI ya Mawasiliano ya Simu ya Vodacom leo imekabidhi msaada wa kompyuta 10  katika Kituo cha Child In The...

READ MORE

Serikali Yafikia Maridhiano na Barric, Kugawana Makinikia 50 kwa 50 – Video

RAIS John Magufuli amepokea taarifa ya maridhiano kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya uchimbaji madini ya Barric Ikulu...

READ MORE

Waraka wa Zitto Baada ya Kusikia Sauti ya Lissu Akitoka ICU

JANA nimefarijika kukusikia tena sauti yako tangu nikusikie nilipokuja kukusabahi hospitalini. Sauti yako sasa imeboreka na kurudi sauti ile ile...

READ MORE

Mwigamba wa ACT Wazalendo na Wenzake 10 Wahamia CCM

IKIWA ni siku tatu baada ya Samson Mwigamba kujiuzulu uenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi Taifa na ujumbe wa...

READ MORE

Kesi ya Lulu Yaunguruma, Mdogo wa Kanumba Asimulia Ugomvi Siku ya Tukio – (Pichaz + Video)

KESI inayomkabili mwigizaji maarufu wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuhusishwa na kifo cha aliyekuwa staa wa filamu nchini, Steven...

READ MORE

Uchaguzi Kenya: Odinga Mbishi, Kenyatta Mbabe

KIONGOZI wa Umoja wa Muungano wa Upinzani nchini Kenya (NASA), Raila Odinga amesema wafuasi wake watafanya maandamano makubwa zaidi siku...

READ MORE

Famous Furniture Yatua Dar, Wakali Wa Magodoro, Masofa

  KAMPUNI  ya Famous Furniture ya Rochester, New York, Marekani, imefungua duka lake nchini eneo la biashara la Mlimani City,...

READ MORE

Lulu Awasili Mahakamani Kesi ya Kifo cha Kanumba – Video

#GlobalHabariUpdates: Muigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ akiambatana na mama yake mzazi, Lucresia Karugila wamewasili katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar...

READ MORE

Madiwani Waliojiuzulu Chadema Wapigwa Chini Kura ya Maoni CCM

MADIWANI watatu wa Chadema waliojiuzulu katika Halmashauri ya Meru mkoani Arusha na kujiunga na CCM, wameangushwa katika kura ya maoni...

READ MORE

DROO KUBWA SHINDA NYUMBA WASHINDI DINNER SET KICHEKO!

WASHINDI watatu wa Dinner Set, waliopatikana wakati wa uchezeshaji wa droo kubwa ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya...

READ MORE

MISS TANZANIA AKABIDHIWA BENDERA YA UREMBO WA DUNIA 2017

MISS Tanzania mteule wa mwaka 2017, Julitha Kabete,  leo amekabidhiwa bendera ya Tanzania kwa ajili ya kushiriki mashindano ya urembo...

READ MORE

Mama Aliyenyang’anywa Mume na Mwanaye wa Kumzaa Asimulia Mazito – Part 3

Mama afunguka kunyang’anywa mme na mwanaye wa kumzaa. Duh kweli duniani kuna mambo, huwezi kuamini kama mtoto anaweza kumsaliti mama...

READ MORE

Breaking News: Picha za Tundu Lissu Yatoka Kwa Mara ya Kwanza

Baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe jana kuahidi mbele ya waandishi wa habari kwamba...

READ MORE

HESLB Yaanika Orodha ya Wanafunzi Waliopatiwa Mikopo

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema baada ya uchambuzi wa maombi ya mikopo ya elimu...

READ MORE

Polisi Waua Majambazi Wawili Dar, Wakamata Mabomu ya Kijeshi!

KAMANDA Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, ametoa ripoti ya matukio ya kihalifu yanayoendelea hapa nchini ambapo...

READ MORE

GF Trucks & Equipments Yaikabidhi Mbao FC Basi la Sh. Mil 70

  KLABU ya Mbao ya jijini Mwanza imekabidhiwa basi lenye thamani ya Sh70 milioni kwa ajili ya wachezaji. Basi hilo...

READ MORE

ACT-Wazalendo Wafunguka Kung’atuka kwa Mwigamba, Waishutumu CCM – Video

UONGOZI wa ACT-Wazalendo umesema u,naheshimu maamuzi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kampeni na Uchaguzi wa chama chao, Samson Mwigamba aliyeandika barua...

READ MORE

Janeth Museveni: Mabinti Zangu Waliolewa Wakiwa Bikira

MKE wa Rais wa Rwanda, Yoweri Museveni, Janet Museveni amesema kuwa aliwalea na kuwatunza mabinti zake vizuri hadi wanaolewa wakiwa...

READ MORE